Utakatifu na haki
Member
- Jun 17, 2020
- 75
- 268
Asilimia kubwa ya idadi ya watu duniani ni size ya kati ya miaka 14-55 ambao wengi ni Vijana! Hiki ni kizazi kilichotabiriwa kizazi cha nyoka ambacho hakitataka kuyasikiliza maneno ya Mungu! Ni kizazi ambacho haya ndo kinachoyafurahia.
1: Kumiliki pesa nyingi ambazo sio za jasho!
2: Kupenda starehe na anasa kuliko kumpenda Mungu na kufanya Kazi
3: Kuajiriwa sehemu nzuri ya kupiga pesa za udhalimu, na ukifanya hivyo na hata kujenga na kufanikiwa familia na watu wa karibu wanakusifu na kukupa heshima na kukuita kuwa ww ni Mtu wa Maendeleo au mjanja kumbe moyoni unajua ww ni mwizi
4: Kumiliki pesa, majumba, viwanja ni ufari kumbe ufahari kumjua Mungu wa kweli na kuridhika na ulichonacho
5: Vijana wapo tiyari kumwaga damu ili wapate utajiri
6: Kufunjika ndoa, usaliti kwenye ndoa ni jambo la kawaida
7: Vijana hawataki kuoa, na kuolewa kukwepa majukumu na wakati huohuo wanafanya uasherati usiku na mchana
8: Ni kizazi ambacho michepuko kwenye ndoa ni jambo la kawaida
9: Kizazi kimeukana uumbaji wa Mungu, kimefuata mafundisho ya shetani, kinaamini kwenye ukisasa, kujichubua, kujichora mwilini, lipstick, nywele bandia, mitindo ya kunyoa ya kipepo, wanawake kuvaa suruali, ole wao!
8: Vijana hawana muda wa kumtafuta Mungu, muda wao mwingi, ni mitandaoni, kuangalia movie, Mpira,na kubeti
9: Kizazi ambacho hawataki kuwaadhibu watoto badala yake ni katooni za kipepo ndo malezi ya watoto
11: Kizazi kinachoamini kwenye miujiza ya akina mwaposa, geodavo, mzee wa upako wala sio mafundisho ya uzima ya akinia kakobe, mbarikiwa mwakipesile, ni
12: Kizazi kisichoogopa dhambi kinaogopa mimba na ukimwi
13: Kizazi kisichotangaza madhara ya uasherati au uzinzi badala yake kinatangaza watu kujikinga na magonjwa na mimba!
14: Kizazi ambacho ukioa unaonekana huna maana mbele ya Vijana ulitakiwa uendelee kula ujana( dhambi)
15: Kizazi ambacho wacheza uchi majukwaani ndo wanataka kwenda bungeni kutunga sheria za kuongoza nchi
16: Kizazi ambacho ukitenda haki au kusema ukweli unachukiwa!
Note: Moto wa jehannum upo na mbingu IPO! Ubishe au ukubali, yapo maisha baada ya kifo! Maisha ya umelele jehannum ya moto au mbinguni unayatengeneza ww mwenyewe! Kizazi hiki kikaidi kinachoamini kwenye Elimu, ole! Ole! Ole! Ole! Yesu anarudi kuchukua kanisa!
Mpe Yesu maisha yako! Hiyo Elimu yako unayojifunia, cheo chako, umaarufu wako, pesa yako! Ipo siku utaviacha hivyo vyote na tutakuzika kama wengine! Utakuwa wapi jiulize ww mwanadamu uliye mavumbi! Udogo tu! Hicho kiburi chako kitaisha siku hiyo!
1: Kumiliki pesa nyingi ambazo sio za jasho!
2: Kupenda starehe na anasa kuliko kumpenda Mungu na kufanya Kazi
3: Kuajiriwa sehemu nzuri ya kupiga pesa za udhalimu, na ukifanya hivyo na hata kujenga na kufanikiwa familia na watu wa karibu wanakusifu na kukupa heshima na kukuita kuwa ww ni Mtu wa Maendeleo au mjanja kumbe moyoni unajua ww ni mwizi
4: Kumiliki pesa, majumba, viwanja ni ufari kumbe ufahari kumjua Mungu wa kweli na kuridhika na ulichonacho
5: Vijana wapo tiyari kumwaga damu ili wapate utajiri
6: Kufunjika ndoa, usaliti kwenye ndoa ni jambo la kawaida
7: Vijana hawataki kuoa, na kuolewa kukwepa majukumu na wakati huohuo wanafanya uasherati usiku na mchana
8: Ni kizazi ambacho michepuko kwenye ndoa ni jambo la kawaida
9: Kizazi kimeukana uumbaji wa Mungu, kimefuata mafundisho ya shetani, kinaamini kwenye ukisasa, kujichubua, kujichora mwilini, lipstick, nywele bandia, mitindo ya kunyoa ya kipepo, wanawake kuvaa suruali, ole wao!
8: Vijana hawana muda wa kumtafuta Mungu, muda wao mwingi, ni mitandaoni, kuangalia movie, Mpira,na kubeti
9: Kizazi ambacho hawataki kuwaadhibu watoto badala yake ni katooni za kipepo ndo malezi ya watoto
11: Kizazi kinachoamini kwenye miujiza ya akina mwaposa, geodavo, mzee wa upako wala sio mafundisho ya uzima ya akinia kakobe, mbarikiwa mwakipesile, ni
12: Kizazi kisichoogopa dhambi kinaogopa mimba na ukimwi
13: Kizazi kisichotangaza madhara ya uasherati au uzinzi badala yake kinatangaza watu kujikinga na magonjwa na mimba!
14: Kizazi ambacho ukioa unaonekana huna maana mbele ya Vijana ulitakiwa uendelee kula ujana( dhambi)
15: Kizazi ambacho wacheza uchi majukwaani ndo wanataka kwenda bungeni kutunga sheria za kuongoza nchi
16: Kizazi ambacho ukitenda haki au kusema ukweli unachukiwa!
Note: Moto wa jehannum upo na mbingu IPO! Ubishe au ukubali, yapo maisha baada ya kifo! Maisha ya umelele jehannum ya moto au mbinguni unayatengeneza ww mwenyewe! Kizazi hiki kikaidi kinachoamini kwenye Elimu, ole! Ole! Ole! Ole! Yesu anarudi kuchukua kanisa!
Mpe Yesu maisha yako! Hiyo Elimu yako unayojifunia, cheo chako, umaarufu wako, pesa yako! Ipo siku utaviacha hivyo vyote na tutakuzika kama wengine! Utakuwa wapi jiulize ww mwanadamu uliye mavumbi! Udogo tu! Hicho kiburi chako kitaisha siku hiyo!