Ndoa yoyote inayovunjika chanzo ni wanaume

Ndoa yoyote inayovunjika chanzo ni wanaume

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
In any case chanzo cha ndoa yoyote kuvunjika chanzo ni mwanaume.

1. Mfano ukisema ume divorce sababu mama kachepuka lazima kosa ni lako kwa maana ya kwamba hukufanya Uchunguzi wa kutosha kwenye kutafuta mchumba au ulifanya then ukaja ukaboronga baada ya kumuoa
 
Ulichoandika ni sahihi ila umeshindwa kuandika point.Kwa kifupi ni kwamba mwanaume ana uwezo wa kutumia akili kumdhibiti mwanamke na kujidhibiti yeye mwenyewe kuzuia ndoa isivunjike.
 
Umejiunga Jamii forum Mwaka 2011 let's Assume ulijiunga ukiwa na miaka 18 Jumlisha 9 mpaka Sasa tunapata 27

Kwa haraka haraka Unamiaka isiyopungua 25

Wewe Ni TATIZO (pancha)
 
Tatizo la kuomba vocha kwa shemeji zako ndio hili. Kisa unapewa buku buku za vocha basi unaona maisha ya ndoa yako straight forward.
 
Iwe kwa mwanamke au mwanaume,visa vingi vivavyotusibu chanzo ni sisi wenyewe.

Na sio katika ndoa tu...kwa visa vingi vinavyotutokea katika maisha yetu,chanzo ni sisi wenyewe.Labda kwa kutochagua vizuri,kutofikiri vizuri,kutofanya uchunguzi sahihi,ku'react' vibaya,kutochukua muda kuelewa vizuri n.k n.k

Mentality hii husaidia kuwa na amani na kuwajibika kwa yale yote yanayotusibu na tunayotaka kuamua ,na kuzuia kutorudia makosa tuliyotenda nyuma.Tofauti na ile ya kujihurumia sana na kuwalaumu wengine kwa yale yatutokeayo.

Vingi sio Vyote.
 
Umri wako plzzzz

unaishi na mke?? au mwanamke under one roof
 
Back
Top Bottom