William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Ilikuwa hivyo tokea mwaka 2010. Kata haiunganishi matokeo ya Raisi Wala ubunge.
Una uhakika?Ilikuwa hivyo tokea mwaka 2010. Kata haiunganishi matokeo ya Raisi Wala ubunge
Una uhakika?Ilikuwa hivyo tokea mwaka 2010. Kata haiunganishi matokeo ya Raisi Wala ubunge
Wanapotosha sana hawa watu, sijui ni kwa faida ya naniIlikuwa hivyo tokea mwaka 2010. Kata haiunganishi matokeo ya Raisi Wala ubunge
Ni kweli anachokisema, mimi nimesimamia uchaguzi 2015, baada ya kura kupigwa , katani ziliunganishwa kura za udiwani pekee, but za Rais na wabunge zilipelekwa makao makuu ya wilaya ambako zilijumuishwa na matokeo kutangazwaUna uhakika?
Wanapotosha sana hawa watu, sijui ni kwa faida ya nani
Inaonekana 2020 ndio mwaka wako wa kwanza kupiga kura, huo ndio utaratibu wa siku zote hakuna jpya hapo!Kama ndivyo basi mwaka huu hakuna uchaguzi bali ni uchafuzi. CCM wamejiandaa kushinda kwa nguvu kwa maslahi yao binafsi maniiina zao!
Wanakera sana hawa jamaa, kila kukicha visingizio waonekane wanaonewaWameshapoteza mechi vinatafutwa visingizio.
Ni kweli anachokisema, mimi nimesimamia uchaguzi 2015, baada ya kura kupigwa , katani ziliunganishwa kura za udiwani pekee, but za Rais na wabunge zilipelekwa makao makuu ya wilaya ambako zilijumuishwa na matokeo kutangazwa
Mtoa mada amesema huo utaratibu umeanza mwaka huu, so nilikua nampinga kuwa utaratibu ni wa siku nyingi si mwaka huu tuZikijumlishwa kwenye KATA kisha zikapelekwa kwenye JIMBO kuna SHIDA GANI?
HAPO MASHAKA YA WIZI WA KURA NA KUONGEZA VITUO VYA KUPIGIA KURA YANAONGEZEKA.
Ila sio kitu kipya ndo utaratibuKama ndivyo basi mwaka huu hakuna uchaguzi bali ni uchafuzi. CCM wamejiandaa kushinda kwa nguvu kwa maslahi yao binafsi maniiina zao!
Kwann tunatumia huo utaratibu? Kwann zisitangazwe kwenye kituo husika?Ni kweli anachokisema, mimi nimesimamia uchaguzi 2015, baada ya kura kupigwa , katani ziliunganishwa kura za udiwani pekee, but za Rais na wabunge zilipelekwa makao makuu ya wilaya ambako zilijumuishwa na matokeo kutangazwa
Hapo sifahamu, kulikua na umuhimu wa viongozi wa upinzani ku address hili mapema, ila waliamua kutumia muda mwingi kulalamika majukwaani so wasubiri utaratibu utumike waliojiwekea tumeKwann tunatumia huo utaratibu? Kwann zisitangazwe kwenye kituo husika?
Kwa faida yao mkuu... simple km ivo yaniWanapotosha sana hawa watu, sijui ni kwa faida ya nani
Ni kweli anachokisema, mimi nimesimamia uchaguzi 2015, baada ya kura kupigwa , katani ziliunganishwa kura za udiwani pekee, but za Rais na wabunge zilipelekwa makao makuu ya wilaya ambako zilijumuishwa na matokeo kutangazwa
Siyo kweli, 2015 nilibahatika kupata nafasi ya kusimamia ILA haikuwa hivyoIlikuwa hivyo tokea mwaka 2010. Kata haiunganishi matokeo ya Raisi Wala ubunge.