vijana

  1. Walaaniwe watu wote wanaowaambia vijana wajiajiri bila kuwapa mitaji

    Wakuu kuna jambo linaniumiza sana. Jambo lenyewe linaitwa UNAFIKI. Unafiki kwa nchi za Kiafrika umekuwa mkubwa sana. Hivi mtu anautoa wapi ujasiri wa kumwambia kijana ajiajiri huku hajampa mtaji? Alaaniwe!!! Hakuna kijana mvivu, hakuna kijana mwenye akili timamu anapenda kuwa tegemezi. Ila...
  2. J

    NEC yatangaza ajira 300,000 katika Uchaguzi Mkuu wa 2020. Vijana changamkieni

    Ni jambo jema. Tume ya Uchaguzi yaani NEC imetangaza ajira mpya 300,000 kuelekea uchaguzi mkuu October 2020. Vijana changamkieni ajira bila kujali itikadi. Source Nipashe Maendeleo hayana vyama! === NEC: AJIRA 390,000 UCHAGUZI MKUU 2020 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inatarajia kutangaza...
  3. Hakuna kitu kinatokea kwa bahati mbaya katika siasa ya Bongo

    Wanabodi, Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa. Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo...
  4. Kuna wimbi kubwa la vijana wanofanya kazi online

    Blogging Forex Affiliate marketing Freelancers, n.k Hata saa iliyoganda inaweza kuwa na msaada kama muda unaendana na pale ilipogandia lakini zaidi ya hapo ni hasara kubwa. Kumekuwa na wimbi la vijana kujifungia ndani muda wote wakiwa wanatafuta pesa mtandaoni kwa niia nlizozitaja hapo juu...
  5. Vijana wenzangu (20s), embu njooni tujadili huu msemo unaosema , "Ndugu akufukuzaye hakwambii toka"

    Habarini wakubwa kwa wadogo. (maana salamu ya shikamoo tulifunzwa na wakoloni) Niko hapa mbele yenu kuleta mada tajwa hapo juu, inayotugusa sisi vijana wa 20s, hasa tulioko hapa Dar es salaam , tunaotafuta elimu katika vyuo vikuu, lakini tuna kaa kwenye nyumba za watu, kuna viashiria ambavyo...
  6. Tuwape mimba Wachumba zetu jamani

    Habari za muda mrefu wakuu wakazi. Leo ningependa kushare jambo moja muhimu hasa kwa wanaume wenzangu, unajua kumbe sisi vijana wakiume tunapochelewa kuoa au kupata watoto huwa inawakwaza sana wazazi wetu. Hii imenitokea mimi binafsi na nimeshuhudia, kwanza nilipanga nisizae nje hadi nifunge...
  7. U

    Vijana muogopeni Mungu, la sivyo mtaishia jehanam

    Asilimia kubwa ya idadi ya watu duniani ni size ya kati ya miaka 14-55 ambao wengi ni Vijana! Hiki ni kizazi kilichotabiriwa kizazi cha nyoka ambacho hakitataka kuyasikiliza maneno ya Mungu! Ni kizazi ambacho haya ndo kinachoyafurahia. 1: Kumiliki pesa nyingi ambazo sio za jasho! 2: Kupenda...
  8. U

    GE2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

    Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa. Ikumbukwe kwamba...
  9. M

    GE2020 Jesca Kishoa Kafulila kuchukua fomu kugombea Ubunge CHADEMA Iramba ni kejeli na dharau kama si matusi kwa vijana wenzako

    Awali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara! Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana! Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia...
  10. Abdul Nondo na ACT Wazalendo acheni kuwalaghai vijana wa Tanzania

    Abdul Nondo acha kuwalaghai vijana! Baada ya chama cha ACT Wazalendo kutangaza mchakato wa kuchukua fomu za kuomba uteuzi wa kugombea nafasi za urais, ubunge na udiwani, Abdul Nondo, kiongozi mwandamizi wa vijana wa chama hicho alitoa shime kwa vijana kuchukua fomu kwa wingi kuwania uteuzi...
  11. Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo

    Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ,ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo 7.07.2020. Jeshi la Magereza limegeuzwa nguvu kazi ya CCM
  12. Hivi kama vijana wanaambiwa wafanye kazi yoyote kwanini wanaenda chuo?

    Ni siku nyengine tuseme asante Mungu kwa kutuamsha tena. Naomba niende kwenye mada. Leo alfajiri nimepigiwa simu na mshakaji wangu wa kipindi Fulani hivi tuliendana sanaa ila ndio harakati za maisha zilitutenga. Yeye kwasasa ni muuza mayai na alisoma engineering. Jamaa anasema biashara...
  13. Wapinzani naona vijana wa Lumumba wanawaonea huruma sana kwa ajili ya Membe!

    Pale inapotokea adui anapokwambia kwenye mzinga uliojaa asali kuwa hakuna NYUKI, wewe ingiza tu.. . Usimsikilize hakutakii mema. .. Asijikute anakushauri... Mwanzo walimsema sana Mbowe mbona haachii UENYEKITI. .. Kiasi kwamba hadi wanachadema wakakaa chemba kufikiria "eti kweli mbona...
  14. GE2020 Vijana wengi wasomi wamepata moyo kugombea kwa sababu ya uimara wa Magufuli

    Mzee Shomari ameniambia kuwa kuna wimbi kubwa la vijana wasomi wakiwemo madaktari,mainjinia n.k ambao wameshawishika kutia nia huku sababu yao kuu ikiwa ni uwanja huru na wenye fursa ndani ya CCM ambao umewekwa na mwenyekiti wetu wa chama. Nawaasa vijana wazalendo kutumia fursa hii adhimu...
  15. Kazi zenye pesa zisizojadiliwa na vijana hizi hapa

    Natumai hamjambo, kichwa Cha habari kinajieleza, Kuna kazi vijana wengi hawazijadili ila ukizizingatia unaweza ukatengeneza kampuni kubwa Tena yenye kuheshimika 1; Shoe care, hi inajumuisha kushona viatu vilivyochanika, mikoba, begi, nk, kung'arisha viatu na kufua viatu, Hakika, kwa mtaji wa...
  16. GE2020 Nalitamani jimbo la Arusha mjini,ni wakati wa vijana wachapa kazi

    Haja yangu ni kuliona jimbo la Arusha mjini likiwa Geneva ya kweli ya Afrika,kuigeuza na kuifanya Arusha kuwa makao makuu ya utalii Afrika ya mashariki na kati na kuweka mikakati na mipango na wadau wa utalii katika jimbo hili kuhakikisha utalii unatangazwa na vijana wanapata ajira ya uhakika...
  17. Vijana tutafute fedha kwa kila hali. Mtu mzima ukiwa maskini Jamii inakuona umerukwa na akili

    Fedha ndio habari ya mjini, vijana tutafute fedha kwa kila hali. Hata kuzamia machimbo, kufanya kazi kwa juhudi au hata kwa kujilipua kwenda ng'ambo. Imagine Diamond ile sura yake na kamwili kake kadogo lakini anaitwa baby. Aliwahi kusema kuwa kwa siku anatongozwa mara dufu. Kijana tafuta hela...
  18. Rais Magufuli tukumbuke vijana

    Mh. RAIS WETU Kwanza kabisa napenda kukupa pole kwa majukumu mazito ya kulijenga taifa uliyonayo tuliyokutwisha tangu mwaka 2015. Vile vile napenda kukupa pongezi na hongera kwa mambo makubwa unayofanya na hatua nzuri unazochukua za kutujari watanzania ikiwemo kutuepusha na janga la homa kali...
  19. A

    Kauli ya Membe kwamba "Wakati wao hawakuteua vijana sana"

    Nilikuwa kusikiliza BBC Swahili asubuhi hii, ambapo imenukuliwa kwamba Membe anaipongeza awamu ya tano kuhusiana na infrasture kama barabara flyover, SGR na uteuzi wa vijana ingawa bado anawatumbua tumbua, tofauti na "wakati wao" Sasa nimetafakari wakati wao yeye Membe na nani au alishakuwa...
  20. P

    Hivi hili la kuweka limit ya Umri kwa vijana wa sasa katika ajira kwa mazingira ya sasa liko sawa?

    Wakuu, Hakuna asiyejua ajira kwa sasa ni changamoto hapa nchini, Sekta binafsi ndiyo hiyo inakufa ambayo ilikuwa na uwezo wa kutoa ajira kwa wingi. Cha kushangaza naona Serikali imekuja na masharti makali kidogo tofauti na zamani kwa baadhi ya matangazo ya ajira kwenye age limit. Inatangazwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…