Hivi kwanini wanawake huwa hamueleweki kuwa mnataka nini?

Rayvanny wa jamiiForums

Senior Member
Apr 7, 2023
132
347
Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
 
Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
Wewe naye unatuchosha na mada zako hizii za kila dakika ambazo hazina maana yeyote utafikirii umebalehe Jana acha utoto basii!!!
 
Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
Wanajua wanachokitaka ni vile wanajitoa ufahamu na wengine wanaenda mbali zaidikwa kusema hawajui wanachokitaka ili kuhalalisha umalayer wao.
 
Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
sema wanakuchanganya sio wanatuchanganya

Sisi usituwekemo maana sio wote tunaochanganywa na wanawake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom