Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,419
- 215,182
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na wanahabari , kumbe hata wale wabunge walioshinda rufaa zao bado mpaka leo hawajapewa barua, na kwa sababu hiyo hawawezi kuanza kampeni.
Taarifa za wajuzi wa mambo zinaonyesha kwamba hii mbinu ya konokono ni mradi wa Tume yenyewe ili kuwachelewesha wagombea wa CHADEMA kuanza kampeni.