maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
Poleni na majukumu wadau,
Mapenzi bwana acha yaitwe mapenzi, tuseme tu kwa kifupi hayana formula
Unaweza ukawa na hela ukapigwa chini, unaeza ukawa hb ukapigwa za uso na unaweza ukawa fundi wa kuchezea vizazi ila ukapigwa chini vile vile.
Kuna kile kipindi unaenjoy mahusiano hadi unatamani dunia nzima ijue kuwa uko in love na unaenjoy. Sasa kuna kile kipindi cha maumivu, mateso hapa ni baada ya kuachwa, wenye mioyo midogo walokosa wa kuwafariji huwa wanaishia kujiua, hichi kipindi unaeza ona dunia imekutenga maana hata chakula huwa hakipiti
Nina iman wengi tumepitia kipindi hiki huwezi sema ulikua huli kabisa ila kuna vyakula flani automatic huwa havipiti kooni, share na mi we ulivyokutana na situation kama hii ulikua unakula chakula gani hasa?
Hujawahi kupenda kama hujawahi kulia
Mapenzi bwana acha yaitwe mapenzi, tuseme tu kwa kifupi hayana formula
Unaweza ukawa na hela ukapigwa chini, unaeza ukawa hb ukapigwa za uso na unaweza ukawa fundi wa kuchezea vizazi ila ukapigwa chini vile vile.
Kuna kile kipindi unaenjoy mahusiano hadi unatamani dunia nzima ijue kuwa uko in love na unaenjoy. Sasa kuna kile kipindi cha maumivu, mateso hapa ni baada ya kuachwa, wenye mioyo midogo walokosa wa kuwafariji huwa wanaishia kujiua, hichi kipindi unaeza ona dunia imekutenga maana hata chakula huwa hakipiti
Nina iman wengi tumepitia kipindi hiki huwezi sema ulikua huli kabisa ila kuna vyakula flani automatic huwa havipiti kooni, share na mi we ulivyokutana na situation kama hii ulikua unakula chakula gani hasa?
Hujawahi kupenda kama hujawahi kulia