Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Kama Mimi kuna jamaa zangu mmoja hawezi kula ndizi mbivu anahisi atatapika, mwingine huyo anasema akila wali na soda basi lazima arudishe basi fuluuu raha unakuta mimi nafurahi kweli nasombelea tu,
Ila mimi sasa nikila samaki na chai hapo naweza kutapika vyote maana nahisi kichefuchefu na mimi ni Mwanaume 😜😁 maana najua kuna watu humu watakuja na yao,
Ebu tuelezane wewe naona ukichanganya chakula gani na gani basi havitaki kukaa tumboni.
🤦🤪🏃
Ila mimi sasa nikila samaki na chai hapo naweza kutapika vyote maana nahisi kichefuchefu na mimi ni Mwanaume 😜😁 maana najua kuna watu humu watakuja na yao,
Ebu tuelezane wewe naona ukichanganya chakula gani na gani basi havitaki kukaa tumboni.
🤦🤪🏃