Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Heshima kwenu wanaume
Najaribu kutafuta busara za kiume, ni tabia gani ambayo ni kero na imekuwa sugu kutoka kwa wake zenu/marafiki wa kike, hata michepuko kama ipo?
Tukizingatia kwamba, hakuna mwanadamu mkamilifu, ila kuna tabia ambazo ni kero zonazopelekea kuachana.
Kama mwanaume, naomba uniwekee tabia 3-5 unazochukia kwenye ndoa yako na mahusiano, na kama ungepewa rungu na Mungu kutengeneza mke mpya, ungemuwekea zipi upate kitu OG.
Comment zako kwenye hii thread, zitanitengeneza mimi (kama mwanamke) na pia nitashare na wanawake wenzangu.
Angalizo: usibeze thread yangu, usinitukane, usikashifu.
Hii ni thread kwa wanaume tu.
Wasalaam.
~~~~
UPDATE:
Salut kwenu vichwa vya familia (Wanaume),
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kutoka katika kilindi cha moyo wangu. Nimefurahi sana, uzi huu umeitikiwa kwa kishindo. Mungu awabariki sana.
Asante kwenu wote mlio na msiochangia mada hii, maoni ya wachache yamewakilishwa vyema.
Maoni yamepokelewa, nayachambua ili niyawakilishe kwa wanawake wenzangu, kama nilivyoahidi hapo awali. Nashukuru, maoni yenu yamenibadilisha kwa namna moja, kuna makosa nimekuwa nikifanya bila kujua kama namkera mwenza wangu/boyfriend/mchepuko nk.
Nina ka jambo kangu na vichwa vya familia/wanaume, nitakuja hapa muda si mrefu kukawakilisha.
Kaeni mkao wa kula. Msichoke/msikate tamaa kutukosoa pale inapobidi.
Asante sana.
Wasalaam
Carol.
Najaribu kutafuta busara za kiume, ni tabia gani ambayo ni kero na imekuwa sugu kutoka kwa wake zenu/marafiki wa kike, hata michepuko kama ipo?
Tukizingatia kwamba, hakuna mwanadamu mkamilifu, ila kuna tabia ambazo ni kero zonazopelekea kuachana.
Kama mwanaume, naomba uniwekee tabia 3-5 unazochukia kwenye ndoa yako na mahusiano, na kama ungepewa rungu na Mungu kutengeneza mke mpya, ungemuwekea zipi upate kitu OG.
Comment zako kwenye hii thread, zitanitengeneza mimi (kama mwanamke) na pia nitashare na wanawake wenzangu.
Angalizo: usibeze thread yangu, usinitukane, usikashifu.
Hii ni thread kwa wanaume tu.
Wasalaam.
~~~~
UPDATE:
Salut kwenu vichwa vya familia (Wanaume),
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kutoka katika kilindi cha moyo wangu. Nimefurahi sana, uzi huu umeitikiwa kwa kishindo. Mungu awabariki sana.
Asante kwenu wote mlio na msiochangia mada hii, maoni ya wachache yamewakilishwa vyema.
Maoni yamepokelewa, nayachambua ili niyawakilishe kwa wanawake wenzangu, kama nilivyoahidi hapo awali. Nashukuru, maoni yenu yamenibadilisha kwa namna moja, kuna makosa nimekuwa nikifanya bila kujua kama namkera mwenza wangu/boyfriend/mchepuko nk.
Nina ka jambo kangu na vichwa vya familia/wanaume, nitakuja hapa muda si mrefu kukawakilisha.
Kaeni mkao wa kula. Msichoke/msikate tamaa kutukosoa pale inapobidi.
Asante sana.
Wasalaam
Carol.