wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
wakuu, leo mtujikite kwenye mada ya vyakula, katika dunia ya sasa 90% ya vyakula tunavyokula ni industrial processed ni sehemu chache sana zilizobaki hasa vijijini ambapo unapata chakula pure, ambacho hakina preservative, ila mostly vyakula tunavokula vinatoka kwenye industries na makampuni binafsi, mfano, unga, soda, bia, bites, mafuta ya kupikia, maji.
Lakini je kuna umakini kiasi gani katika vitengo vya kuchunguza vitu tunavokula ni salama, najua kuna vitengo vinahusika na hivi vitu, lakini hii mambo ni nyeti sana kuliko sector yoyote unayopifikilia, maana sector ya usalama wa chakula ikishindwa kufanya kazi yake kwa umakini, taifa linaweza angamia kama vifo vya kumbi kumbi, au tunaweza zalisha watoto wengi wenye ulemavu.
Sumu si kitu poa, unapoamini sector fulani serikalini kwenye usalama wa chakula cha mwananchi, unakua ni kama umempa roho za wananchi milioni 60. Kwa maana ya kwamba either kimakusudi au kwa bahati mbaya anaweza akaruhusu mazingira hatarishi ya chakula. cha msingi hapa nilichotaka kuuliza je serikali inaangalia swala hili kwa jicho la tatu, au inachukulia poa.
Ukichunguza taifa kama ujerumani, lina udhibiti mkali sana wa vyakula, kuanzia viwandani hadi kwa consumer, kwa maana wanakagua kwa umakini bidhaaa zinazoingia kwenye nchi, hotel, restaurant, quality ya chakula, upimaji wa quality ya maji, kiwango cha dawa za sumu za mashambani. wanakagua klila angle, hawana masihala katika hii kitu.
Je, kwa Tanzania nchi yetu, Watanzania wenzangu, je haya mambo yapo, nilitaka kujua tu, wote ni watanzania lazima tujue, kama ukaguzi unafanyika vizuri ni swala la heri, lakini kama unamapungufu, tuelezane. toa maoni kama una mawazo.
Lakini je kuna umakini kiasi gani katika vitengo vya kuchunguza vitu tunavokula ni salama, najua kuna vitengo vinahusika na hivi vitu, lakini hii mambo ni nyeti sana kuliko sector yoyote unayopifikilia, maana sector ya usalama wa chakula ikishindwa kufanya kazi yake kwa umakini, taifa linaweza angamia kama vifo vya kumbi kumbi, au tunaweza zalisha watoto wengi wenye ulemavu.
Sumu si kitu poa, unapoamini sector fulani serikalini kwenye usalama wa chakula cha mwananchi, unakua ni kama umempa roho za wananchi milioni 60. Kwa maana ya kwamba either kimakusudi au kwa bahati mbaya anaweza akaruhusu mazingira hatarishi ya chakula. cha msingi hapa nilichotaka kuuliza je serikali inaangalia swala hili kwa jicho la tatu, au inachukulia poa.
Ukichunguza taifa kama ujerumani, lina udhibiti mkali sana wa vyakula, kuanzia viwandani hadi kwa consumer, kwa maana wanakagua kwa umakini bidhaaa zinazoingia kwenye nchi, hotel, restaurant, quality ya chakula, upimaji wa quality ya maji, kiwango cha dawa za sumu za mashambani. wanakagua klila angle, hawana masihala katika hii kitu.
Je, kwa Tanzania nchi yetu, Watanzania wenzangu, je haya mambo yapo, nilitaka kujua tu, wote ni watanzania lazima tujue, kama ukaguzi unafanyika vizuri ni swala la heri, lakini kama unamapungufu, tuelezane. toa maoni kama una mawazo.