GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,418
- 108,517
Inasikitisha kweli kweli yaani Mwanaume analala Saa 7 Usiku na Kuamka Saa 9 Usiku ili aanze Kujiandaa na kuitafuta Vingunguti Machinjioni halafu bado kila akipata tu Mshahara wake anaupeleka wote kwa Mkewe na anapangiwa Bajeti ya Pesa yake anayotakiwa kuwa nayo Mfukoni mwake ama kwa Siku au kwa Wiki.
Mwanaume kwa mwaka mzima Ndugu zake wakija Kumtembelea na Kulala Kwake basi ni mara moja tu na wakichelewa Kuondoka anawahi Kuwakatia Tiketi zao waondoke. Lakini Ndugu za Mwanamke Ukoo mzima unaweza ukafululiza kuja Kwake na hata ukitaka wakitaka Kuondoka utaona Mwanaume anawapigia Magoti waendelee Kubakia hapo Kwake.
Inatia Huruma kweli kweli Mwanaume unateseka Kumtafutia Ugali Mkeo halafu bado tu ukirudi Nyumbani anakufokea kama Mtoto Mdogo na hata Siku ikitokea tu umeiba Hela kwa Bosi wako na ukamnunulia Zawadi ukimpelekea na kudhani ataifurahia na Kukushukuru akiipokea na kama hakuipenda atakuuliza Kidharau kuwa hii Zawadi umeokota au umepewa Msaada tu na Mtu?
Yaani pamoja na Matukio yote haya ya Kusikitisha bado ukitaka Kuliokoa 'Lijitu' linakuwa 'Libishi' na hata Kukutishia 'Kukupiga/Kukudhuru' kabisa.
Mwanaume kwa mwaka mzima Ndugu zake wakija Kumtembelea na Kulala Kwake basi ni mara moja tu na wakichelewa Kuondoka anawahi Kuwakatia Tiketi zao waondoke. Lakini Ndugu za Mwanamke Ukoo mzima unaweza ukafululiza kuja Kwake na hata ukitaka wakitaka Kuondoka utaona Mwanaume anawapigia Magoti waendelee Kubakia hapo Kwake.
Inatia Huruma kweli kweli Mwanaume unateseka Kumtafutia Ugali Mkeo halafu bado tu ukirudi Nyumbani anakufokea kama Mtoto Mdogo na hata Siku ikitokea tu umeiba Hela kwa Bosi wako na ukamnunulia Zawadi ukimpelekea na kudhani ataifurahia na Kukushukuru akiipokea na kama hakuipenda atakuuliza Kidharau kuwa hii Zawadi umeokota au umepewa Msaada tu na Mtu?
Yaani pamoja na Matukio yote haya ya Kusikitisha bado ukitaka Kuliokoa 'Lijitu' linakuwa 'Libishi' na hata Kukutishia 'Kukupiga/Kukudhuru' kabisa.