Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,016
- 2,406
Asalam Aleykum, tumsifu Yesu kristo, Bwana Yesu asifiwe. Wanawake wanawake wanawake hakuna limbwata ya kumkalisha mwanaume chini.
Mwanaume kama hakupendi ni hakupendi tu usijihangaishe. Ukimpa mwanaume limbwata kama hakupendi hufui dafu bali utamfanya apende anavyovipenda siku zote.
Kama ni mlevi, ataendelea kupenda pombe. Kama malaya atacheat zaidi ya kile ulikuwa unadefend.
Ushauri wangu ni hivi mpe limbwata mtu ambaye anakupenda tayari, usiforce utajiumiza hamna limbwata ya hivo.
Kwa mfano mi akanfanyia michezo yote afu nmemshtukia, lakini mwisho wa siku sikumpenda yeye nkapenda pombe, kwa tabia zake nkamfukuza aende kwao.
Mi nikabaki mlevi kwa sababu bora pengo kuliko jino linalouma. Sikumpenda ila kantegeshea mimba, by nature mi napenda watoto sijui alilisoma hilo, lakini sikumpenda mi nagharamia mtoto, ila malimbwata yalinifanya nikawa mlevi mbwa kiasi kwamba some time mtoto hapati mahitaji.
Usimpe limbwata mtu asiyekupenda haifanyi kazi ng'oo. Utaishia kujuta tu.
Mwanaume kama hakupendi ni hakupendi tu usijihangaishe. Ukimpa mwanaume limbwata kama hakupendi hufui dafu bali utamfanya apende anavyovipenda siku zote.
Kama ni mlevi, ataendelea kupenda pombe. Kama malaya atacheat zaidi ya kile ulikuwa unadefend.
Ushauri wangu ni hivi mpe limbwata mtu ambaye anakupenda tayari, usiforce utajiumiza hamna limbwata ya hivo.
Kwa mfano mi akanfanyia michezo yote afu nmemshtukia, lakini mwisho wa siku sikumpenda yeye nkapenda pombe, kwa tabia zake nkamfukuza aende kwao.
Mi nikabaki mlevi kwa sababu bora pengo kuliko jino linalouma. Sikumpenda ila kantegeshea mimba, by nature mi napenda watoto sijui alilisoma hilo, lakini sikumpenda mi nagharamia mtoto, ila malimbwata yalinifanya nikawa mlevi mbwa kiasi kwamba some time mtoto hapati mahitaji.
Usimpe limbwata mtu asiyekupenda haifanyi kazi ng'oo. Utaishia kujuta tu.