wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wanaume wanaohonga ndiyo wanawaaribu wanawake

    Kwanza tukubaliane kuna tofauti kati ya kuhonga na kumpa mwanamke vitu. Ufafanuzi:πŸ‘‡πŸ‘‡ Kuhonga ni kutumia vitu kama pesa,vitu vizuri vya anasa kumshawishi mwanamke ili kutimiza lengo lako. Kumpa mwanamke kitu pale anapoomba hupaswi kutoa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako,yani toa kwa moyo wako...
  2. Mwanamkee wako asikufanye usahau wazazi wako

    Habarini jamani, Kumekuwa na mambo mengi haswa wanaume kusahau wazazi wetu haswa wakishaowana au wakiwa na uchumba yani watu wanajisahau sana wanashindwa kujua kuwa wazazi ndo baraka kwa maendeleo. Mzazi alijitoa kwako kwa hali na mali, alijinyima alifungu ili wewe ufike hapo galfa unaobwa...
  3. Chanzo cha wanaume kufa mapema

    * Nimefundisha semina nyingi za wajane 99.9% wanaohudhuria ni wanawake. Mchango huu hapa chini una ukweli usiofichika. πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ SABABU INAYOFANYA WABABA KUFA MAPEMA!! Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia...
  4. Wanaume wengi hufa mapema kwenye ndoa kwa sababu moja kubwa ya wao kuwa na umri mkubwa kuliko wake zao

    Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu. Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea. Sasa tukija kwenye mas'ala ya...
  5. Ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu

    Wanaume tunapitia changamoto nyingi sana, hii Dunia iko very harsh and unfriendly kwa mwanaume and this is how it was created to be. Alternative na mwanaume kuishi, kula, kunywa, kupata raha nyingine zote za Dunia bila kuparangana, kuhatarisha maisha na kadhalika ni next to impossible labda...
  6. Wanaume Wabishi ndio tumebaki hewani

    Weusi Wagumu Asilia, Wabishi, Watukutu, Vyuma,Mipini,Wajuba aka Wakulu Kumwao. Ndio tunaelea elea mawinguni namna hii. Wengi wanalalamika mitandao haipatikani. Sisi Wakulungwa tunapasua anga tu toka sehemu mbalimbali za Dunia. Tutawaletea habari za Tanzania hapa hapa JF. Mtazikuta siku Mkirudi...
  7. Joyce Kiria, acha kulaumu wanaume muda wote. Anza sasa kufuatilia matatizo ya wanawake kwenye ndoa zao

    Habari, Nimekuwa nafatilia mada za huyu dada muda wote amekuwa mtu wa kulaumu wanawake kupigwa na waume zao je amewahi jiuliza changamoto ni nini Mpk wapate vipigo? Wakati flani wanawake wanakera na kuudhi sanaaa wapo wanaowanyanyasa sana waume zao walalamike wapi? Wanaume wasioweza kusema...
  8. Wanaume tuwe tunatimiza ahadi kwa wapenzi au wake zetu

    Wadau wanaume tumekuwa wazee wa sound na kuna ishu nasikilizia mara nitakupa mara kuwa mvumilivu alafu ukipata gafla unabadilika kama mvua ya masika kama unajua huwezi kutimizi piga moyo konde utulie si kuahidi tu. Ndo sababu watu wanagongewa wanawake wao ovyo ahadi kibao maneno mengii...
  9. Kama huu 'Utafiti' wa 'Kisayansi' ni kweli basi nashauri Wanaume wote tuanze Kudai 'Pesa' zetu tulizokuwa 'tukiwahonga' Wanawake

    Wanasayansi na Wabobezi wa 'Kungonoka' wamedai ya kwamba katika ufanyaji wa 'Ngono' Mwanamke huwa anasikia 'Utamu Kunoga' kwa 65% na Mwanaume kwa 35% tu. Na ili kuonyesha kuwa hawa 'Wataalam' wamedhamiria katika kutuelezea ukweli wao hii 65% ya 'Utamu Kunoga' wanaopata Wanawake wameigawanya...
  10. Enyi Wanaume ishini na wake zenu kwa akili la sivyo Mwanamke atakukoroga maisha yako yote

    BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema. Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated" Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'...
  11. Ndoa yoyote inayovunjika chanzo ni wanaume

    In any case chanzo cha ndoa yoyote kuvunjika chanzo ni mwanaume. 1. Mfano ukisema ume divorce sababu mama kachepuka lazima kosa ni lako kwa maana ya kwamba hukufanya Uchunguzi wa kutosha kwenye kutafuta mchumba au ulifanya then ukaja ukaboronga baada ya kumuoa
  12. Wanaume ninapowaambia jijengeeni tabia ya kuwa na 'Mahawara' ili muondokane na huu 'Ushamba' na 'Upumbavu' muwe mnanielewa!

    AUA MKE KWA KISU KISA WIVU WA MAPENZI SHINYANGA: Oktoba 11, 2020 Mkazi wa Didia Shinyanga Vijijini, Eliya Paulo Shija (30) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumuua Mke wake Mariam Juliasi (26) kwa kumchoma na kisu sehemu za shingoni usiku akiwa amelala akimtuhumu kuwa si mwaminifu...
  13. Style Mpya ya nguo kwa wanaume Mjini

  14. Wanaume wenzangu mnafeli kuendekeza marafiki kuliko wapenzi wenu

    Jamii yetu inapitia kipindi kigumu cha kucopy na utandawazi ,technology etc.Hii imepelekea janga kubwa la Vijana hususani wa kiume (na baadhi wakike ) wenye mahusiano kuiga hulka za vijana wa maghalibi kupenda kutumia muda wao na marafiki (Washkaji /Masela) zaidi ya wapenzi wao . Marafiki ni...
  15. Polisi Tanzania nipeni 'Rukhsa' ya 'Kuwashikisha' Adabu Wanaume 'Dhaifu' na 'Wazembe' kama hawa kwani Wanatutia mno Aibu

    Mfanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) jijini Dar es Salaam, Ombeni Alfayo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumkata mke wake kiganja cha mkono wa kulia kwa sime kwa madai ya wivu wa kimapenzi. Nipashe Ukiona Mwanaume yoyote anafanya 'Upumbavu' na 'Ushamba' huu jua...
  16. Mwanamke: Kama unafanya moja ya haya 7 utaachika/umeshaachika/ ukiolewa ndoa yako itavunjika

    Vitabu vya dini vinasema "Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono take mwenyewe". Sifa za mwanamke mpumbavu 1: Amejaa Gubu ( nagging). Yaani malalamiko kila Kona. 2: Ananajisi kitanda cha ndoa kwa kuelezea watu mambo ya kitandani mwake na mumewe. 3: Ameolewa lakini mama yake na Ndugu...
  17. Kwanini wanaume wapole, waaminifu na wenye upendo wamepungua sana?

    Salaam wanajukwaa, Kumekua na malalamiko mengi miongoni mwa wanawake kua siku za hivi karibuni kumekua na upungufu wa wanaume waaminifu, wapole na wenye upendo wa dhati. Katika kujaribu kutafuta majawabu ya swali hili pia nimekua najiuliza vipi wanaume wanaweza kubaki kua waaminifu huku...
  18. Ukweli Unaouma. Kuhonga sio ticket ya kupendwa, wanaume acheni kujipa moyo

    Jamani tuongee ukweli, kuhonga hakuongezi kupendwa palipo penzi la dhati. Penzi la muda mfupi au la siku moja kuhonga kutaweza kukusaidia lakini kwa mwanamke au mwanaume anayekupenda haihitaji kuhonga. Hii sio kwa wanaume tu hata wanawake wanaohonga. Kwa uzoefu wangu huu penzi la kweli...
  19. Bora ubaki single kuliko kuoa nesi, maana anaaga anaingia night kumbe anakwenda kwa mwingine

    Nishakuwa na mke wa mtu alikuwa ni nesi katika hospital flani. Bwana bwana alikuwa anamuaga mumewe anaenda shift ya night kumbe anakuja kwangu anapika anapakua analiwa kesho yake asubuhi anarudi home kulala hiyo ni siku moja kabla hajaanza off au baada ya kuanza off. Alinipenda sana yule dada...
  20. A

    Hivi kwanini kwa sisi wanaume wengi, ni rahisi kumpata mdada usiemtaka, ila kumpata mdada unaemtaka inakuwa ni ngumu?

    Nimeshaobserve sana hili suala yaani kwa mfano mimi nisipomtamani mdada rohoni, huyo mdada lazima anishobokee, kosa ni kuwa nikiona mdada halafu moyoni nikaanza kumtamani sana na kumpenda na kumuwaza kila siku, bhasi huwa simpati. Hii haijalishi muonekano wake, mdada anaeza akawa mzuri tu, ila...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…