Wanaume tuwe makini Sana tunapo oa wanawake masikini

Habari za mida hii? Sio wote wenye tabia hiyo ila asilimia kubwa Wana michezo hiyo,familia za kimasikini zina ushirikina mwingi mno utalishwa kila aina ya matakataka ya waganga.
Tena mwanaume ukiwa unajiweza kifedha kidogo tu Basi hapo ukoo mzima utakaa kikao kukuundia tume wakuteke ukifanya masihara unakuwa zezeta kabisa.
Kaka yangu mkubwa alikuwa very humble sasa hivi hataki kabisa kusikia habari za ndugu zake,juzi mama alimpigia simu kaka kuwa amewakumbuka wajukuu waende kumsalimia bibi yao lakini cha kushangaza kaka akasema hawezi kuleta watoto wake anaogopa mama yake atawaloga means mama ni mchawi..
Tuwe macho na hawa wanawake wa hali ya chini
Acha mambo ya Ulozi, Nchi IPO kweny Maombolezoo .
 
Ni shida sana lakini haya mambo ya ushirikina siyo ya familia maskini tu hata ambao ni matajiri huwa ushirikina upo.
 
Sikubaliani na wewe,uchawi na umasikini haviendani. Uchawi ni roho ya mtu husika,usidhani kuwa ndoa nzuri ni zile ambazo watu wanaoana wanye uchumi bora.
Labda ueleze umasikini gani unaongelea hapa?
Ndoa ni eneo pana sana,kulizungumzia kinadharia namna hiyo.
 
Habari za mida hii? Sio wote wenye tabia hiyo ila asilimia kubwa Wana michezo hiyo,familia za kimasikini zina ushirikina mwingi mno utalishwa kila aina ya matakataka ya waganga.
Tena mwanaume ukiwa unajiweza kifedha kidogo tu Basi hapo ukoo mzima utakaa kikao kukuundia tume wakuteke ukifanya masihara unakuwa zezeta kabisa.
Kaka yangu mkubwa alikuwa very humble sasa hivi hataki kabisa kusikia habari za ndugu zake,juzi mama alimpigia simu kaka kuwa amewakumbuka wajukuu waende kumsalimia bibi yao lakini cha kushangaza kaka akasema hawezi kuleta watoto wake anaogopa mama yake atawaloga means mama ni mchawi..
Tuwe macho na hawa wanawake wa hali ya chini
Kweli kabisa maana wanawake si wanasema hawawezi kuolewa wala kumpa penzi mwanaume asiye na hela, na sisi wanawake masikini wanaotegemea kuja kuchuma kwako tuwakwepe kama corona
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom