Swali kwenu wanawake mlioolewa, watoto wa kike na wazazi wa kike

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,796
32,148
Hellow

Inapokuja swala zima la kuolewa kwa mtoto wa kike kunakuwa na mitazamo tofauti kuanzia mzazi mpaka mtoto mwenyewe wakike anakuwa na mtazamo tofauti

Ipo hivi kuna familia ina watoto wa kike 3 na wa kiume mmoja wa kike wote hawajaolewa mama yao anasema watoto wake wamerogwa ili wasiolewe kisa wanamuonea wivu ashatafuta na mganga na mganga kawaagua kawapa dawa ya kumfanya wanaume waliopo nao kwenye mahusihano wanawaoa tena this year

Hili limetokea baada ya siku mmoja kuulizia ndoa ya mtoto wa Dr fulani ambaye ni ndugu wa familia ambaye yeye amehozesha watoto wake wote na huyu ndio wa mwisho ambaye ndoa yake ilitakiwa ufungwe mwezi uhuu wanane ndipo mama huyo akaongea huyo karoga watoto wa wenzie wotee wasiolewe waolewe wake tu

Kitu kinachonipa wasiwasi ni kuwa na yeye Mpaka kaolewa kwenye familia yetu je aliroga?

Swali lipo hivi kuna mahusihano gani ya kuolewa na kuroga? Naomba mtujibu hapa
 
Hellow

Inapokuja swala zima la kuolewa kwa mtoto wakike kuna kuwa na mitazamo tofauti kuanzia mzazi mpka mtoto mwenyewe wakike anakuwa na mtazamo tofauti

Ipo hivi kuna familia ina watoto wakike 3 na wakiume mmoja wakike wote hawajaolewa mama yao anasema watoto wake wamerogwa ili wasiolewe kisa wanamuonea wivu ashatafuta na mganga na mganga kawaagua kawapa dawa ya kumfanya wanaume waliopo nao kwenye mahusihano wanawaoa tena this year

Hili limetokea baada ya siku mmoja kuulizia ndoa ya mtoto wa dr fulani ambaye ni ndugu wa familia ambaye yeye amehozesha watoto wake wote na huyu ndio wa mwisho ambaye ndoa yake ilitakiwa ufungwe mwezi uhuu wanane ndipo mama huyo akaongea huyo karoga watoto wa wenzie wotee wasiolewe waolewe wake tu

Kitu kinacho nipa wasiwasi ni kuwa na yeye Mpaka kaolewa kwenye familia yetu je aliroga?

Swali lipo hivi kuna mahusihano gani ya kuolewa na kuroga? naomba mtujibu hapa
Ngoja waje
 
Ndugu yangu wanasema kua uyaone mambo ni mengi muda mchache sana, aya mambo yapo sana na nimeshuhudia live kabisa wapo wanaorogwa tena wanaweza wakarogwa ndani ya ukoo au nje ya ukoo wengine ufanya ivyo si kwa kupata kitu kaamua tu kuwavuruga watoto wa watu wasiolewe ila aya mambo yapo sana mkuu
 
Ndugu yangu wanasema kua uyaone mambo ni mengi muda mchache sana, aya mambo yapo sana na nimeshuhudia live kabisa wapo wanaorogwa tena wanaweza wakarogwa ndani ya ukoo au nje ya ukoo wengine ufanya ivyo si kwa kupata kitu kaamua tu kuwavuruga watoto wa watu wasiolewe ila aya mambo yapo sana mkuu
Kwahiyo inawezekana ikawa kweli?
 
mambo ni mengi duniani,

uhusiano unaweza kuwepo ila tu ujue kwamba si kila anaechelewa kuolewa amerogwa,
japo wapo wanaorogwa wapo ambao hawajarogwa wao ulirogwa ukoo wao so na wao wanatembea humo
na wengine ni wakati wa Mungu tu haujafika
🤣🤣🤣🤣 Wanadamu bwana kwa kumsingizia mungu mambo ya ajabu....eti wakati wa mungu haujafika wakati wewe mwanamke breki pumbu 🤣🤣🤣🤣🤣, kuongea sana wewe nyodo kibao alafu usipoolewa oh wakati wa mungu hujafika. Tulizaneni. Waoaji wapo ila ndio hivyo hatuoi tako wala sura.
 
🤣🤣🤣🤣 Wanadamu bwana kwa kumsingizia mungu mambo ya ajabu....eti wakati wa mungu haujafika wakati wewe mwanamke breki pumbu 🤣🤣🤣🤣🤣, kuongea sana wewe nyodo kibao alafu usipoolewa oh wakati wa mungu hujafika. Tulizaneni. Waoaji wapo ila ndio hivyo hatuoi tako wala sura.
😂😂😂 mzee duh inaelekea uko very selective
 
🤣🤣🤣🤣 Wanadamu bwana kwa kumsingizia mungu mambo ya ajabu....eti wakati wa mungu haujafika wakati wewe mwanamke breki pumbu 🤣🤣🤣🤣🤣, kuongea sana wewe nyodo kibao alafu usipoolewa oh wakati wa mungu hujafika. Tulizaneni. Waoaji wapo ila ndio hivyo hatuoi tako wala sura.
kila mtu anae anaetakiwa kuwa nae sasa huwezi fika nchi ya ahadi bila kukutana na watoto wa farao kwanza wakuchakaze uchoke alafu wakati unakata tamaa sasa kuona huwezi tena ndo hapo sasa anatokea anatakiwa kukufikisha nchi yako ya ahadi :D :D :D :D

should i go deeper
 
mambo ni mengi duniani,

uhusiano unaweza kuwepo ila tu ujue kwamba si kila anaechelewa kuolewa amerogwa,
japo wapo wanaorogwa wapo ambao hawajarogwa wao ulirogwa ukoo wao so na wao wanatembea humo
na wengine ni wakati wa Mungu tu haujafika
Mamdogo, keeping all factors constant, TABIA NA MIENENDO YA WAOLEWAJI HUWA NI SABABU KUBWA SANA KUCHELEWA AU KUTOOLEWA KABISA..!! Kuolewa is NOT a one time event, ni mchakato wa malezi na tabia za muolewaji toka akiwa mdogo hadi anafikia umri wa kuolewa. Mchakato ni collection ya events tofauti tofauti. Event yoyote kati ya hizo ikiwa mbovu mtu haolewi.
 
Back
Top Bottom