Sam Gidori
Senior Member
- Sep 7, 2020
- 165
- 414
Mama Samia Suluhu Hassan ameapishwa leo kuwa Rais wa Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia kifo cha Dkt John Magufuli hapo Machi 17.
Rais Samia anakuwa mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi hiyo. Wafahamu wanawake wengine walioshika nyadhifa za juu kabisa katika nchi zao barani Afrika.
Rais Samia anakuwa mwanamke wa kwanza Tanzania kushika nafasi hiyo. Wafahamu wanawake wengine walioshika nyadhifa za juu kabisa katika nchi zao barani Afrika.
Mwaka | Nchi | Jina la Kiongozi | Sababu |
---|---|---|---|
1993 | Burundi | Sylvie Kiningi | Baada ya kuuawa kwa Melchior Ndadaye |
2006-2018 | Liberia | Ellen Johnson Sirleaf | Alichaguliwa |
2009 | Gabon | Rose Francine Rogombe | Baada ya kifo cha Omar Bongo |
2012 | Mauritia | Monique Ohsan Bellepau | Baada ya kujiuzulu kwa Anerood Jugnauth |
2012-2014 | Malawi | Joyce Banda | Baada ya kifo cha Bingu wa Mutharika |
2014-2016 | Jamhuri ya Afrika ya Kati | Catherine Samba-Panza | Rais wa Mpito |
2015-2018 | Mauritia | Ameenah Gurib-Fakim | Alichaguliwa na Bunge |
2018- | Ethiopia | Salhe-Work Zewde | Alichaguliwa na Bunge |
2021- | Tanzania | Samia Suluhu Hassan | Baada ya kifo cha John Magufuli |