yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,378
Habari wadau
Mimi nakumbuka nilionga sana ada yangu alafu kuirudisha ikawa shida nikauza vitu vyangu vya getto
Nikamaliza chuo nikapata kazi sehemu nikawa nahonga mshara wangu nusu kama fungu la kumi lakini bada ya kuteswa na mahusiano na kugundua kuwa wanawake ni waongo na walafi sikuizi sihongi kabisa ata yakutolea
TAFUTA WAKUSAIDIANA NA SI WAKUMSAIDIA
Mimi nakumbuka nilionga sana ada yangu alafu kuirudisha ikawa shida nikauza vitu vyangu vya getto
Nikamaliza chuo nikapata kazi sehemu nikawa nahonga mshara wangu nusu kama fungu la kumi lakini bada ya kuteswa na mahusiano na kugundua kuwa wanawake ni waongo na walafi sikuizi sihongi kabisa ata yakutolea
TAFUTA WAKUSAIDIANA NA SI WAKUMSAIDIA