Choo ni kipimo cha ustaarabu katika jamii

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,273
Choo ni sehemu ya muhimu sana, iwe nyumbani, hotelini, ofisini, sokoni, safarini, nk. Utunzaji wa choo unahusisha usafi wake. Ukitaka kufahamu ustaarabu wa jamii angalia mpango lip wa vyoo na usafi wake.

Hata uishi kwenye nyumba yenye thamani ya mabilioni, kama choo chako ni kichafu wanaokuzunguka hawataona thamani ya nyumba watashusha thamani ya ustaarabu wako.

Wastaarabu wakijenga majengo yanayohudumia jamii, wanahakikisha kuna timu kamili ya usafi wa vyoo. Hata iwe kwa kulipia lakini mtu yeyote atakae taka huduma hii inapatikana kikamilifu ikiwa na nyenzo zote za huduma iwe maji au karatasi maalum. Pia maji na sabuni ya kunawia mikono baada ya kumaliza matumizi ya choo.

1614675851342.png
 
Sasa kama nyumba ya kupanga. Wapangaji walioishi kabla yetu ndio walikua wachafu.
Kabla ya kupanga si unaenda kukagua nyumba ukiona inamazingira machafu kwanin upange? Au kama ni msafi unaweza tumia gharama zako kuweka mazingira safi inakuwa poa zaidi.
 
Watanzania wanakitu kimewashinda kabisa.

KU FLUSH PUBLIC TOILET. Mimi nimekwenda function nyingi Serena hotel Dar. Lkn ukienda toilet Kama yule mhudumu wa toilet hajaingia hiyo cabin kufanya usafi utakuta Kuna mtu haha flush. Kumbuka tunaoendaga function Serena sio waswahili wa Magomeni.

Ni watu na suti zao, benzi zao na wake zao wanaovaa chupi za Bei mbaya. Sasa unajiuliza huyu mheshimiwa inamaana home ana flushiwa na mkewe?

Sasa maajabu utayaona Muhimbili. Unaweza usile siku tatu.

Nilipokua Mlimani Kuna siku nililala hall three kule kwa ma slay queen. Usiku si nikaenda haja ndogo. Kumbe hata warembo Wana vyoo vichafu kuliko sisi. Yaani choo kimejaa mpaka juu mamiss kumbe hawaflash.

Pale ilipo Airtel zamani kulikua na hostel ya UWT inayotumiwa na wadada wanaokuja Dar seminar au kozi fupifupi. Wanaume wakware hasa viongozi walikua wanaponea pale.

Sasa rogwa uende hizo toilet zao. Mphuuh. Unajiuliza kumbe Dada zetu mnajua kujipamba nje tu.
Niongeze sauti?
 
Watanzania wanakitu kimewashinda kabisa.
KU FLUSH PUBLIC TOILET. Mimi nimekwenda function nyingi Serena hotel Dar. Lkn ukienda toilet Kama yule mhudumu wa toilet hajaingia hiyo cabin kufanya usafi utakuta Kuna mtu haha flush. Kumbuka tunaoendaga function Serena sio waswahili wa Magomeni. Ni watu na suti zao, benzi zao na wake zao wanaovaa chupi za Bei mbaya. Sasa unajiuliza huyu mheshimiwa inamaana home ana flushiwa na mkewe?
Sasa maajabu utayaona Muhimbili. Unaweza usile siku tatu.
Nilipokua Mlimani Kuna siku nililala hall three kule kwa ma slay queen. Usiku si nikaenda haja ndogo. Kumbe hata warembo Wana vyoo vichafu kuliko sisi. Yaani choo kimejaa mpaka juu mamiss kumbe hawaflash.
Pale ilipo Airtel zamani kulikua na hostel ya UWT inayotumiwa na wadada wanaokuja Dar seminar au kozi fupifupi. Wanaume wakware hasa viongozi walikua wanaponea pale. Sasa rogwa uende hizo toilet zao. Mphuuh. Unajiuliza kumbe Dada zetu mnajua kujipamba nje tu.
Niongeze sauti?
🤣🤣🤣
Kuna kipindi nilkua Shemasi kanisani kwetu, kama unavyojua kazi za ushemasi ni pamoja kufanya usafi kanisani.

Siku moja ilikua ni zamu yetu kufanya usafi, nilipangiwa kudeki vyoo vyote vya wanawake na wanaume tulikua wawili.

Choo zilkua ni chafu vinyesi njenje, bora kwa wanaume nilivyoenda kusafisha choo cha Wanawake.......😷😷😷 mwenzangu alitapika sio kwa uchafu ule
 
Watanzania wanakitu kimewashinda kabisa.

KU FLUSH PUBLIC TOILET. Mimi nimekwenda function nyingi Serena hotel Dar. Lkn ukienda toilet Kama yule mhudumu wa toilet hajaingia hiyo cabin kufanya usafi utakuta Kuna mtu haha flush. Kumbuka tunaoendaga function Serena sio waswahili wa Magomeni.

Ni watu na suti zao, benzi zao na wake zao wanaovaa chupi za Bei mbaya. Sasa unajiuliza huyu mheshimiwa inamaana home ana flushiwa na mkewe?

Sasa maajabu utayaona Muhimbili. Unaweza usile siku tatu.

Nilipokua Mlimani Kuna siku nililala hall three kule kwa ma slay queen. Usiku si nikaenda haja ndogo. Kumbe hata warembo Wana vyoo vichafu kuliko sisi. Yaani choo kimejaa mpaka juu mamiss kumbe hawaflash.

Pale ilipo Airtel zamani kulikua na hostel ya UWT inayotumiwa na wadada wanaokuja Dar seminar au kozi fupifupi. Wanaume wakware hasa viongozi walikua wanaponea pale.

Sasa rogwa uende hizo toilet zao. Mphuuh. Unajiuliza kumbe Dada zetu mnajua kujipamba nje tu.
Niongeze sauti?
Unakaribishwa kwenye familia, ukiomba uonyeshwe choo, mama anasema ngoja niangalie kuna hali gani kwanza maana hawa watoto huwa hawasafishi. Tena anasema bila aibu.
 
Back
Top Bottom