Hivi kuna siri gani kwenye tendo la ndoa dhidi ya wanawake? Mbona wamezidisha sana kuwaanika wenza wao?

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,701
9,779
Nashindwa kuwaelewa hawa viumbe. Yaani ukichepuka na mke wa mtu, labda usiwe mdadisi tu, lakini ukisema udadisi, unapatiwa siri zote za jamaa

Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani serikalini, ana utajiri gani, anasali dini gani, kabila gani n.k

Umewahi jiuliza familia zinazovamiwa na majambazi na kuja moja kwa moja mahali hazina ilipo, hao majambazi wamefahamu vipi! Yaani raia zinatoka huko from nowhere at night, zinakuja kufungua kabati la vyombo na kunyofoa madolari!

Mwanamke ndiye mjenzi ama ndiye mbomozi wa nyumba yako, sio yake tena. Chanzo kikubwa ni tendo la ndoa kwa mwanamume aliyevutiwa naye kwa kipindi hicho, haijalishi unamkula mikwaju kwa kiwango gani

N.B: Hakuna mke wa mtu asiyekanyagwa nje, labda mke wa Mpemba

Endelea kukaza fuvu!
Tafakari, Chukua hatua

Mke wa Bakhresa hajulikani ni nani, maake alilijua hili kabla
 
Mwanamke mke wa mtu anayekitembeza lazima aje na sababu za kuhalalisha anachokifanya hata kama hizo sababu ni za kutunga.

Mwanamke akikuambia mambo ya mumewe usimuamini sana na kujiona special, huyo anahalalisha tu tamaa zake hata wewe ukimuoa ataenda kwa mwingine na kuhalalisha kwa kukuzungumza kwa madhaifu.
 
Nashindwa kuwaelewa hawa viumbe. Yaani ukichepuka na mke wa mtu, labda usiwe mdadisi tu, lakini ukisema udadisi, unapatiwa siri zote za jamaa

Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani serikalini, ana utajiri gani, anasali dini gani, kabila gani n.k

Umewahi jiuliza familia zinazovamiwa na majambazi na kuja moja kwa moja mahali hazina ilipo, hao majambazi wamefahamu vipi! Yaani raia zinatoka huko from nowhere at night, zinakuja kufungua kabati la vyombo na kunyofoa madolari!

Mwanamke ndiye mjenzi ama ndiye mbomozi wa nyumba yako, sio yake tena. Chanzo kikubwa ni tendo la ndoa kwa mwanamume aliyevutiwa naye kwa kipindi hicho, haijalishi unamkula mikwaju kwa kiwango gani

N.B: Hakuna mke wa mtu asiyekanyagwa nje, labda mke wa Mpemba

Endelea kukaza fuvu!
Tafakari, Chukua hatua

Mke wa Bakhresa hajulikani ni nani, maake alilijua hili kabla
Wanaume ndio mumekuwa wajinga Dhidi ya Wanawake Wacha wawakomeshe
 
Mwanamke mke wa mtu anayekitembeza lazima aje na sababu za kuhalalisha anachokifanya hata kama hizo sababu ni za kutunga. Mwanamke akikuambia mambo ya mumewe usimuamini sana na kujiona special, huyo anahalalisha tu tamaa zake hata wewe ukimuoa ataenda kwa mwingine na kuhalalisha kwa kukuzungumza kwa madhaifu.
Uzi uishie hapa tafadhali.
 
Nashindwa kuwaelewa hawa viumbe. Yaani ukichepuka na mke wa mtu, labda usiwe mdadisi tu, lakini ukisema udadisi, unapatiwa siri zote za jamaa

Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani serikalini, ana utajiri gani, anasali dini gani, kabila gani n.k

Umewahi jiuliza familia zinazovamiwa na majambazi na kuja moja kwa moja mahali hazina ilipo, hao majambazi wamefahamu vipi! Yaani raia zinatoka huko from nowhere at night, zinakuja kufungua kabati la vyombo na kunyofoa madolari!

Mwanamke ndiye mjenzi ama ndiye mbomozi wa nyumba yako, sio yake tena. Chanzo kikubwa ni tendo la ndoa kwa mwanamume aliyevutiwa naye kwa kipindi hicho, haijalishi unamkula mikwaju kwa kiwango gani

N.B: Hakuna mke wa mtu asiyekanyagwa nje, labda mke wa Mpemba

Endelea kukaza fuvu!
Tafakari, Chukua hatua

Mke wa Bakhresa hajulikani ni nani, maake alilijua hili kabla
Wanaokuzunguka watakuwa na shida. Wengine walitoka level hizo.
 
Ni mwanaume mjinga pekee anayeweza kuamini maneno ya mwanamke kuhusu madhaifu ya mume/ex wake.
Mi huwa siyaamini, ila huwa nayatia maanani tu. Alisema mume wake akilewa anagawa pesa kirahisi kwa wanwake, tukamvizia siku anakwenda bar, tukala dili na mhudumu mwenye nyachi kubwa, tukampatia matekniki, tukapiga Mil 1.2 kimasihara, tukagawana. Mkewe alivyo mjinga naye akasapoti mumewe aibiwe. Nikapata na hela ya kodi
 
Mi huwa siyaamini, ila huwa nayatia maanani tu. Alisema mume wake akilewa anagawa pesa kirahisi kwa wanwake, tukamvizia siku anakwenda bar, tukala dili na mhudumu mwenye nyachi kubwa, tukampatia matekniki, tukapiga Mil 1.2 kimasihara, tukagawana. Mkewe alivyo mjinga naye akasapoti mumewe aibiwe. Nikapata na hela ya kodi
Ni kweli ila amini akiachana na wewe akaenda kwa mwingine wembe ni uleule, sababu wanawake wengi kwenye mahusiano wanatumia sana hisia kufanya maamuzi na sio akili.
 
Mi huwa siyaamini, ila huwa nayatia maanani tu. Alisema mume wake akilewa anagawa pesa kirahisi kwa wanwake, tukamvizia siku anakwenda bar, tukala dili na mhudumu mwenye nyachi kubwa, tukampatia matekniki, tukapiga Mil 1.2 kimasihara, tukagawana. Mkewe alivyo mjinga naye akasapoti mumewe aibiwe. Nikapata na hela ya kodi
Sasa hilo la kugawa pesa sio siri, Inamaana hata mabaa medi wanaomuhudumia wanajua na wanampiga pia.
 
Mi huwa siyaamini, ila huwa nayatia maanani tu. Alisema mume wake akilewa anagawa pesa kirahisi kwa wanwake, tukamvizia siku anakwenda bar, tukala dili na mhudumu mwenye nyachi kubwa, tukampatia matekniki, tukapiga Mil 1.2 kimasihara, tukagawana. Mkewe alivyo mjinga naye akasapoti mumewe aibiwe. Nikapata na hela ya kodi
Hahah, ngoja nchkue chapati apa
 
Mwanamke mke wa mtu anayekitembeza lazima aje na sababu za kuhalalisha anachokifanya hata kama hizo sababu ni za kutunga.

Mwanamke akikuambia mambo ya mumewe usimuamini sana na kujiona special, huyo anahalalisha tu tamaa zake hata wewe ukimuoa ataenda kwa mwingine na kuhalalisha kwa kukuzungumza kwa madhaifu.
Hii imeenda
 
Back
Top Bottom