wanafunzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa SUA wasababisha majonzi kwa wanafunzi wa ESM na BRD kwa kuwafutia boom la quarter two huku wakilazishwa kwenda field

    Uzi huu nimeamua kufikisha jamvin kwa lengo la kuonyesha njinsi Uongoz wa SUA unavyofanya mambo kwa kutokutafakari kwa kina kama Ifuatavyo; Hivi punde uongoz umechukua maamuz ya kuwafutia pesa ya boom wanafunzi wa Esm na Brd huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa ya...
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Songwe: Baba agoma kupeleka mwanaye kidato cha kwanza akidai hana akili na Shuleni Wanafunzi wanachapwa sana viboko

    Mzazi mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga, kata ya Mlale, iliyopo wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe, amegoma kumpeleka mwanaye kujiunga na kidato cha kwanza akidai kuwa mwanaye hana akili na kwamba watoto wamekuwa wakichapwa tu wanapokuwa shuleni. Mzazi huyo anayejulikana kwa jina la Anania Mdolo...
  3. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya elimu itolewe kwa wanafunzi wanaosomea fani za vitendo tu

    Kwa utafiti wangu wengi wasio na ajira ni wale waliosomea digrii za bla bla zisizo za vitendo mfano za sheria, Bussiness Administration, Uchummi, Uhasibu, Uandishi wa Habari nk. Serikali itoe mikopo kwa wanaosomea fani kama Engineering, Kilimo na Ufugaji, za Ujenzi na Uvuvi, Udaktari, Ufamasia...
  4. Hisha Sorel

    JamiiForums Tanzania Ndio! Mazingira magumu ya kufanya kazi; Ndio! Malipo ya chini; Ndio! Hata hivyo sio kisingizio cha kubaka na kushambulia wagonjwa na wanafunzi

    Wafanyakazi wa Afya na Walimu ni waajiriwa wakuu serikalini. Mshahara wao na hali yao ya kazi ni duni sana . Na tunapaswa kuwahurumia na kufanya kazi kwa bidii ili kuboresha hili swala. Walakini, katika siku za hivi karibuni tumesikia visa kadhaa vya kushambuliwa na ubakaji wa wagonjwa na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania RUKWA: RC aagiza walimu kuwakagua wanafunzi ili kubaini iwapo wanavaa hirizi ili kukabiliana na vitendo vya kishirikina

    MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo, amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule kuwakagua wanafunzi ili kubaini iwapo wanavaa hirizi wawapo shuleni, ili kukabiliana na vitendo vya kishirikina. Agizo hilo alilitoa jana kwenye mkutano alioufanya Kijiji cha Malonje wilayani Sumbawanga kutokana...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Je, ni lazima kwa wanafunzi wa elimu ya juu kulipa Bima ya Afya (NHIF)?

    .
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

    Shule ya kimataifa ya UWCEA Kampasi ya Moshi, Kaskazini mwa #Tanzania imesitisha mafunzo ya ana kwa ana kwa Wanafunzi kwa madai ya mmoja wa Wanafunzi kuthibitishwa kuwa na maambukizi ya Corona. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tovuti ya Shule hiyo, Januari 18 Mwanafunzi huyo alithibitishwa...
  8. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Geita: Wanafunzi wakosa matokeo yao baada ya Mwalimu Mkuu kula ada za Mitihani

    Serikali mkoani Geita imeuagiza uongozi wa shule ya sekondari ya Geita Islamic, ifikapo kesho asubuhi iwasilishe stakabadhi za malipo ya mitihani ya wanafunzi, baada ya Mwalimu Mkuu wa shule hiyo kukiri kula ada za mitihani ya Taifa ya wanafunzi wa kidato cha Pili na cha Nne. Akizungumza...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Michango kwa wanafunzi wapya Mtwara

    Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa. Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe...
  10. Evans Richard Arsenal

    JamiiForums Tanzania NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

    NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii. All the best Comrades, see you at the top. Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Pata uchambuzi wa mtokeo ya Form...
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mkuranga: Walimu watakiwa kutowatoza Wanafunzi michango yoyote Shuleni

    Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Filbeto Sanga, amewataka walimu kutowatoza michango ya aina yoyote wanafunzi ambao wanaoanza shule. Sanga aliyasema hayo jana katika kikao maalumu cha Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, kilichoitishwa kubadilisha matumizi ya fedha ili ziende kutumika...
  12. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Afrika bado sana, tusichekane, kule Tanzania wanafunzi kusoma kwa zamu kisa uhaba wa madarasa

    Yaani wanafunzi wanasubirishwa nje ili kundi la kwanza likamilishe somo kwenye ratiba yao, hii Afrika tumechelewa kweli maana siamini mambo kama haya yanatendeka kwenye karne hii miaka mingi sana tangu mkoloni aondoke. Vipau mbele hamna, utakuta wakulu wanasafiri kwa magari ya kifahari kwenye...
  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Utoro, Ulevi na kuwa kwenye mahusiano na Wanafunzi zatajwa kuwa tabia sugu kwa Walimu wa Tanzania

    Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania (TSC), Moses Chitama ametaja makosa sugu yanayofanywa na baadhi ya walimu nchini kuwa ni utoro, ulevi pamoja na kujihusisha kimapenzi na wanafunzi. Aliyasema hayo Januari 5 mwaka huu, wakati akiwasilisha mada kuhusu maadili, katika Mkutano wa...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Serikali za Mitaa na kazi zake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ibara ya 145.-(1) inaeleza kuwa :- Kutakuwa na vyombo vya Serikali za Mitaa katika kila mkoa, wilaya, mji na kijiji, katika Jamhuri ya Muungano, ambavyo vitakuwa vya aina na majina yatakayowekwa na sheria iliyotungwa na Bunge au na Baraza la Wawakilishi. (2) Bunge au Baraza la...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliofauru darasa la saba na hawajapangiwa shule nini hatima yao?

    Wanafunzi waliofauru darasa la saba na hawajapangiwa shule nini hatima yao?
  16. J

    JamiiForums Tanzania Mabweni shule za kata yanaweza kuzuia mimba kwa wanafunzi

    Kwa miaka ya hivi karibuni, tatizo la mimba kwa wanafunzi katika shule nyingi za sekondari za kata, na hasa zile zilizopo maeneno hya vijijini, limekuwa moja ya maadui wakubwa wa elimu na maendeleo ya watoto wa kike. Aidha, takwimu za Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya Tanzania wa Mwaka 2015-16...
  17. C

    JamiiForums Tanzania Kwa wanafunzi waliokua wanufaika wa mkopo kutoka HESLB

    .
  18. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanafunzi wa shule za Secondari wanavaa Suruali za rangi tofauti wakati nembo zao zinatosha katika kuwatambulisha? What's the logic behind?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Kwanini wanafunzi wa shule za secondary za serikali wanavaa suruali/sketi za rangi tofauti wakati nembo zao zinatosha kabisa katika kuwatambulisha? Nini mantiki ya kuwa na namna mbili ya...
  19. CCM Music

    JamiiForums Tanzania Matokeo Darasa la Saba: Baadhi ya majina ni fake, tazama hizi shule hapa

  20. A

    JamiiForums Tanzania UCHAGUZI WA SHULE KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2021

    Majina ya waliopangiwa shule kuanza kidato cha kwanza, bonyeza link apo chini. http://196.192.73.4/allocations/
Back
Top Bottom