Mama Samia aangalie suala la kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma maana elimu ya diploma ni taaluma ile tena taaluma nyingine za diploma zina tija kuliko hata za degree.
Aangalie mfano chuo cha maji wanafunzi wa diploma wanapewa mikopo kama kawaida.
Aangalie mfano chuo cha maji wanafunzi wa diploma wanapewa mikopo kama kawaida.