ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hellenah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri kwa bikra wa miaka 26

    Ni ndugu yangu anaona muda unayoyoma ila hana confidence ya kupata bwana, hana kazi, mzuri ila ana chunusi( anadai hii ni sababu kuu), hatoki nyumbani at all... Nimejaribu kutoa tips kadhaa hazifati, naomba kusikia kwenu labda kuna mwenye experience au advice kwa hii issue.
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Serikali inapokosolewa kwa Constructive Criticism, je, Ifuate Ushauri? Hongera Bunge letu tukufu kufuata ushauri na kutuondolea ubatili huu

    Wanabodi, Hii ni Nipashe ya Leo, 30.01.2022 Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa huteremka na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" leo ni swali na pongezi. "Serikali inapokosolewa kwa constructive criticism, kama ushauri uliotolewa ni ushauri nzuri wenye maslahi kwa taifa, jee serikali...
  3. Erick_Otieno

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Wakuu salamu, Nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji cha kitunguu. Naomba ushauri wenu ni maeneo gani yanayoofaa kwa kilimo cha kitunguu na hasa ambayo yanaweza kuwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji. Nimenunua power tiller ambayo nategemea itanisaidia sana kwenye kilimo cha umwagiliaji...
  4. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

    Wakuu,Heshima kwenu nyote. Kwanza kabisa nishukuru kwa namna mnatoa madini katika jukwaa hili la ujenzi Kila siku.Hii inatia hamasa kwa mtu anaetamani kujenga. Leo nilienda kutembelea sehemu wanapouza Tofali na Bei zimekaa kama ifuatavyo. 1.Ratio ya Tofali 40 -1200 kwa Tofali. 2.Ratio ya tofali...
  5. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri "huyu" mtoto aende wapi na akasome nini?

    Habari waungwana. Nina mtoto hapa ambaye matokeo yake ya Kidato cha nne ni Kama ifuatavyo. Amepata "C" katika Civics, Kiswahili, Chemistry na Biology. Amepata " D" katika History, Geography, Literature, English, physics na Hisabati. Hivyo ana "C" nne na " D" sita. Division three point 24.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kutokana na mwenendo mbaya wa Simba SC ufuatao ni ushauri wa bure kwao

    1. Mtimueni upesi Kocha Mkuu Franco, Msaidizi wake Matola na Meneja Rweymamu. 2. Mpeni Kazi kwa Kipindi hiki Kocha Ndayiragije kisha asaidiwe na ama Pawasa au Mgosi kisha Meneja awe ni Nico Nyagawa. 3. Wachezaji watafutiwe haraka Mwanasaikolojia na nampendekeza awe ni mwana Simba SC Chris...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa Kitaalamu kuhusu solar

    Habarini, Nimenunua solar watt 40 sasa nataka kununua betri na chager controller. Naomba ushauri wa kitaalamu kwa anaefahamu hapo natakiwa kununua betri yenye ukubwa gani na hiyo chager controller yenye ukubwa gani ambavyo vitaendana na ukubwa wa hyo solar watt40?
  8. Too face

    JamiiForums Tanzania Mawazo yenu tafadhali, nakaribia kuacha kazi

    Kwenu wakuu I hope mko salama.. Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA. SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!! Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu unahitajika

    Jamaa yangu ana kiasi Cha Tzs 18m. Anataka kufanya biashara ya online tv, nimemwambia aachane nayo, afanye biashara ya saloon ya like na kiume. He ungekuwa wewe ungemshauri kitu gani
  10. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania TPDC yaingia mkataba na Kampuni ya Uingereza ya Baker Botts kwa ajili ya ushauri wa Kisheria

    Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi. TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi. Hivi Tanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya...
  11. 1986PIRMIN

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana tunapigwa changa la macho au ndio tushachinjiwa baharini au tuvute subra?

    Thank you all
  12. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu NMB

    Habari. Siku ya Leo tar 24/01/2022 nimefika katika Tawi la NMB Kwa lengo la kutoa pesa kwenye ATM machine ya pale. Nimeingiza Kadi na kufuata process zote lakin machine haikutoa pesa ilihali SMS ya muamala nilipata. Nilivyomuuliza mlinzi akanambia niingie ndan ya Tawi ambako nilipewa form...
  13. Sanyambila

    JamiiForums Tanzania Barua ya ushauri: Freeman Mbowe omba msamaha ukajipange na maisha mengine

    KWAKO F.A MBOWE S.L.P GEREZANI Nianze kukupa pole na hongera gerezani siyo mahali salama na pazuri kwako. Nianzi kwa kusema .. Leo kuna kitu nimejifunza juu ya utatuzi wa migogoro hasa katika kipengele cha CONFLICT MANAGEMENT Ili uweze kuendelea na maisha ya furaha pasipo karaha muda...
  14. issac77

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke wangu si muelewa, ni mbishi kupindukia

    Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe. Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii' Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini...
  15. Ahmed Saidi

    JamiiForums Tanzania Uhauri: Nalipwa 170k kwa mwezi, how can I survive?

    Habari za muda huu Wana JF Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa. Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia...
  16. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nini kifanyike Shule za Serikali zifanye vizuri

    Hello JF, Leo nimejikuta nawaza sijui kama hii serikali haioni kuwa ni haki ya kila mtoto wa ki Tanzania kupata na Elimu nzuri/bora? kwa nini baadhi ya watoto wachache wawe na a better start na wengine system iwa fail miserably? Anyway, hata nchi za nje kuna shule za private za grammar lakini...
  17. Kipunga

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka unahitajika

    Unamshauri nini jamaa yetu
  18. Mwansembo elly

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa wadogo zangu, kaka na dada zangu wanaotaka kukata tamaa kisa wamefeli Kidato cha Nne

    Habari wakuu wangu wadogo marahaba wakubwa shikamooni. Kwanza natanguliza shukurani zangu dhati kwa wote mliopitia hapa na kusoma uzi huu. Leo napenda nitoe ushauri kwa wadogo zangu kaka zangu dada zangu mliomaliza Form four na matokeo kuja tofauti yaaani kufeli kupata four au zero kabisa...
  19. Suleiman hatibu

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu matokeo haya

    Kijana wangu amepata four ya 29 Na matokeo ndio kama nilivyoyahainisha Anaweza kusomea ishu gani? plz naomba muongozo wenu wakuu CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
  20. C

    JamiiForums Tanzania Muongozo na ushauri kwa wanafunzi waliopokea matokeo ya kidato cha nne 2022

    Habari wakuu, Kuna wadogo zetu wamepata matokeo yao ya kidato cha nne. Ni ngwe muhimu sana kwenye maisha yao, kwa sababu ndio inayotoa upepo awe nani baadae kitaaluma kwa uchaguzi anaofanya sasa japo kwa baadhi wanaweza kuwa na wigo mpana wa kuchagua tena baadae. Hapa jukwaani kuna wengi ambao...
Back
Top Bottom