Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 347
Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.