yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,379
SIKU HIZI KUNA KATABIA NAKAONA BAR
Umeenda zako mahali unapiga gambe na meza imependeza anatokea jamaa kapendeza na kaweka ufungua wa gari kiunoni anajisogeza na bia yake moja story nyingiiiii badae unasikia nipe moja brother atakupa au utasikia brother napiga moja
Umenunua zako K Vant unapiga ado ado huyo na glass utasikia kidogo nataka kucheuwa mara k vant yako kubwa unakata
Halafu wanavitambi kweli kweli na vikaptula alafu ukimpa bia moja izzo sifaa sasa utasikia huyu jamaaa yangu kumbe hakujui hata akipigiwa au kupigia wenzake utasikia nipo sehemu flani na kiongozi, papa, au tajiri flani utaskia mh kuna gari ya milioni saba inakufa sasa
Huwa mi nawazimishaga sana.
KAMA HUNA PESA, KALALE
Umeenda zako mahali unapiga gambe na meza imependeza anatokea jamaa kapendeza na kaweka ufungua wa gari kiunoni anajisogeza na bia yake moja story nyingiiiii badae unasikia nipe moja brother atakupa au utasikia brother napiga moja
Umenunua zako K Vant unapiga ado ado huyo na glass utasikia kidogo nataka kucheuwa mara k vant yako kubwa unakata
Halafu wanavitambi kweli kweli na vikaptula alafu ukimpa bia moja izzo sifaa sasa utasikia huyu jamaaa yangu kumbe hakujui hata akipigiwa au kupigia wenzake utasikia nipo sehemu flani na kiongozi, papa, au tajiri flani utaskia mh kuna gari ya milioni saba inakufa sasa
Huwa mi nawazimishaga sana.
KAMA HUNA PESA, KALALE