Wabunge wa bunge la EAC toka kenya wameonyesha ulafi wao wa fedhaa ktk bunge la EAC wakidai walipwe daily subsistance allowance ili hali wana fanyia kazi nchini kwao ..AIBU gani hii kwa wabunge walafi
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma
Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya...
basi
ccm
cuf
jaji
john
john magufuli
jpm
lissu
lisu
maamuzi
magufuli
maji
marekani
mtu
nchi
ofisi
rais
rais magufuli
sababu
tundu lissu
uchaguzi
uingereza
urais
video
wabunge
wote
Wadau mpaka sasa nasikia CCM baadhi ya majimbo imesimamisha wagombea pekee baada ya wagombea wa vyama vingine kutokidhi baadhi ya vigezo.
Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua.
Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets...
barua
ccm
ded
january makamba
jpm
maendeleo
makamba
matajiri
mawaziri
mbunge
paramagamba kabudi
serikali
serikali za mitaa
ubunge
uchaguzi
uhusiano
wabunge
Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea...
I’m going to go in and keep it a buck all the way.
Ni hivi, wabunge wengi sana wa bunge la Tanzania ni wachumia matumbo tu.
Hawapo bungeni kuwawakilisha wananchi wa majimbo yao.
Kwa sababu hiyo, mimi ningependa malipo yao yote, yaani kuanzia mshahara, posho zile kipumbavu, marupurupu, na...
WABUNGE takribani 75 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao walijitosa kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba mwaka huu, wameangukia pua.
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya taifa (NEC), uliopitisha majina ya wagombea hao, umefanyika leo Alhamisi, tarehe 20 Agosti 2020 chini ya...
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kinakutana leo chini ya Mwenyekiti wake Rais Magufuli. Miongoni mwa agenda ni kupitisha majina ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Uwakilishi.
Mkutano utarushwa mubashara na Channel ten, TBC na ITV
Up dates;
Wajumbe wa halmashauri kuu tayari wameanza kuingia...
Mtakubaliana na Mimi kwasasa Kuna wimbi kubwa la wafanyakazi wanaoacha kazi kutokana na maisha magumu, Miaka 6 hii itabaki kwenye kumbu umbu ya vizazi na vizazi kwa watumishi wa Umma.
Hakuna asiyejua "kichapo" kwa watumishi wa Umma na kupelekea kupoteza points zote tatu kwa miaka mitano...
Nchi zote zilizoendelea viongozi wao wote huwa Wana toka au kuchaguliwa na watu wa Maeneo husika. Hii ni kwa kuwa wao ndiyo wanajua matatizo ya wananchi wao.
Kama kweli tunataka maendeleo ni sasa ni muda muafaka wa kurekebisha Hii za a ya kikoloni ya kuchaguliwa au kupewa viongozi kwa vile tu...
Kwasasa Tanzania yetu ukienda kwenye interview hata Kama nafasi ya wahitimu wa darasa la saba mnachujwa kwa kufaham kiingereza inakuaje uko kwa madiwani na wabunge interview zao zinakua za kiswahili wakati ni nafasi muhimu sana.
Bodi ya mishahara nchini Kenya imepinga mpango wa kuongeza pensheni kwa wabunge 375 wa zamani.
Mkuu wa bodi hiyo, Lyn Mengich, amesema iwapo wabunge wataongezewa pensheni wafanyakazi wengine wa ofisi za Umma watataka mishahara yao iongezwe pia.
Wiki hii wabunge nchini humo walipitisha muswada...
Hii kama siyo rushwa basi ni uzalendo na Utu uliotukuka.
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mhe. Mbatia amewashukuru waliokuwa wabunge kupitia Chadema na sasa wamehamia chama hicho kwa mchango wao mkubwa wa fedha uliofanikisha Mkutano Mkuu ufanyike.
Mbatia amewataja Mhe. Selasini. Mhe. Komu, Mhe...
Kwa bahati nzuri niliweza kufuatilia ziara zote za Rais Magufuli katika awamu yake ya kwanza ya uongozi.
Kila aliposimama kusalimia wapiga kura wake alielezwa matatizo lukuki na wananchi wa maeneo hayo kana kwamba hawana mbunge na hii ni ishara kuwa Wabunge wengi wa awamu hii ni mizigo...
Kumekucha salama,
Leo tarehe 06.08.2020 mgombea nafasi ya kazi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kwa Chama cha Mapinduzi, atachukua fomu kwenye ofisi ya NEC makao makuu ya Dodoma.
Baada ya kuchukua fomu ataongea na wananchi pia wanachama wa CCM kwenye ukumbi wa White House...
Baada ya vita kati ya wasomi na wajumbe kuisha, inaonekana wajumbe kushinda kete ya kuwaingiza wenzao kwenye bunge. Inaelekea wasomi hawajaleta tija kwao kutokana na kupwya kwa bunge lililopita. Kwa ufupi wa kulaumiwa ni hawa viongozi yani Ndugai na tulia walivyoshindwa kusimamia hhoja...
Mtu unatoka bungeni ukiwa umekamilika na mzigo wako wa 200m+ kibindoni halafu kwenye kura za maoni unakuwa namba 3 huo ni uzembe uliotukuka.
Hata sheria na kanuni zitakucheka.
Maendeleo hayana vyama!
Tuanzie pale bungeni je wapinzani huwa wanaunga mkono hoja za serikali ya CCM?
Kwenye mabaraza ya madiwani je wapinzani wanashirikiana na CCM kuleta maendeleo?
Tukijiridhisha ndio tutaona umuhimu wa kuongozwa na wabunge wa "chama tawala" ili kukoleza kasi ya maendeleo.
Nawatakia Eid Mubarak...
Huu utaratibu wa sasa wa kulazimisha Baraza la Mawaziri kuundwa kutokana na wabunge ni tatizo kubwa. Kwanza kuna viongozi wazuri ambao sio wanasiasa. Pili, kutoa wabunge wengi hivi Bungeni badala ya kutetea Majimbo yao wanakuwa watetezi wa Serikali. Vilevile ndiyo sababu wengi wanakimbilia...
Habari wadau
Wajumbe wa CCM wamejitahidi sana kutoangalia majina wakati wa kura za maoni
Mtu kama charles kimei ameshindwa na mtoto mdogo
Mtu kama ngereja ameshindwa na darasa la 7
Hii inaonesha watu wameanza kuamka
Maana majimbo yalikuwa kama shamba la bibi
Mtu anaishi zake Mikocheni ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.