Masauni akiwa Naibu waziri aligombana na karibia viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi vilivyopo Wizara ya Mambo ya Ndani.
Tulimwona kwenye TV akigombeza askari bila kujali vyeo Wala umri wao. Leo amepewa full minister, hatuwezi kutegemea jipya zaidi ya kwenda kupambana Mhe. RAIS awafute kazi...
Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa. Kuna mmama mmoja akasema 'not at all.
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.
Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Habari ya wakati huu wakuu.
Mwenzenu nimeamua kuchukua Rumion ila sasa nimekuta kuna toleo la 2007-2008 na toleo la 2010-2015.
Haya matoleo mawili nimeona yana tofauti ndogo za muonekano; show ya mbele, ndani kwenye dashboard hasa sehemu ya AC na ndani kwa nyuma. Sijui kuhusu uimara...
Ni Mimi Mr.Noma napenda sana kuwa Mkuu wa Wilaya au Mkoa! Nahitaji kujifunza.Nikikosa hata Ukurugenzi tu wa halmshauri unanifaa. Kwa ninavyojua wananchi watapata maendeleo sana katika enoe Hilo. Maana sipendi uzembe.
Nimepoteza antenna (dongle) ya wireless mouse yangu.
Bila hii dongle, siwezi kutumia mouse wala external keyboard yangu...
Kazi hazifanyiki kabisa, maana internal keyboard ya laptop baadhi ya button zinazingua.
Naweza nikapata replacement yake kweli? Ama 2.4 GHz frequency bands...
Ni maoni yangu tu, maana hao makatibu wakuu ndio watendaji wakuu wa wizara. Kama waziri hayupo sawa, maana yake hata katibu wa wizara atakuwa hayupo sawa
Ni mtazamo wangu tu
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali...
Habari za saa hizi wakuu kuna demu nimeotea bhana sasa simwelewi leo ni mara ya pili nampeleka gheto tunafanya romance fresh ikifika wakati nataka kuanza tafuna mbususu anazima anapandisha mashetani.
Mara ya kwanza nikajua masihara leo mara ya pili ni hivo hivo akiwa kwenye hiyo situation...
Hedhi anakaa siku 3 hadi 4,
Mara nyingi kwenye siku anaingia kati ya tarehe 26, 27 na 28 kila mwezi.
Je, kwenye mzunguko huu hapana tatizo?,
je mzunguko huu ni wa siku ngapi?
Je, kwenye mzunguko huu siku zake za hatari ni zipi?
Heshima kwenu wakuu.
Hivi, unaweza ukakuta Wimbo umewekwa You Tube lakini sio video, utakuta kama CD Inazunguka hivi halafu kuna jina la Wimbo pembeni na jina la Msanii husika huku Equalizer zinapanda na kushuka.
Huwa wanatumia program gani wadau? Na pia je, huwa ni kwa kutumia simu, computer...
Mimi kijana mwenye miaka 29 natafuta kazi yeyote kuhusu elimu mi degree holder, lakini njaa haijui Mambo ya degree.
Nahitaji kazi yeyote iwe halali au haramu. Naweza fanya sales and marketing KUTOKANA na experience ya miaka 3 niliyowahi kufanya kazi Huko nyuma.
Niko morogoro
Nikisema haramu...
HABARI WAKUU, Rejea kichwa cha habari hapo juu moja kwa moja kwenye moja nambili nikwamba tv yangu haichukui picha kupitia AV1 NA AV2 lakn ukichomeka kupitia mfumo huu wa (y cb cr) inaonesha lakn inakuwa haina rangi,, tatizo ni nini hapo wakuu?
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika.
Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so jioni ile wakati kagiza kameingia na safari lager zangu zikiwa zimenikolea, nikawa nimemuita yule...
Heshima kwenu wakuu.
Natumai ndani ya JF tuna watu smart & peace kabisa, sasa ningependa tutambuane please.
Kama wewe ni muhuni mwenzetu hebu dondosha signature hapa chini mkuu.
Nawasilisha.
Heshima kwenu wakuu.
Naomba mnielekeze jinsi gani naweza kuikuza hii movie ijae/ienee/ionekane kwenye screen nzima...?
Naombeni msaada wenu wakuu.
Shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.