Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,553
- 2,992
sijajua kuwa hili jambo linatokea upande wangu au wanaume wenzangu lipo na kwenu kwani tayari nimepita mahusiano matano lakini hali ni moja kwa wanawake wote wamekuwa ni watu wa kuwasema wenzao mara umbea fulani na kwa bahati mbaya sipendi kusikiliza ila nakuwa sipendi kumboa mtu hivyo naguna alimradi yaishe lakini stori zinakuwa ndefu mpaka unachoka zaidi.
jamani tukiwa ndani ni kupumzika muda mwengine akili zinachoka stori zenu za umbea hazitujengi na wala sio kama tunapenda ila hatupendi makasiriko ya hovyo ndani....full stop
jamani tukiwa ndani ni kupumzika muda mwengine akili zinachoka stori zenu za umbea hazitujengi na wala sio kama tunapenda ila hatupendi makasiriko ya hovyo ndani....full stop