Uchaguzi 2020 Wabunge wa CCM wafuatao watasombwa na upepo wa kimbunga cha Lissu kama walivyosombwa na mafuriko baadhi ya wabunge wa Kaskazini mwaka 2015

Mkamanga junior

Senior Member
Jul 27, 2018
159
224
Mwaka 2015 wako baadhi ya wabunge wa CCM waliopoteza majimbo yao kutokana na mafuriko ya Lowassa, wabunge wengi wa Kaskazini hawakufanikiwa kurudi tena bungeni kutokana na mafuriko ya Lowassa. Na hii ilitokana na mgombea kutokea ukanda huo.wabunge kama Ole Sendeka, Anna Kilango, Steven Kebwe, Agrey Mwanry, na wengineo walisombwa na mafuriko hayo ya Lowasa

Mwaka huu wabunge wengi wa CCM toka mkoa wa singida hawatarudi. Watasombwa na kimbunga cha Lissu. Kaka yangu Mwigulu alivyobanwa mwaka huu ameacha hadi kufanya kampeni kutwa anashinda ofisi ya msimaizi kupanga ni namna gani atatangazwa mshindi , si kawaida yake Mwigulu .amebanwa sana mwaka huu. lakini wabunge wa ccm wa mkoa wa singida karibu wote wanapumulia mashine.

Na Lissu ameamua kuushambulia mkoa huo si kawaida na wananchi wanamwelewa. Hakika CCM wakishindwa kubanana na mawakala wa chadema na wakawaruhusu kuingia ndani ccm itakuwa imefutika rasmii kwa baadhi ya maeneo. Lakini ninacho kijua Mimi maeneo yote ambayo ccm haikubaliki kama dar,mbeya,arusha kwanza, mkoa wa manyara hawatakubali mawakala wa chadema
 
Mwaka 2015 wako baadhi ya wabunge wa CCM waliopoteza majimbo yao kutokana na mafuriko ya Lowassa, wabunge wengi wa Kaskazini hawakufanikiwa kurudi tena bungeni kutokana na mafuriko ya Lowassa. Na hii ilitokana na mgombea kutokea ukanda huo.wabunge kama Ole Sendeka, Anna Kilango, Steven Kebwe, Agrey Mwanry, na wengineo walisombwa na mafuriko hayo ya Lowasa...
Ni ukweli ulio ' dhahiri ' ! Hilo hakuna anaepinga.
 
Mwaka 2015 wako baadhi ya wabunge wa CCM waliopoteza majimbo yao kutokana na mafuriko ya Lowassa, wabunge wengi wa Kaskazini hawakufanikiwa kurudi tena bungeni kutokana na mafuriko ya Lowassa. Na hii ilitokana na mgombea kutokea ukanda huo.wabunge kama Ole Sendeka, Anna Kilango, Steven Kebwe, Agrey Mwanry, na wengineo walisombwa na mafuriko hayo ya Lowasa...
Ndiyo mbinu pekee iliyobaki
 
Makamu wa Rais Samia Suluhu alishasema mkiwapigia au msipowapigia watashinda.

Inaonekana magoli ya mkono yanaandaliwa.
Uchawi wao upo kwenye mawakala hapo, wakidhibitiwa hapo basi tena. Kwa kuwa Lissu amelitolea macho suala la kuwaapisha ,basi wataapishwa lakini siku ya kupiga kura watachanganywa na hawataruhusiwa kuingia vituoni, hapo ndipo dunia itakapoingilia .
 
Kusini ndio usiseme. Hata Majaliwa kama sio mkakati wa kuhakikisha anapita bila kupingwa angegalagazwa bila aibu.
We jifurahishe humu uchaguzi ukipita uje tena na uzi wa malalamiko kuwa mliibiwa kura,siasa ni mikakati na kushinda nako kuna mbinu.huoni unakuta timu inacheza vizuri mwisho wa mechi inafungwa na inakuwa haina maana tena,kikubwa ushindi,wagombea wengi wa upinzani wamekuwa hawatoshi ndo kitachowanyima ushindi.ccm inaenda kushinda tena uchaguzi huu.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Naunga mkono hoja. Maana mpaka sasa majimbo tunaelekea mwisho wa kampeni. CCM imeshaweka kibindoni majimbo zaidi ya 20. Pia majimbo 60 CCM Mbiligiji hajaweka wagombea ubunge. Zaidi ya kata 80 CCM imeshanyakua ushindi wanasubiri kuapishwa. Bilasha ushindi wa mwaka huu ni wakimbunga kwa JPM na CCM kwa ujumla.
 
Mwaka 2015 wako baadhi ya wabunge wa CCM waliopoteza majimbo yao kutokana na mafuriko ya Lowassa, wabunge wengi wa Kaskazini hawakufanikiwa kurudi tena bungeni kutokana na mafuriko ya Lowassa. Na hii ilitokana na mgombea kutokea ukanda huo.wabunge kama Ole Sendeka, Anna Kilango, Steven Kebwe, Agrey Mwanry, na wengineo walisombwa na mafuriko hayo ya Lowasa

Mwaka huu wabunge wengi wa CCM toka mkoa wa singida hawatarudi. Watasombwa na kimbunga cha Lissu. Kaka yangu Mwigulu alivyobanwa mwaka huu ameacha hadi kufanya kampeni kutwa anashinda ofisi ya msimaizi kupanga ni namna gani atatangazwa mshindi , si kawaida yake Mwigulu .amebanwa sana mwaka huu .lakini wabunge wa ccm wa mkoa wa singida karibu wote wanapumulia mashine. Na lissu ameamua kuushambulia mkoa huo si kawaida na wananchi wanamwelewa. Hakika CCM wakishindwa kubanana na mawakala wa chadema na wakawaruhusu kuingia ndani ccm itakuwa imefutika rasmii kwa baadhi ya maeneo. Lakini ninacho kijua Mimi maeneo yote ambayo ccm haikubaliki kama dar,mbeya,arusha kwanza, mkoa wa manyara hawatakubali mawakala wa chadema
CCM itabebwa na NEC
 
Back
Top Bottom