Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Hello,
Nichukue fursa hii kuwaasa waluojipumbaza kwa kushabikia kuoa na ndoa, kama mnapenda sana kuoa basi chunga sana wanaume wanaoingia mkenge Kwa kuoa wanawake micharuko wengi wameishia kufa maskini wa kutupwa.
Epuka kuisha kama ngedere na ukazeeka na kufa maskini kataaa uzombi wekeza muda na akili na roho wa Mungu kupata mke mwadilifu.
Ni hayo kila heri waoaji.
Inshallah
Wadiz
Nichukue fursa hii kuwaasa waluojipumbaza kwa kushabikia kuoa na ndoa, kama mnapenda sana kuoa basi chunga sana wanaume wanaoingia mkenge Kwa kuoa wanawake micharuko wengi wameishia kufa maskini wa kutupwa.
Epuka kuisha kama ngedere na ukazeeka na kufa maskini kataaa uzombi wekeza muda na akili na roho wa Mungu kupata mke mwadilifu.
Ni hayo kila heri waoaji.
Inshallah
Wadiz