vyakula

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. maji ya gundu

    Ni vyakula gani vinafaa kuliwa unapokuwa kwenye break up?

    Poleni na majukumu wadau, Mapenzi bwana acha yaitwe mapenzi, tuseme tu kwa kifupi hayana formula Unaweza ukawa na hela ukapigwa chini, unaeza ukawa hb ukapigwa za uso na unaweza ukawa fundi wa kuchezea vizazi ila ukapigwa chini vile vile. Kuna kile kipindi unaenjoy mahusiano hadi unatamani...
  2. Sky Eclat

    Tujenge utaratibu wa kusafiri na vyakula vya kula njiani

    Wenye hoteli za njiani wengi hawatapenda hili bandiko. Lakini kusafiri na chakula ni muhimu hasa unapokua na watoto. Bei ya vyakula njiani ni kubwa pia ubora wake unatia mashaka. Unakuta viazi vitamu viko kwenye karai vimepata vumbi la kutosha tu, vingine unanunua unagundua vimeanza kuoza...
  3. Mkogoti

    Kuna watu bwana vyakula vingine hawawezi kula au kuchanganya anahisi atatapika

    Kama Mimi kuna jamaa zangu mmoja hawezi kula ndizi mbivu anahisi atatapika, mwingine huyo anasema akila wali na soda basi lazima arudishe basi fuluuu raha unakuta mimi nafurahi kweli nasombelea tu, Ila mimi sasa nikila samaki na chai hapo naweza kutapika vyote maana nahisi kichefuchefu na...
  4. Chembu

    Sheria zipi za kufuata endapo ninahitaji kufungua duka la dawa za mifugo na vyakula vya mifugo?

    Habari za muda huu mwanajukwaa. Ninampango wa kufungua duka la dawa za mifugo pamoja na vyakula vyao. Sasa napata changamoto kuzijua sheria zinazonipasa kufuata. Ikiwa ni lesen na vyeti je ninapaswa kuwa na lesen ya aina gani? Na cheti cha aina gani? Na je ni lazima niwe nimesomea masuala ya...
  5. N

    Dada angu anatafuta kazi mpishi mzuri wa vyakula vya mgahawani hotel

    Habari zenu wadau, Nina dada angu anatafuta amesomea mambo ya hotel so ni mpishi mzuri.Mbali na hlo pia anaweza kufanya kazi kama dukani na nyingne za halali. Kwa mawasiliano niibox ili nikuunganishe nae.
  6. R

    Chakula kinaitwa MIX kwa sasa ni uchafu, wabongo tukomae na vyakula vyetu hivi vya waarabu tuwaachie wao

    Nisiwachose let go straight leo nimepita zangu magomen pale sasa kuna kamgahawa nikawa nikawa nasikia harufu ya vitu vzr vzr Mzee baba nikajisemea leo ijumaa ngoja nijitose maana hapo zamani nikiwa shule ya msingi pale Msimbazi nimekula sana mix pale Boma nakumbuka ulikuwa unawekewa mchuzi...
  7. Alex Hamadi Hamis

    Natafuta ofisi ya kusambaza vyakula

    Ninatafuta ofisi hapa Dar es Salaam ambazo naweza kusambazia chakula cha mchana 🥗 🥘 Nina Wali, Pilau, Ugali & Ndizi kwenye MENU . (Ila unaweza kuhitaji kingine ambacho hakipo kwenye MENU na ukatengenezewa) Sample ipo kwenye picha hapo chini 👇🏿 Bei zangu ni 3,000/- TZS tu Call/Text/WhatsApp...
  8. D

    INAUZWA Nauza Duka la jumla la Vyakula

    Babari ndugu zangu,nauza duka langu lililopo tandika dable kibin sokoni,duka Ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukar,ngano,mafuta,sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000. Biashara Ni nzuri Sana na ofisi Ni nzuri ila Mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu. Hutojuta...
  9. Samedi Amba

    Natafuta tovuti ya bei ya vyakula Tanzania na Afrika Mashariki

    Habari za leo wanajamvi, Mimi mwenzenu natafuta tovuti inayotoa taarifa ya bei ya vyakula nchini Tanzania (hasa nafaka) na pia Afrika ya Mashariki na Kati. Msaada tafadhali. Nawatakia siku njema.
  10. pingli-nywee

    Mlipuko mpya wa virusi vya Corona waibuka jijini Beijing, China kutoka kwa samaki kwenye soko la vyakula la Xianfadi

    Wakazi wa Beijing wamerudi kwenye hali ya taharuki ya hapo awali janga la Corona lilipoibuka baada ya serikali yao kuweka sehemu za jiji lao kwenye total lockdown na kuwashurutisha maelfu ya watu kupimwa. Hii inafatia mkurupuko mpya wa COVID-19 ulioibuka kutoka kwa samaki aina ya 'Salmon' ndani...
  11. M

    Wapishi wa vyakula, vitafunwa, chips pamoja na wahudumu wanahitajika haraka

    Sifa 1. Awe anajua kupika chakula na vitafunwa vyenye radha nzuri 2. Awe na lugha nzuri Sana 3. Usafi wake na mahala pa kazi ni sifa nyingine muhimu 4. Nidhamu pamoja na kuheshimu mda wa kufika kazini 5. Ajira ni ya mkataba wa mwaka mmoja mmoja Mahari Rhian tastfood restaurant, Mabibo-Dar Es...
  12. fabinyo

    Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

    Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika? Asanteni
  13. B

    Hizi biashara za vyakula hazisambazi covid-19 kweli?

    Moja kwa moja kwenye mada. Kuna hizi biashara za vyakula mfano: miwa iliyo menywa, mahindi ya kuchomwa, nk. Hivi hushikwa shikwa na watayarishaji hasa kwa miwa. Mahindi ya kuchomwa hushikwa shikwa hata na wateja kujiridhisha ugumu au ulaini wake. Sahani za vyakula, nyuma (uma), vijiko, vikombe...
  14. J

    Wasamaria wema watoa msaada wa vyakula kwa watu walio katika Karantini kwenye hosteli za Magufuli pale UDSM

    Wasamaria wema kutoka katika jumuiya mbalimbali za kijamii jijini DSM wametoa msaada wa vyakula na maji safi ya kunywa kwa watu walio katika karantini kwenye hosteli za Magufuli pale UDSM. Mmoja wa wasamaria hao amesema walipata taarifa kuwa baadhi ya watu walio katika karantini hawana hata...
  15. Miss Zomboko

    Wakuu wa Mikoa wapewa kazi ya kuwashughulikia wanaopandisha bei ya vyakula kwenye mfungo wa ramadhani

    Wakuu wa Mikoa kote nchini wameagizwa kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuuza sukari kwa shilingi 4500. Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa. Majaliwa ameyasema hayo leo...
  16. J

    Kwanini mwezi wa Ramadhani vyakula vinapanda sana bei wakati walaji wa mchana wanapungua?

    Nimewasikia baadhi ya viongozi wa Bakwata mkoani Shinyanga kupitia ITV wakilalamika kupotea kwa sukari na mfumuko wa bei za vyakula wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Viongozi hao wanadai wafanyabiashara wasio waaminifu wameficha sukari ili waje waiuze kwa bei ya juu pindi mfungo utakapofika...
  17. Mimtamu

    Msaada: Vyakula vya kutunza wakati wa majanga

    Habari wakuu, Moja kwa moja nijielekeze kwenye hoja ya msingi. Nahitaji elimu itakayotufaa kipindi hiki cha kujihami na janga la COVID-19. Je, ni vyakula gani tunapaswa kuhifadhi ili visaidie kwa kipindi kirefu zaidi tutapokuwa majumbani kwetu. Kwa kuongezea pia ni vitu gani muhimu kuwa navyo...
  18. J

    CoronaVirus: Namna kusaficha Vyakula na kula vyakula vyenye virutubisho kipindi cha kukaa ndani

    Kutokana na Ugonjwa wa #COVID19 familia nyingi zimejikuta katika wakati mgumu ambapo zinatakiwa kukaa ndani ili kuzuia kuenea kwa maambukizi. Hii ni baadhi ya namna ya kukufanya ule chakula chenye virutubisho vya kutosha 1. TUNZA MATUNDA NA MBOGAMBOGA Kununua, kutunza na kupika mbogamboga...
  19. Miss Zomboko

    Wanaofanya diet kwa kutokula vyakula vya wanga hatarini kupata matatizo ya ubongo

    MTAALAMU wa lishe kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Maria Samlongo, amesema wanaojinyima kula vyakula vya wanga ili kupunguza uzito wako hatarini kuathiri uwezo wa ubongo kutokana na kundi hilo la chakula kuhitajika zaidi. Alisema vyakula vya kundi la wanga husaidia ubongo...
  20. mambo_safi

    Hivi vyakula vya asili vimepotelea wapi?

    Nimezaliwa na kulelewa Bukoba mpaka nilipoanza kidato cha kwanza ndo kama nilihama mkoa wangu mpaka sasa umri unasoma kula chumvi nyingi. Tangu miaka hiyo sijawahi kukutana na vyakula hivi vya asili kwa majina ya kihaya vinaitwa: "Amakongo" "Ebira" "Ebira ebilikweera" "Amasoma" "Enumbu"...
Back
Top Bottom