Eti wanawake hii mtakubali

Eti wanawake hii mtakubali

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,354
Na rafiki yangu, kapata mume wa ndoa anahela sana tu ila hataki mke wake atoke home, awe na biashara yeyote . Anataka tu awe home.

Hela yeyote anampa akitaka muda wowote anapelekwa atakapo kama kurelax sehemu mbali mbali. Ila sio biashara .

Je nyie mtakubali???
Usiwe hata na muda wakuwa na mashosti, wala kuwa na lolote kimaisha . Maana kama huna hazina yeyote simbaya .
 
Na rafiki yangu, kapata mume wa ndoa anahela sana tu ila hataki mke wake atoke home, awe na biashara yeyote . Anataka tu awe home.

Hela yeyote anampa akitaka muda wowote anapelekwa atakapo kama kurelax sehemu mbali mbali. Ila sio biashara .

Je nyie mtakubali???
Usiwe hata na muda wakuwa na mashosti, wala kuwa na lolote kimaisha . Maana kama huna hazina yeyote simbaya .
Mwambie akuache
 
wewe mshauri ndo unataka kuharibu mapenzi yao!
wakati wanatongozana walikushirikisha?
sasa wamefikia kuoana wanaanza kukushirikisha ili iwe nini sometime mapenzi watu huwa wanayaharibu wao wenyewe!
mapenzi ni kama radha, unaonja unanunua unaweka ndani, halafu inakuwaje uanze kuuliza watu ety hii ni tamu au chungu wakati kila mtu ana radha yake
 
Mimi sio mwanamke lakn ntakushauri hili
Kama anapewa hela kila anapotaka, asibweteke, akusanye za kutosha afiche kwenye akaunt kama hawa wanasiasa wanavoficha hela ughaibuni. Siku kikumana tayari ana kianzio.
Maana kama haruhusiwi kufanya biashara then hyo ndo kwe biznez yake. Akizubaa akawa anafurahia maokoto ataachwa uchi sokoni.
 
Mimi sio mwanamke lakn ntakushauri hili
Kama anapewa hela kila anapotaka, asibweteke, akusanye za kutosha afiche kwenye akaunt kama hawa wanasiasa wanavoficha hela ughaibuni. Siku kikumana tayari ana kianzio.
Maana kama haruhusiwi kufanya biashara then hyo ndo kwe biznez yake. Akizubaa akawa anafurahia maokoto ataachwa uchi sokoni.
Hii ni akili
 
Mfano wa kweli, kuna jirani aliyeishi hayo maisha ghafla bwana akafariki. Anavyoteseka sasa usiombe. Mwanamke angalau ujishuhulishe na mambo ya uchumi, usimtegemee bwana kwa kila kitu. Mwanamke uwe na haya mawazo, ila sio mabaya kwa mumeo! " hivi ghafla bwana hayupo, nitaendeshaje maisha?". Anza Leo, usisubiri litokee.
 
Mfano wa kweli, kuna jirani aliyeishi hayo maisha ghafla bwana akafariki. Anavyoteseka sasa usiombe. Mwanamke angalau ujishuhulishe na mambo ya uchumi, usimtegemee bwana kwa kila kitu. Mwanamke uwe na haya mawazo, ila sio mabaya kwa mumeo! " hivi ghafla bwana hayupo, nitaendeshaje maisha?". Anza Leo, usisubiri litokee.
Kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom