Kama unaamini kabila linahusika kwenye maisha, basi tafuta mwanamke wa Kikinga

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
473
1,448
Kama unahisi kabila Lina nguvu kwenye zama hizi na unafikiria kuoa , Moja ya vigezo ulivyojiwekea ni kabila basi mwanamke wa kikinga anawazidi wanawake wengi Tanzania, wanawake wa kikinga ni kweli hawana sura nzuri na maumbile ya kuvutia , lakini Wana sifa za ziada kama hizi.

1. Uwezo wa kusimamia Mali na kutokuwa na tamaa( Kwa sisi ambao mama zetu wakinga tuna record za kutosha vile mama zetu walivyosimamia biashara za familia hata baada ya baba kuondoka au kuyumba, hatuna record ya mke kuua ,kuweka limbwata au kufanya chochote kibaya kisa Mali ) mpe mkinga mtaji kidogo utakuwa mkubwa na Huku hajatepeli Wala kudanganya

2. Uchapa kazi hili sina doubt kabisa kama Kuna wanawake wa chapa kazi kama wakinga, labda yapo makibila yanaweza shindana nao ( labda mchaga, myakyusa, mdali , msafwa na msukuma wanaweza wapa ushindani wa kutosha)'.

3. Heshima, kukosa heshima Kuna Anza na zarau wakinga katika hili wawe wanaume Kwa wanawake hili linafamika hawana zarau kabisa (asikwambie mtu mwanamke mwenye zarau ana Uzi na anachosha Sana ) huenda akawa Bora Malaya anaye jificha kuliko mwenye kuonyesha kibri na zarau

4.Kusimamia malengo mkinga anasimamia na hayumbi (ukimwambia mwaka huu tujibane tujenge mkinga anakufikish katika lengo, mkinga anaishi katika kundi la watu anapesa nyingi na huenda anawazidi wengine lakini hajionyeshi (hii traits inafanya wakinga waonekane wachawi kibiashara na kimaisha kiujumla ,yupo radhi afe na njaa huku anapesa mfukoni ya lengo flani, wakinga wanajua mno kusimamia malengo ,ndani mtakula hata ugali maharage hata miezi mitatu kisa anabana pesa kwa ajili ya jambo flan.

5. Uvumilivu (mama zetu wavumilivu Sana labda wanaweza shindan na wasukuma Kwa uvumilivu (Mkinga hakimbii kisa njaa na umasikini, ugonjwa Hilo lipo wazi ,myanyase uwezavyo Hakimbii ,utaondoka utarudi utamkuta yupo na mradi ulio mwachia. Nk yapo mengi mazuri sana Kwa wakinga japo kabila halina nguvu usije oa mkinga wa mjini ukahisi umeoa mkinga, Mimi nazungumza mkinga wa makete,kuhusu ugonjwa wa ukimwi na zinaa walaumiwe Sana wanaume ndio wanaowapa na kupeleka kwenye ndoa zao
 
Kama unahisi kabila Lina nguvu kwenye zama hizi na unafikiria kuoa , Moja ya vigezo ulivyojiwekea ni kabila basi mwanamke wa kikinga anawazidi wanawake wengi Tanzania, wanawake wa kikinga ni kweli hawana sura nzuri na maumbile ya kuvutia , lakini Wana sifa za ziada kama hizi. 1. Uwezo wa kusimamia Mali na kutokuwa na tamaa( Kwa sisi ambao mama zetu wakinga tuna record za kutosha vile mama zetu walivyosimamia biashara za familia hata baada ya baba kuondoka au kuyumba, hatuna record ya mke kuua ,kuweka limbwata au kufanya chochote kibaya kisa Mali ) mpe mkinga mtaji kidogo utakuwa mkubwa na Huku hajatepeli Wala kudanganya 2.uchapa kazi hili sina doubt kabisa kama Kuna wanawake wa chapa kazi kama wakinga, labda yapo makibila yanaweza shindana nao ( labda mchaga, myakyusa, mdali , msafwa na msukuma wanaweza wapa ushindani wa kutosha)'. 3.heshima , kukosa heshima Kuna Anza na zarau wakinga katika hili wawe wanaume Kwa wanawake hili linafamika hawana zarau kabisa (asikwambie mtu mwanamke mwenye zarau ana Uzi na anachosha Sana ) huenda akawa Bora Malaya anaye jificha kuliko mwenye kuonyesha kibri na zarau 4.kusimamia malengo mkinga anasimamia na hayumbi( ukimwambia mwaka huu tujibane tujenge mkinga anakufikish katika lengo , mkinga anaishi katika kundi la watu anapesa nyingi na huenda anawazidi wengine lakini hajionyeshi( hii traits inafanya wakinga waonekane wachawi kibiashara na kimaisha kiujumla ,yupo radhi afe na njaa huku anapesa mfukoni ya lengo flani, wakinga wanajua mno kusimamia malengo ,ndani mtakula hata ugali maharage hata miezi mitatu kisa anabana pesa kwa ajili ya jambo flan. 5.uvumilivu ( mama zetu wavumilivu Sana labda wanaweza shindan na wasukuma Kwa uvumilivu( mkinga hakimbii kisa njaa na umasikini, ugonjwa Hilo lipo wazi ,myanyase uwezavyo Hakimbii ,utaondoka utarudi utamkuta yupo na mradi ulio mwachia. Nk yapo mengi mazuri sana Kwa wakinga japo kabila halina nguvu usije oa mkinga wa mjini ukahisi umeoa mkinga, Mimi nazungumza mkinga wa makete,kuhusu ugonjwa wa ukimwi na zinaa walaumiwe Sana wanaume ndio wanaowapa na kupeleka kwenye ndoa zao
Edit pangiria paragraph vizuri, Una hoja usikilizwe.

Tulioowa Kwa kuangalia tako na sura wacha tupambane na Hali zetu Tu.
 
Kama unahisi kabila Lina nguvu kwenye zama hizi na unafikiria kuoa , Moja ya vigezo ulivyojiwekea ni kabila basi mwanamke wa kikinga anawazidi wanawake wengi Tanzania, wanawake wa kikinga ni kweli hawana sura nzuri na maumbile ya kuvutia , lakini Wana sifa za ziada kama hizi. 1. Uwezo wa kusimamia Mali na kutokuwa na tamaa( Kwa sisi ambao mama zetu wakinga tuna record za kutosha vile mama zetu walivyosimamia biashara za familia hata baada ya baba kuondoka au kuyumba, hatuna record ya mke kuua ,kuweka limbwata au kufanya chochote kibaya kisa Mali ) mpe mkinga mtaji kidogo utakuwa mkubwa na Huku hajatepeli Wala kudanganya 2.uchapa kazi hili sina doubt kabisa kama Kuna wanawake wa chapa kazi kama wakinga, labda yapo makibila yanaweza shindana nao ( labda mchaga, myakyusa, mdali , msafwa na msukuma wanaweza wapa ushindani wa kutosha)'. 3.heshima , kukosa heshima Kuna Anza na zarau wakinga katika hili wawe wanaume Kwa wanawake hili linafamika hawana zarau kabisa (asikwambie mtu mwanamke mwenye zarau ana Uzi na anachosha Sana ) huenda akawa Bora Malaya anaye jificha kuliko mwenye kuonyesha kibri na zarau 4.kusimamia malengo mkinga anasimamia na hayumbi( ukimwambia mwaka huu tujibane tujenge mkinga anakufikish katika lengo , mkinga anaishi katika kundi la watu anapesa nyingi na huenda anawazidi wengine lakini hajionyeshi( hii traits inafanya wakinga waonekane wachawi kibiashara na kimaisha kiujumla ,yupo radhi afe na njaa huku anapesa mfukoni ya lengo flani, wakinga wanajua mno kusimamia malengo ,ndani mtakula hata ugali maharage hata miezi mitatu kisa anabana pesa kwa ajili ya jambo flan. 5.uvumilivu ( mama zetu wavumilivu Sana labda wanaweza shindan na wasukuma Kwa uvumilivu( mkinga hakimbii kisa njaa na umasikini, ugonjwa Hilo lipo wazi ,myanyase uwezavyo Hakimbii ,utaondoka utarudi utamkuta yupo na mradi ulio mwachia. Nk yapo mengi mazuri sana Kwa wakinga japo kabila halina nguvu usije oa mkinga wa mjini ukahisi umeoa mkinga, Mimi nazungumza mkinga wa makete,kuhusu ugonjwa wa ukimwi na zinaa walaumiwe Sana wanaume ndio wanaowapa na kupeleka kwenye ndoa zao
Wakinga wanatafuta hela sana lakin hawana exposure kabisa. Mkinga kujenga hotel ya ukweli na kumueka i ndugu yake wa kijijin kuisimamia ni jambo la kawaida. Hela kawaida kuna levo zikifika ruhusu taaluma izisimamie la sivyo utaishia kujenga hotels na ma apartments tu lakin viwanda na makampuni sahau.
 
Heshima ✔️

Nimekubari wakinga ntawaoa hata 10 au 20

Hili nimethibitisha

Samahanini Wanyaki nimesema Wakinga sio Wanyaki,

Pole
 
Dunia inakwenda Kasi wakinga wanasomesha sana watoto zao nje ya nchi
Wakinga wanatafuta hela sana lakin hawana exposure kabisa. Mkinga kujenga hotel ya ukweli na kumueka i ndugu yake wa kijijin kuisimamia ni jambo la kawaida. Hela kawaida kuna levo zikifika ruhusu taaluma izisimamie la sivyo utaishia kujenga hotels na ma apartments tu lakin viwanda na makampuni sahau.
 
Kama unahisi kabila Lina nguvu kwenye zama hizi na unafikiria kuoa , Moja ya vigezo ulivyojiwekea ni kabila basi mwanamke wa kikinga anawazidi wanawake wengi Tanzania, wanawake wa kikinga ni kweli hawana sura nzuri na maumbile ya kuvutia , lakini Wana sifa za ziada kama hizi.

1. Uwezo wa kusimamia Mali na kutokuwa na tamaa( Kwa sisi ambao mama zetu wakinga tuna record za kutosha vile mama zetu walivyosimamia biashara za familia hata baada ya baba kuondoka au kuyumba, hatuna record ya mke kuua ,kuweka limbwata au kufanya chochote kibaya kisa Mali ) mpe mkinga mtaji kidogo utakuwa mkubwa na Huku hajatepeli Wala kudanganya

2. Uchapa kazi hili sina doubt kabisa kama Kuna wanawake wa chapa kazi kama wakinga, labda yapo makibila yanaweza shindana nao ( labda mchaga, myakyusa, mdali , msafwa na msukuma wanaweza wapa ushindani wa kutosha)'.

3. Heshima, kukosa heshima Kuna Anza na zarau wakinga katika hili wawe wanaume Kwa wanawake hili linafamika hawana zarau kabisa (asikwambie mtu mwanamke mwenye zarau ana Uzi na anachosha Sana ) huenda akawa Bora Malaya anaye jificha kuliko mwenye kuonyesha kibri na zarau

4.Kusimamia malengo mkinga anasimamia na hayumbi (ukimwambia mwaka huu tujibane tujenge mkinga anakufikish katika lengo, mkinga anaishi katika kundi la watu anapesa nyingi na huenda anawazidi wengine lakini hajionyeshi (hii traits inafanya wakinga waonekane wachawi kibiashara na kimaisha kiujumla ,yupo radhi afe na njaa huku anapesa mfukoni ya lengo flani, wakinga wanajua mno kusimamia malengo ,ndani mtakula hata ugali maharage hata miezi mitatu kisa anabana pesa kwa ajili ya jambo flan.

5. Uvumilivu (mama zetu wavumilivu Sana labda wanaweza shindan na wasukuma Kwa uvumilivu (Mkinga hakimbii kisa njaa na umasikini, ugonjwa Hilo lipo wazi ,myanyase uwezavyo Hakimbii ,utaondoka utarudi utamkuta yupo na mradi ulio mwachia. Nk yapo mengi mazuri sana Kwa wakinga japo kabila halina nguvu usije oa mkinga wa mjini ukahisi umeoa mkinga, Mimi nazungumza mkinga wa makete,kuhusu ugonjwa wa ukimwi na zinaa walaumiwe Sana wanaume ndio wanaowapa na kupeleka kwenye ndoa zao
Utie ndeti
 
Kama unahisi kabila Lina nguvu kwenye zama hizi na unafikiria kuoa , Moja ya vigezo ulivyojiwekea ni kabila basi mwanamke wa kikinga anawazidi wanawake wengi Tanzania, wanawake wa kikinga ni kweli hawana sura nzuri na maumbile ya kuvutia , lakini Wana sifa za ziada kama hizi.

1. Uwezo wa kusimamia Mali na kutokuwa na tamaa( Kwa sisi ambao mama zetu wakinga tuna record za kutosha vile mama zetu walivyosimamia biashara za familia hata baada ya baba kuondoka au kuyumba, hatuna record ya mke kuua ,kuweka limbwata au kufanya chochote kibaya kisa Mali ) mpe mkinga mtaji kidogo utakuwa mkubwa na Huku hajatepeli Wala kudanganya

2. Uchapa kazi hili sina doubt kabisa kama Kuna wanawake wa chapa kazi kama wakinga, labda yapo makibila yanaweza shindana nao ( labda mchaga, myakyusa, mdali , msafwa na msukuma wanaweza wapa ushindani wa kutosha)'.

3. Heshima, kukosa heshima Kuna Anza na zarau wakinga katika hili wawe wanaume Kwa wanawake hili linafamika hawana zarau kabisa (asikwambie mtu mwanamke mwenye zarau ana Uzi na anachosha Sana ) huenda akawa Bora Malaya anaye jificha kuliko mwenye kuonyesha kibri na zarau

4.Kusimamia malengo mkinga anasimamia na hayumbi (ukimwambia mwaka huu tujibane tujenge mkinga anakufikish katika lengo, mkinga anaishi katika kundi la watu anapesa nyingi na huenda anawazidi wengine lakini hajionyeshi (hii traits inafanya wakinga waonekane wachawi kibiashara na kimaisha kiujumla ,yupo radhi afe na njaa huku anapesa mfukoni ya lengo flani, wakinga wanajua mno kusimamia malengo ,ndani mtakula hata ugali maharage hata miezi mitatu kisa anabana pesa kwa ajili ya jambo flan.

5. Uvumilivu (mama zetu wavumilivu Sana labda wanaweza shindan na wasukuma Kwa uvumilivu (Mkinga hakimbii kisa njaa na umasikini, ugonjwa Hilo lipo wazi ,myanyase uwezavyo Hakimbii ,utaondoka utarudi utamkuta yupo na mradi ulio mwachia. Nk yapo mengi mazuri sana Kwa wakinga japo kabila halina nguvu usije oa mkinga wa mjini ukahisi umeoa mkinga, Mimi nazungumza mkinga wa makete,kuhusu ugonjwa wa ukimwi na zinaa walaumiwe Sana wanaume ndio wanaowapa na kupeleka kwenye ndoa zao
Acha kuwaza kikabila nchi hii ina makabila zaidi ya 120. Km wangekuwa hivyo Makete ingekuwa mbali. Acheni kujitangaza chema huwa chajiuza.
 
Dunia inakwenda Kasi wakinga wanasomesha sana watoto zao nje ya nchi
Niko nao kkoo kaka wanawasomesha kweli lakin wana tabia za kijima. Yaan unamsomesha mtoto halafu unamtaka awe wewe badala ya kuwa yeye. Mwishowe anakuja kufanya yale ufanyayo wewe. Halafu kingine kusoma bila ya kuwa na emotional za hiyo kitu ni bure maana kusoma na kuwa na makaratasi bila mawazo mbadala unazalisha kile kile.
 
Mimi

Mimi myakyusa Kwa upande wa baba na mama mkinga ,tulikatazwa Sana na baba kuoa myakyusa, mchaga, mwanamke wa pwani ,
😂😂😂😂 Yaani kwakua baba ako aliumizwa ana hayo makabila basi anaona vitoto vyake vitakua na akili kma zake vitateswa pia😂😂😂
 
Back
Top Bottom