vyakula

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Utafiti Binafsi: Wanawake wenye Simu za Gharama ndiyo wanaongoza kudoea vyakula, kukwepa kulipa nauli na kuachika na mabwana

    Yaani unamiliki Simu ya Tsh 700,000/= halafu unaingia Mghahawani Kula unakosa Hela ya 'Kiepe' na kusubiri 'Kudoea' kwa Shoga (Rafiki). Na ndiyo hawa hawa hata ukikutana nao katika 'Daladala' wanatumia muda mwingi kutafuta "timing' ya Kumkwepa Kondakta ili tu asimlipe Tsh 400/= yake. Na hata...
  2. ommytk

    JamiiForums Tanzania GSM ingia kwenye biashara za vyakula. Nafasi ya mafanikio ni kubwa

    GSM ilikuwa kampuni ambayo watu wengi atuijui zaidi ya mo. Na Azam lakini kwa sasa GSM imeshika kasi kubwa kwenye kujitangaza wangekuwa sasa na washauri wazuri ndio kipindi Chao sasa kuingia kwenye ushindani wa biashara za vyakula mfano ngano na biashara zingine naamini wala awahitaji nguvu...
  3. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Watu 31 wafariki wakati wa zoezi la kugawa vyakula kanisani

    Watu 31 wameripotiwa kufariki na wengine 7 kujeruhiwa wakati wa mkanyagano wa kugawa chakula kanisani Nchini Nigeria, ambapo shuhuda mmoja wa tukio alishuhudia mama mjamzito na watoto kadhaa wakiwa sehemu ya waliofariki, jana Mei 28, 2022. Msemaji wa Polisi, Grace Iringe-Koko anasema tukio la...
  4. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Serikali haikagui vyakula, kipi kinawazuia wenye migahawa kupika mizoga, mchele wa plastiki, viungo expired, mafuta ya transfoma / nguruwe, n.k

    -kuweka hamira kwenye wali -kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu), -kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande) -viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo. -kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe...
  5. MacDking

    JamiiForums Tanzania Siri ya dawa ya saratani/ kansa (cancer) na vyakula kwenye tiba

    CHEMOTHERAPY NA TIBA YA MIONZI MATOKEO DALILI Kukosa hamu ya kula, kutapika, kuharisha, upungufu wa damu, kupoteza nywele, wasiwasi ,kukosa usingizi, maumivu, uchovu, vidonda mdomoni, yeast infection, unyogovu. SABABU Zilizotajwa hapo juu ni baadhi ya dalili za matibabu ya saratani ya sasa...
  6. safuher

    JamiiForums Tanzania Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

    Mbali na kuzuwiwa kwa vyakula kuuzwa mchana wa ramadhani katika baadhi ya maeneo, lakini bado zuio hili halijatendewa haki. Waislamu tunaamini kwamba ukifunga basi hata ukila ile punje ya karanga tu na ukameza kwa makusudi basi umefungua sio mpaka ule biriani au urojo bakuli zima. Sasa ni...
  7. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya vyakula kipindi cha Ramadhani, leta yako tushirikishane

    Ratiba ya Ramadhani, tushirikishane kwa pamoja, yangu imekaa hivyo, Day1: Tende Shurba Chapati Maharagwe ya nazi Samaki wa kukaangaa Day2: Kaimati viazi karai Chapati na Mbaazi Fruit Custard Day3: Bajia Cutlets Shurba Chapati Viazi vya Rojo Nyama ya kukangaa Day4: Vitumbua Mchuzi wa...
  8. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Urusi hali mbaya sasa kununua vyakula supermarket unapangiwa kiasi baada ya mfumuko wa bei na kupelekea kudorora kwa sarafu ya rubble

    Wakuu Hali mbaya kwa Putin, Baada ya matsifa kadhaa kuiwekea vikwazo vya kibiashara Russia Mambo yamekuwa magumu. "We're getting more reports about rationing of some staple foods in Russia. There has been particular demand for sugar". In the far eastern Maritime Region, supermarkets have imposed...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Familia ya watu 10 kutumia milioni 3 kwa mwaka kwa manunuzi ya vyakula

    Kuna mama alituekeza maisha ya familia yake. Yeye na mume wake wamebarikiwa kupata watoto wanne. Walichukua jukumu la kulea watoto wawili wa ndugu waliofiwa na wazazi wao. Msichana wa kazi na kijana wa shamba. Waliamua kuondoka mjini miaka mitano iliyopita baada ya kununua eneo la ekari tano...
  10. dongbei

    JamiiForums Tanzania Bei za vyakula vya kuku mikoa mbalimbali Tanzania!

    Habari wadau, Naomba kama una taarifa ya bei (prices) za vyakula vya kuku maeneo ulipo. Unaweza kutueleza pia bei hizo ni kwa kipimo gani, labda gunia, debe au hata kilo. Lengo ni hasa kutambua wapi kuna fursa za kununua vyakula hivyo na kuuza. Mfano: Kwa Arusha bei ya gunia moja la Pumba...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Tuheshimu maeneo ya vyakula, ikiwezekana iwepo kanuni ya kuyaheshimu mazingira yanayotoa huduma za vyakula

    #Utadaije tume huru badala ya kubadili mfumo wa ELIMU uliopo? Point yangu ipo hapa: Utakuta mtu ametoka job huko hata kunawa hajanawa anaingia kwenye mgahawa ambamo watu wanapata chakula huku akitoka jasho na matope mwili Mzima ,hatukatai unafanya kazi umeshindwa hata kunawa kwenye bomba ndo...
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Vyakula 7 vitakavyomfanya mtoto wako awe na akili zaidi

    VYAKULA 7 VITAKAVYOMFANYA MTOTO WAKO AWE NA AKILI ZAIDI Umuhimu wa lishe bora kwa mtoto sio katika kujenga mwili tu bali na afya bora ya akili. Mtoto mwenye afya bora ya akili ni mchangamfu na anaelewa mambo mbalimbali kwa urahisi. Kwanza ni vizuri zaidi kumnyonyesha mtoto miezi sita ya kwanza...
  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania TBS watoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wanaoanika vyakula juani

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limewatahadharisha wafanyabiashara bidhaa za chakula zilizofungashwa yakiwemo mafuta ya kula kuweka ama kuanika kwenye jua kwani kunaweza kuleta madhara makubwa ya kiafya kwa binadamu. Ameyasema hayo leo Afisa Uthibiti ubora TBS, Bw. Baraka Mbajije wakati...
  14. Anna Nkya

    JamiiForums Tanzania Bei ya vyakula mbalimbali yapanda

    Tangu mwishoni mwa Novemba mwaka jana, baada ya gazeti hili kutoa taarifa za kupanda kwa bei ya bidhaa hizo na zile za ujenzi, bei za vyakula zimepanda tena katika mikoa mbalimbali, huku Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe akisisitiza Taifa kutokuwa na uhaba wa chakula, na kwamba ongezeko la sasa la...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Unajua kwanini katika mikutano ya Rais Samia na viongozi wa dini na machinga hakuna aliyemweleza kuhusu kupanda kwa bei za vyakula?

    Upon mfumumuko mkubwa wa za bidhaa nchini, maeneo yaliyoathirika Zaidi ni nishati na chakula. Kupanda kwa bei hizi kulipaswa kuwa agenda za kujadiliwa kabla ya kujadili siasa. Mtu mwenye njaa ni mwepesi kurubuniwa akawa mwovu lakini aliyeshiba siku zote ukumbuka mkono uliomlisha na kuulinda...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Usalama wa vyakula kukaa muda mrefu kwenye Friji

    Niko single. Mwanzoni mwa mwezi huwa nachemsha kilo mbili za maharage. Yakisha poa nayaweka kwenye Friji. Sasa huwa nachota kidogo nakaanga, nasonga ugali, siku imepita. Kwa mtimdo huu harage hilo huwa linadumu mwezi mzima. Je, wadau hii ni salama kwa afya?
  17. majebsmafuru

    JamiiForums Tanzania Tiketi, vyakula, bidhaa bei juu siku za sikukuu

    Hivi Watanzania tuna hulka ya namna gani ya maisha?! Siku za sikukuu iwe Idd el Fitr Pasaka na Xmas kwanini wafanyabiashara wetu wanapandisha bei za kila kitu juu?! Wenzetu wanaodai kuishi Dunia ya kwanza tunasoma wako tofauti, iwe vyakula hasa kuku na nyama, usafiri, nguo na bidhaa za kila...
  18. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Je, Naweza kuishi Dar kwa mshahara wa laki tatu?

    Tafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu. Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?! Ahsante.
  19. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Uganda Airways kuongeza Senene katika orodha ya vyakula ndani ya ndege baada ya video ya mchuuzi kusambaa mitandaoni

    Baada ya kusambaa kwa video inayomuonesha mchuuzi wa Senene aliyekuwa akiuza bidhaa zake ndani ya Ndege ya Shirika la Ndege la Uganda, Shirika hilo limesema linafikiria kuongeza Senene (Nsenene) katika orodha ya vyakula ndani ya ndege katika safari za kimataifa zinazofanywa na ndege zake...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Vifahamu vyakula vya kuepuka kuvila ikiwa una kisukari

    Katika msururu wa kuadhimisha Siku ya Uelewa kuhusu ugonjwa wa Kisukari tunakupatia vidokezo vya namna kukabiliana na ugonjwa huo na jinsi ya kuulinda na jamii nzima. Idadi ya watu wenye kisukari duniani kote inakadiriwa kufikia milioni 422 lakini ukweli ni kwamba hata watoto wanaambukizwa...
Back
Top Bottom