jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 820
Hili nalisemea ili liwe fundisho kwa wanawake ambao wanaingia kwenye ndoa kwa tamaa ya mafanikio ya mwanaume ili wakinukishe wagawane Mali.
Hili limemtokea mwamba Fulani jirani yetu hapa. Mwanamke kachukua mkopo akagushi nyaraka kuonyesha kuwa huo mkopo wamekubaliana na mmewe, baada ya kuchukua mkopo huo kwa siri bila mmewe kujua na baadae mambo yakamuendea kombo jamaa wa mikopo wakaja kupiga nyumba mnada
Unajua nini kilitokea..
Nyaraka za nyumba na kiwanja si za kwao, za mama mzazi wa mwanaume kwa hiyo kesi ikamgeukia mwanamke ajibu na alipe mkopo.
Ndoa ikavunjika na wakati wa kugawana Mali mwanamke aliambulia nguo zake na jiko la mkaa na vyombo.
Hili ni kwa wanawake wachumaji ila kwa mwanamke material aliyekamilika unaweza ukamfikiria, japo wanawake wapo kama kinyonga unaweza kubadilikiwa anytime.
Kuwa muangalifu tulinde musitakabali wa familia zetu
Hili limemtokea mwamba Fulani jirani yetu hapa. Mwanamke kachukua mkopo akagushi nyaraka kuonyesha kuwa huo mkopo wamekubaliana na mmewe, baada ya kuchukua mkopo huo kwa siri bila mmewe kujua na baadae mambo yakamuendea kombo jamaa wa mikopo wakaja kupiga nyumba mnada
Unajua nini kilitokea..
Nyaraka za nyumba na kiwanja si za kwao, za mama mzazi wa mwanaume kwa hiyo kesi ikamgeukia mwanamke ajibu na alipe mkopo.
Ndoa ikavunjika na wakati wa kugawana Mali mwanamke aliambulia nguo zake na jiko la mkaa na vyombo.
Hili ni kwa wanawake wachumaji ila kwa mwanamke material aliyekamilika unaweza ukamfikiria, japo wanawake wapo kama kinyonga unaweza kubadilikiwa anytime.
Kuwa muangalifu tulinde musitakabali wa familia zetu