Wanaume suruali hao.Gazeti moja la marekani la mjini San Francisco limeripoti utafiti wake kuwa kuanzia Karne ya 20 nusu ya wanaume wote duniani wangependelea kuwa wanawake wakati chini ya robo ya wanawake duniani wangependelea kuwa wanaume.
Huo utafiti mimi haunihusu...Gazeti moja la marekani la mjini San Francisco limeripoti utafiti wake kuwa kuanzia Karne ya 20 nusu ya wanaume wote duniani wangependelea kuwa wanawake wakati chini ya robo ya wanawake duniani wangependelea kuwa wanaume.
Umemsahau Lissu na jamaa yake AmsterdamDuh... Hapana kwa kweli, nadhani hapa wanaongelewa YEHODAYA , jingalao, johnthebaptist na makada wengine wa kijani
boda boda ndio ipi tena hio mkuuHuwa nawauliza mabinti wengi juu ya hili suala. Aisee sijawahi kukutana na binti aseme anafurahia kuwa mwanamke. 100% walinijibu wanatamani sana wangekuwa vidume.
Binafsi hata nikumbane na changamoto milioni 900, sitarajii kujutia kuzaliwa mwanaume. Yaani nikitafakari kusukumiwa moto... mastyle kibao mara mbuzi kagoma... doggy... chuma mboga... bodaboda... popo kanyea mbingu...hujakaa sawa jamaa linazama mtaroni... aaaaaahhh hapana aisee!!!
Hao wanaume wa huko magharibi ndo wanatamani hayo mambo ya kupumuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app