MSAADA: Ufafanuzi kwenye viambatanisho vya maombi ya ajira 2022

Juicy J

Member
Apr 11, 2022
8
1
Habari za wakati huu wadau, natumaini muwazima wa afya. Kwa wale tunaoendelea na kutuma maombi Mungu atusaidie sana.

Kuna mkanganyiko kidogo nimeupata kutoka kwa hawa TAMISEMI. Katika page yao ya Instagram waliopost tangazo la ajira kuna mdau aliuliza swali kuhusiana na vyeti kama vinatakiwa viscaniwe original ama copy zake zikiwa na muhuri wa mwanasheria

Screenshot_20220422-123355.jpg


Sasa jamani, hapo tunatumia copy ambazo ni certified na mwanasheria au tunascan vyeti original kabisa maana kwenye tangazo lao hawajafafanua kuhusiana na hilo Ila wameenda kulieleza Instagram. Tusaidiane wakuu, naamini wapo wajuao kwa undani juu ya hili.

NB: Ni Mara yangu ya kwanza kuapply
 
Huyo aliyejibu hapo ni admin na huenda hata yeye hajui taratibu zote ,hivyo basi soma tangazo na maelekezo hao neno baada ya neno then fuata hayo ...!achana na Mambo ya Instagram
 
Ndugu muombaji, toa copy ya cheti chako then certify copy yako, then scan hiyo certified copy , finally attach hiyo kitu. SIMPLE.
Daaah, hapa ndo nachanganyikiwa. Kila mtu anaongea la kwake,, which is which wakuu maana hili suala ni serious
 
Skia mkuu, me nakushauri weka certified certificates.. Ila fanya hv toa copy coloured then kagonge mihuri uaprod hapo utakuwa umeweka vyeti OG vyenye rangi na hata wakitaka mihuri imewekwa pia. Kwanza navyofahamu vyeti vikiwa certified hvyo ni OG na havina longolongo hawawezi vikataa.. Ila ukweli usiopingika ni kuwa watu wa juu kwenye hz mamlaka ni vichaa sana just imagine Kila mtu anasema lake.. kwanza kwa Sasa hakuna Ajira ambazo unaweza ukatuma maombi kwa vyeti OG au copy zisizo certified. Fuatilia hata hiz Ajira nyingi za Halmashauri ni lazima uthibitishe vyeti kwa wakili.
Hii mambo ndo walikuja kuchanganya watu kule AjiraPortal utumishi.. kipindi Cha nyuma mtu akiweka tu OG alikuwa anaitwa interview na kupangiwa kazi mojakwamoja... Ila mwka huu wamekuja kubadilika bila taarifa, na watu wengi wameshindwa kuitwa Interview kwa kuwa hawajacertify vyeti..
 
Skia mkuu, me nakushauri weka certified certificates.. Ila fanya hv toa copy coloured then kagonge mihuri uaprod hapo utakuwa imeweka vyeti OG vyenye rangi na hata wakata mihuri imeweka pia. Kwanza navyofahamu vyeti vikiwa certified hvyo ni OG na havina longolongo hawezi vikataa.. Ila ukweli usiopingika ninkuwa watu wa juu kwenye hz mamlaka ni vichaa sana just imagine Kila mtu anasema lake.. kwanza kwa Sasa hakuna Ajira ambazo unaweza ukatima maombi kwa vyeti OG au copy zisizo certified. Fuatilia hata hiz Ajira nyingi za Halmashauri ni lazima uthibitishe vyeti kwa wakali.
Hii mambo ndo walikuja kuchanganya watu kule AjiraPortal utumishi.. kipindi Cha nyuma mtu akiweka tu OG alikuwa anaitwa interview na kupangiwa kazi mojakwakwa moja... Ila mwka huu wamekuja kubaldilika bila taarifa, na watu wengi wameshindwa kuitwa Interview kwa kuwa hawajacertify vyeti..
Yaani mkuu hizi mamlaka zimeamua kabisa kuchanganya watu, nadhani ni kukurupuka na kukosa weledi tu. Suala serious kama hili linapaswa kutolewa maelezo yaliyonyooka ambapo hakutokuwa na maswali mengi kwa waombaji. Yaani mpaka sasa najitafuta tu
 
Nyie wenzangu mfumo umewakubalia, manana Mimi kila ninapojaribu kufungua account mfumo unaload tu bila mafanikio yoyote
Hapana mkuu, unasumbua tu. Umefanyaje kwenye upande wa vyeti wewe? Unatumia original au copies
 
Daaah, hapa ndo nachanganyikiwa. Kila mtu anaongea la kwake,, which is which wakuu maana hili suala ni serious
Kitu gani huelewi hapo Mwalimu? Hakikisha copy yako imekiwa certified, hilo ndio la msingi...chochote unachotuma online ile so Original lazima kiwe Certified, maana naona watu mnachanganya kwa kudhani ukiscan cheti chako Orignal basi ndio kinauwa Original.
 
Kwenye ile pdf kuna namba, nilipiga na kuuliza wakaniambia niscan OG niweke kwenye system, nikauliza vp kuhusu ku-certify akasema hawahitaji hayo mambo.
Mtoa mada wapigie simu na wakupe maelekezo.
Simple.
 
Kwenye ile pdf kuna namba, nilipiga na kuuliza wakaniambia niscan OG niweke kwenye system, nikauliza vp kuhusu ku-certify akasema hawahitaji hayo mambo.
Mtoa mada wapigie simu na wakupe maelekezo.
Simple.
Mkuu nashkuru kwa kuniondoa wasiwasi. Ngoja nifanye hivyo
 
Kwenye ile pdf kuna namba, nilipiga na kuuliza wakaniambia niscan OG niweke kwenye system, nikauliza vp kuhusu ku-certify akasema hawahitaji hayo mambo.
Mtoa mada wapigie simu na wakupe maelekezo.
Simple.
hii ndo njia pekee ilionipa ajira mim mwaka jana mwezi wa kumi,,,,niliscan tu magamba nikaya upload kazi kwisha,,,,,vyeti og au fake si watanikagua nikifika huko kazini.

ukifika kazini ulipopangiwa lazima uwasilishe tena magamba yako pale hospital kwa katibu na wanayapitia.

Yote yote kwa yote pia, hata kabla hujafika huko, mtu yeyote aliesoma na ana vyeti hapa Tanzania details zake zipo kwenye server za serikali kikamilifu kabisa. Sidhani kama taasisi kubwa kama wizara watakuchagua kwa kuangalia tu vyeti vyako kwenye ajira.moh.go.tz na kukuchagua,,,,lazima wafanye follow up ya uhalali wa elimu yako.

Tena kinachochekesha zaidi hawa wanasheria hawana access yoyote ya kutambua uhalali wa vyeti vyako, unampa elfu 10 anatembeza muhuli chap unasepa.....!!!!

Sasa kwa nn pawe na ulazima wa hawa wanasheria kucetify vyeti.

mleta mada scan vyeti upload fanya application upate kazi uanze kutafuna kodi zetu
 
hii ndo njia pekee ilionipa ajira mim mwaka jana mwezi wa kumi,,,,niliscan tu magamba nikaya upload kazi kwisha,,,,,vyeti og au fake si watanikagua nikifika huko kazini.

ukifika kazini ulipopangiwa lazima uwasilishe tena magamba yako pale hospital kwa katibu na wanayapitia.

Yote yote kwa yote pia, hata kabla hujafika huko, mtu yeyote aliesoma na ana vyeti hapa Tanzania details zake zipo kwenye server za serikali kikamilifu kabisa. Sidhani kama taasisi kubwa kama wizara watakuchagua kwa kuangalia tu vyeti vyako kwenye ajira.moh.go.tz na kukuchagua,,,,lazima wafanye follow up ya uhalali wa elimu yako.

Tena kinachochekesha zaidi hawa wanasheria hawana access yoyote ya kutambua uhalali wa vyeti vyako, unampa elfu 10 anatembeza muhuli chap unasepa.....!!!!

Sasa kwa nn pawe na ulazima wa hawa wanasheria kucetify vyeti.

mleta mada scan vyeti upload fanya application upate kazi uanze kutafuna kodi zetu
Mkuu mpaka hapo umemaliza kila kitu,,, sina dukuduku tena juu ya hili suala. Kilichobaki hapa ngoja nipambane na mtandao tu
 
hii ndo njia pekee ilionipa ajira mim mwaka jana mwezi wa kumi,,,,niliscan tu magamba nikaya upload kazi kwisha,,,,,vyeti og au fake si watanikagua nikifika huko kazini.

ukifika kazini ulipopangiwa lazima uwasilishe tena magamba yako pale hospital kwa katibu na wanayapitia.

Yote yote kwa yote pia, hata kabla hujafika huko, mtu yeyote aliesoma na ana vyeti hapa Tanzania details zake zipo kwenye server za serikali kikamilifu kabisa. Sidhani kama taasisi kubwa kama wizara watakuchagua kwa kuangalia tu vyeti vyako kwenye ajira.moh.go.tz na kukuchagua,,,,lazima wafanye follow up ya uhalali wa elimu yako.

Tena kinachochekesha zaidi hawa wanasheria hawana access yoyote ya kutambua uhalali wa vyeti vyako, unampa elfu 10 anatembeza muhuli chap unasepa.....!!!!

Sasa kwa nn pawe na ulazima wa hawa wanasheria kucetify vyeti.

mleta mada scan vyeti upload fanya application upate kazi uanze kutafuna kodi zetu
Naona mkuu umekuwa pest mkubwa wa kutafuna Kodi zetu
 
hii ndo njia pekee ilionipa ajira mim mwaka jana mwezi wa kumi,,,,niliscan tu magamba nikaya upload kazi kwisha,,,,,vyeti og au fake si watanikagua nikifika huko kazini.

ukifika kazini ulipopangiwa lazima uwasilishe tena magamba yako pale hospital kwa katibu na wanayapitia.

Yote yote kwa yote pia, hata kabla hujafika huko, mtu yeyote aliesoma na ana vyeti hapa Tanzania details zake zipo kwenye server za serikali kikamilifu kabisa. Sidhani kama taasisi kubwa kama wizara watakuchagua kwa kuangalia tu vyeti vyako kwenye ajira.moh.go.tz na kukuchagua,,,,lazima wafanye follow up ya uhalali wa elimu yako.

Tena kinachochekesha zaidi hawa wanasheria hawana access yoyote ya kutambua uhalali wa vyeti vyako, unampa elfu 10 anatembeza muhuli chap unasepa.....!!!!

Sasa kwa nn pawe na ulazima wa hawa wanasheria kucetify vyeti.

mleta mada scan vyeti upload fanya application upate kazi uanze kutafuna kodi zetu
Hapo unamaanisha ungecertify ungekosa ajira?
 
Mimi nikiaplod vyeti vyangu vinaleta kb 200, haijafika mb 2 wanazotaka wao. Hii imekaeje wadau???. Nilipue au niende kuscan upya
 
Mimi nikiaplod vyeti vyangu vinaleta kb 200, haijafika mb 2 wanazotaka wao. Hii imekaeje wadau???. Nilipue au niende kuscan upya
𝐊𝐰𝐚𝐧𝐒 π°πšπ—Ίπžπ¬πžπ—Ίπš 𝐯𝐲𝐞𝐭𝐒 𝐯𝐒𝐚𝐧𝐳𝐒𝐞 𝐌𝐁 𝐧𝐠𝐚𝐩𝐒?
 
𝐊𝐰𝐚𝐧𝐒 π°πšπ—Ίπžπ¬πžπ—Ίπš 𝐯𝐲𝐞𝐭𝐒 𝐯𝐒𝐚𝐧𝐳𝐒𝐞 𝐌𝐁 𝐧𝐠𝐚𝐩𝐒?
Aloo
 
Back
Top Bottom