yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,377
Habarini jamani,
Kumekuwa na mambo mengi haswa wanaume kusahau wazazi wetu haswa wakishaowana au wakiwa na uchumba yani watu wanajisahau sana wanashindwa kujua kuwa wazazi ndo baraka kwa maendeleo.
Mzazi alijitoa kwako kwa hali na mali, alijinyima alifungu ili wewe ufike hapo galfa unaobwa elfu kumi au laki tu unatangaza nakulalamika sana pia unalialia sana
Baadaye yakikukuta wa kwanza kumlilia ni wazazi wako so wazazi ndio kila kitu
Mheshimu baba yako na mama yako ili siku zako zipate kuwa nyingi katika...
Kumekuwa na mambo mengi haswa wanaume kusahau wazazi wetu haswa wakishaowana au wakiwa na uchumba yani watu wanajisahau sana wanashindwa kujua kuwa wazazi ndo baraka kwa maendeleo.
Mzazi alijitoa kwako kwa hali na mali, alijinyima alifungu ili wewe ufike hapo galfa unaobwa elfu kumi au laki tu unatangaza nakulalamika sana pia unalialia sana
Baadaye yakikukuta wa kwanza kumlilia ni wazazi wako so wazazi ndio kila kitu
Mheshimu baba yako na mama yako ili siku zako zipate kuwa nyingi katika...