Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Hello,
Maua mengi kwa wanawake walofundwa unyago Mungu awabariki, maana mnaishi ndoa zenu kama mko peponi, ni nadra sana ndoa za hawa wanawake kuvunjika.
Malaika wa mbinguni aendelee kuwabariki sana. Hawa wanawake hata akiwa mchepuko wako hawana ujinga wa kuwasema vibaya waume zao. Na hata wakichepuka hawana nyodo kwa mahusbands wao.
Kudos nyie wanawake mlofundwa na kufundika.💞💞💞
🙏🙏🙏
Wadiz
Maua mengi kwa wanawake walofundwa unyago Mungu awabariki, maana mnaishi ndoa zenu kama mko peponi, ni nadra sana ndoa za hawa wanawake kuvunjika.
Malaika wa mbinguni aendelee kuwabariki sana. Hawa wanawake hata akiwa mchepuko wako hawana ujinga wa kuwasema vibaya waume zao. Na hata wakichepuka hawana nyodo kwa mahusbands wao.
Kudos nyie wanawake mlofundwa na kufundika.💞💞💞
🙏🙏🙏
Wadiz