wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Hivi kwanini wanawake huwa hamueleweki kuwa mnataka nini?

    Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
  2. Vijana wasasa, bikra tunazichukulia tofauti sana kulinganisha na enzi za wazee wetu

    Inapotokea kwenye mahusiano kuna sintofahamu ya aina yoyote, hapo ndio strength ya bond huwa inapimwa. Mengi hutokea, usaliti, dharau, uongo n.k ambavyo vinaweza pelekea uhusiano kuvunjika. Na panapotokea mgogoro mzito sana, yule aliyekosewa huwa na option mbili, asamehe au achukue hamsini...
  3. S

    Zama hizi wanawake wote wanaojiweza kiuchumi hawataki kuolewa

    Ni wanawake wasiojitambua na wenye vipato duni ndiyo wanaolewa wakidhani kwa kufanya hivyo ndiyo maisha yao yatakuwa rahisi. Hapa chini ni mifano michache ya wanawake wanaojitambua ambao wamekataa ndoa.:- 1. Salama Jabri. 2. Fatuma Karume. 3. Maria Sarungi. 4. Kajala. 5. Dinar Marios. 6...
  4. Mnada wa kuuza wake utawala wa Victorian nchini Uingereza

    Wasaalamu wakuu? Najua unajiuliza ni kivipi nchini uingereza kuwe na mnada wa kuuza Mke?! Linawezekana vipi? Tulia Leo nikupe historia hii. Katika utawala wa Victorian malkia, nchini uingereza walikuwa wanafanya vitu kwa njia ya ajabu na ya moja kwa moja. Kabla ya talaka kuwa kisheria, njia...
  5. Vazi la Isdal linavyowatayarisha wanawake wa Gaza kwa vita na kuheshimika. Mungu kaona juhudi zao

    Katika vita vya Gaza vinavyoelekea ukingoni baada ya hasara kubwa, tumeshuhudia mambo mengi sana na mengi ya hayo ni ya kushangaza mno. Binafsi kuna kitu nilikiona na nikajaribu kukifungulia uzi. Lakini mamodi wa JF kwa kuwaendekekeza akina Imeloa na Yoda na MK254 na Kinyungu na wenzao...
  6. Hivi kuna siri gani kwenye tendo la ndoa dhidi ya wanawake? Mbona wamezidisha sana kuwaanika wenza wao?

    Nashindwa kuwaelewa hawa viumbe. Yaani ukichepuka na mke wa mtu, labda usiwe mdadisi tu, lakini ukisema udadisi, unapatiwa siri zote za jamaa Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani serikalini, ana utajiri gani, anasali dini gani, kabila gani n.k Umewahi jiuliza familia zinazovamiwa na...
  7. Wanawake ni hatari anayebisha nipo Kinondoni

    Kupita pita mitandaoni nikaiona hii story imeniuma sana,ogopa sana wanawake ukipata muda kaa chini na kuogopa Mwanamke. Mwanamke ni Andazi. Kuna Tukio limetokea kitaa hapa almost 2 weeks Kuna demu alikua anadate na men wawili mmoja ni broke and thug man almost kama 24yrs alafu Kuna men...
  8. Papa Francis ashauri kitendo cha wanawake kubebeana mimba kipigwe marufuku Duniani kote.

    Kiongozi wa kiroho wa kanisa katoliki Duniani baba mtakatifu papa Francis ametoa wito wa mataifa yote ulimwenguni kupiga marufuku kitendo cha wanawake kubebeana mimba ama 'surrogacy mothers' Baba mtakatifu amasema kubebeana mimba ni kinyume cha mapenzi ya Mungu na inapaswa kupiga marufuku hicho...
  9. Wanaume tushikamane. Hawa wanawake watatuua watumalize. Nawe unapigwaje umetulia?

    Salaam Wakuu, Hivi inawekekanaje Mwanamke anakukalisha chini, anakupiga na mwiko huku kakukanyaga na mguu na ndani hajavaa kifuli, halafu mwanaume unalia kama mtoto mdogo? Ni nguvu gani wanatumia? Kwangu nahisi haiwezekani nikiwa hai. Nibwakati wa Wanaume tuamke tuwasaidie wanyonge. Mkeo...
  10. Kwani wanawake kuna ulazima gani kutugaia umbea wenu wa mtaani tukiwa ndani??

    sijajua kuwa hili jambo linatokea upande wangu au wanaume wenzangu lipo na kwenu kwani tayari nimepita mahusiano matano lakini hali ni moja kwa wanawake wote wamekuwa ni watu wa kuwasema wenzao mara umbea fulani na kwa bahati mbaya sipendi kusikiliza ila nakuwa sipendi kumboa mtu hivyo naguna...
  11. S

    PreGE2025 Tuendelee kuwaamini wanawake katika uongozi?

    Baada ya mkutano wa Beijing, kuliibuka misemo mingi sana ya kuuaminisha ulimwengu kwamba mwanamke akiwa kiongozi mambo yatakuwa mazuri. Ndipo tukaja na sera ya kumuwezesha mwanamke kielimu na ile ya 50 kwa 50 ktk uongozi. Japo bado hatujafikia 50% kwa 50% lkn tumepiga hatua sana. Tuna...
  12. Wanawake wa pwani

    Wanawake wenye asili ya Pwani, Tanga Lindi na Mtwara ni exception. Atakupenda, atakueshimu ila kuchepuka kwao ni kawaida na ni fahari kwao. Reflection yake ni unakua na furaha ila laana ya kuchepuka itakuja kutafuna generation.
  13. PreGE2025 Chatanda ataka 20% ya Wagombea nchini wawe Wanawake

    Chatanda Ataka 20% ya Wagombea Nchini Wawe Wanawake Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda, amesema kutokana na hali ilivyo wanataka asilimia 20 ya wagombea wa majimbo, udiwani na serikali za mitaa wawe wanawake hasa katika uchaguzi ujao. Chatanda amebainisha hayo wakati...
  14. Asanteni Jeshi la Polisi Wanawake Mkoa wa Manyara

    Pongezi nyingi ziwafikie Polisi wote wanawake Mkoa wa Manyara. Mmefanya jambo la utu. Kuwemo kwenye magwanda ya kijeshi hakujawaondolea moyo wa huruma. Asanteni sana. Nimeguswa mno na hilo mlilomfanyia huyo mama mjane. Najua mliwashirikisha askari wa vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama...
  15. V

    Mawazo yenu yanahitajika kwenye hili Wazee

    Wakuu Kuna manzi nataka mfungulia biznenga,Ili akila mtaji nipate sababu ya kupiga chini. Anasema anataka kuuza vitu vinavyopendwa na wanawake na watoto. Ushauri wenu juu ya nn auze,unaweza okoa jahazi Natanguliza Heri ya mwaka mpya Kwa wote
  16. Aina za wanawake ambao lazima utumie condom pindi unapofanya nao mapenzi

    Wafuatao ni aina ya wanawake ambao ni lazima uvae condom pindi unapofanya nao mapenzi. 1. Ikiwa ana Tattoo vaa hata Condom tatu kwa pamoja utakuja kunishukuru 2. Kama anakunywa bia hakikisha unavaa Condom 3. Kama anafanya kazi kwenye saluni za kiume/zakike ndugu yangu vaa Condom 4. Kama ni...
  17. Wanawake Usafi huko chini fanyeni lakini msizidi hadi mkaondoa ile harufu ya asili sababu ndio utamu wenyewe huo

    Hii kero nimekua natafuta njia ya kuifikisha kwa pisi husika lakini nashindwa naifikishaje. Unakuta pisi kali na safi lkn papuchi haina ile natural smell hata kidogo, msinielewe vibaya simaanishi 'kitilapia' hapa, namaanisha kale kaarufu fln ambako nadhan ndo wale bacteria wanakatengeneza...
  18. T

    Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

    Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan. Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto? https://twitter.com/abasmas/status/1740720706110038506?s=19
  19. Wanawake wenye mvuto JamiiForums 2023

    Wakuu habari za wakati huu, hopefully mko poa. Ifuatayo ni orodha ya wanawake wenye mvuto kwa mwaka huu 2023 Disclaimer: Ni kweli haiombwi hivo ila nikipewa sikatai😂😂 Hapa hamna kuwashobokea wala nini "Mwanamke ni ua lazima wavutie" Unataka na wewe dume uandikwe humu jamii forum kwa kipi? NB...
  20. M

    Kama unaamini kabila linahusika kwenye maisha, basi tafuta mwanamke wa Kikinga

    Kama unahisi kabila Lina nguvu kwenye zama hizi na unafikiria kuoa , Moja ya vigezo ulivyojiwekea ni kabila basi mwanamke wa kikinga anawazidi wanawake wengi Tanzania, wanawake wa kikinga ni kweli hawana sura nzuri na maumbile ya kuvutia , lakini Wana sifa za ziada kama hizi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…