figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Salaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.