Hahahahahah Hamna mwamba imebidi niulize tu kwanza nipate ujuzi.mkuu ushauza mechi
Thanks bossInaweza isionekane pia unaweza upate au usipate
I was just asking boss, nlitaka nipate knowledge tu.nothing happened.Tayari kaanze matibabu
Poapoa mkuuUkipima kwa hizi Rapid , haitoonekana
ILA SASA, NDIO KIPINDI AMBACHO ANAAMBUKIZA SANAAA.
Poapoa mkuuvinaonekana kwa kipimo kikubwa ila hivyo vingine hauonekani na utaendelea kuambukiza watu kama kawaida
Wakuu mfano mtu kapata HIV leo alafu baada ya wiki ukimpima itaonekana na Je baada ya hio wiki mkisex ata kuambukiza? Nawasilisha
HahahhahahahhPole sana naona umeunganishwa kwenye grid
Hahahahahah unazingua mkuuPole sana, ila siyo mwisho wa dunia...
Tafuta pep umezeWakuu mfano mtu kapata HIV leo alafu baada ya wiki ukimpima itaonekana na Je baada ya hio wiki mkisex ata kuambukiza? Nawasilisha
HahahahhTafuta pep umeze
😂😂😂😂 Wadau hawajibu maswali ila wanakupa pole na ushauri yan kama umesema umesex na mwenye ukimwi asee.Hahahahh
Hahahahh hii ndo JF kaka itabidi tuvumiliane tu😂😂😂😂 Wadau hawajibu maswali ila wanakupa pole na ushauri yan kama umesema umesex na mwenye ukimwi asee.