ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. love life live life

    JamiiForums Tanzania Ushauri bora kwa wanaume waliooa/wanaotaka kuoa namna ya kumjua mkeo

    Mjue mkeo. Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja.. "Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi, Kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo. Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya. Jaribu kukaa...
  2. John Haramba

    JamiiForums Tanzania Kigamboni: Kivuko chaondolewa kwenye maji, wanaotumia magari wapewa ushauri

    Taarifa kwa wanaotumia vivuko kuelekea na kutoka Kigamboni jijini Dar es Salaam: Kivuko chaondolewa kwenye maji, wanaotumia magari wapewa ushauri.
  3. DALA

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu wa zamani anataka turudiane. Ameomba talaka kwa mumewe ambaye ni shoga! Ushauri wenu

    Salaam kwenu nyote! Aisee kuna wakati hapa duniani binadamu tunajikuta katika mazingira magumu sana. Hoja iko hivi, huyu binti (dada) tulikutana naye 2004 Novemba, tukapendana yeye wakati huo alikuwa anajiandaa kwenda A level, mimi nikaingia mitaani bongo kuzisaka. Baadae kulitokea mengine...
  4. Ja Mara

    JamiiForums Tanzania Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

    Habari Wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa. Kazi ipo kwa...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa R.E.O wa Lindi

    We kiongozi unaweza! Hilo ndo pekee lililopo la kusema kuhusu wewe!!! Naomba nijaribu kushauri yafuatayo; 1. Sherehe za utoaji wa zawadi mwaka huu (kama zipo) hazitokuwa za haki kama walimu walioingiza masoko yao katika kumi bora ya ufaulu (kidato cha nne) ya mkoa hawatozawadiwa......hata...
  6. Maji Chai

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya wazo la kufungua mgahawa wa vyakula vya asili

    Waungwana naombeni michago yenu nipo kwenye njia sahihi au watu hawataki hivi vyakula tena maana nina mpango wa kufungua mgahawa mdogo na kupika vyakula vya asili peke ake Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
  7. F

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya kununua gari

    Wakuu naomba ushauri wenu. Nataka kununua gari mojawapo na machaguo angu ni kati ya Toyota LC prado ya 2018 diesel engine,Mercedes benz G class ya 2015 au 2016 ya diesel, na Toyota LAND CRUISER GXR ya 2017. Naomba ushauri juu ya ubora wa gari hizo hasa hasa matengenezo pamoja. Chaguo langu la...
  8. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Ushauri tu: Wapambe tumwepushe Rais na sifa zinazoweza kumdhuru

    Nimeona clip hii ya uchambuzi wa kitabia, ambao nimeona vema kushare. Kimsingi waanasiasa walio karibu na rais inabidi waelewe kuwa Rais ni binadamu. Kwa kujipendekeza kwao wasijekufuru kumfananisha Rais na Mwenyezi Mungu kwa hali yoyote. Ni ushauri tu.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Serikali kuhusu mikopo tunayopokea kutoka kwa wahisani

    Kukopa kutoka nje ni jambo jema sana ikiwa utatumia mkopo husika kutekeleza miradi ya maendeleo kwa manufaa ya wananchi. Tangu tupate uhuru 1961 mikopo tuliopata ni mabillioni ya dollar za Kimarekani. Tujiulize kuwa thamani ya mikopo hiyo na hatua ya maendeleo tuliopiga mpaka sasa inaoana...
  10. Faana

    JamiiForums Tanzania Ushauri Barabara ya Morogoro - Kilosa Kuikwepa Mikumi National Park

    Nimekutana na mdau anasema Serikali ina mpango wa kukwepesha barabara ya Morogoro - Mikumi ipite Kilosa ili kuwanusuru wanyama mbugani. Ukitazama ramani inaonekana umbali wa kutoka Morogoro kupitia Dumila au Kimamba ni mbali hivyo itaongeza gharama za ujenzi na matumizi ya nishati kwa wenye...
  11. co fm

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

    Wanajamii humu, nimatarajio yangu mko poa. Kwanza kabisa niombeni ushauri Kati ya hizi choices, ipo hivi mimi ni kijana umri age 28 mkazi wa Sinza hapa Dar, nimepanga pamoja na vijana wenzangu wanne hivi yaani hapo kwenye huo mji tupo watano. Vijana hao wanne wote mwaka huu wamenunua magari...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka na Dharura wadau

    Mimi ni kijana na hadi leo nimetazama nakala ya Cheti changu cha kuzaliwa nitatimiza miaka 31 mapema mwezi March lakini jambo la kushangaza mipango yangu inazunguka nainuka kwa muda kisha narudi tena kuanza moja maisha yangu hayaendi mbele. Ipo hivi. Nilihitimu Chuo cha Mafunzo ya ualimu kwa...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB)

    Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa Bodi hii ya usajili ya Wakandarasi. Wanafanya kazi nzuri sana ya kuwasimamia Wakandarasi wote nchini katika masuala ya elimu, semina mbalimbali ili kuwapa wakandarasi uelewa katika sekta ya ujenzi. Wakandarasi wamepangwa katika madaraja mbalimbali...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kununua gari aina ya Toyota Alphard naomba ushauri

    Wakuu habari, Naomba ushauri wenu nahitaji kununua gari aina ya toyota alphard ya kuanzia mwaka 2006, Sina uzoefu na magari, katika bei ,ulaji wa mafuta, nk. 🙏
  15. Panzi Mbishi

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nataka kuachana na Mwanamke ninayeishi naye

    Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza ushauri wenu ni muhimu sana maana nina hali mbaya sana kisaikolojia. Naishi kwa stress kiasi kwamba kuna wakati nafikiri pombe itanisaidia nayo inaniongezea shida tu sababu kiukweli mimi pombe siziwezi kwahiyo nilishaamua kuachana nazo sasa kwa sasa hunilazimu...
  16. funaku

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa Wizara ya Afya: Ni muhimu kuja na sera ya mafunzo mahususi kwa viongozi wa vituo vya huduma

    Sina uhakika kama kuna chuo kinachotoa mafunzo mahususi ya uingozi wa sekta ya afya kwa madaktari/wauguzi wanaosimamia vituo vya kutolea huduma. Tunashuhudia kila uchao wafawidhi wa vituo wakishitumiwa kushindwa kusimamia ingawa sijawahi kusikia kama kuna mfumo maalumu wa kuwaandaa wafawidhi...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Unaweza kumuacha mtu unayependa kwa dhati kisa umeshauriwa na watu?

    Habari waungwana. Kwanza kabisa tuvumiliane. Leo nina swali, hivi unaweza kumuacha mtu unaye mpenda kwa dhati kwa kushauriwa na mtu au watu ? Hii hasa nauliza jinsia ya kike. Karibuni aisee, tupeane muongozo.
  18. MERCENARY2015

    JamiiForums Tanzania Ushauri biashara ya kuuza pikipiki

    Salamu wakuu. Natumaini mko wazima na Afya tele. Nilikuwa na wazo la kuanzisha biashara ya uuzaji wa PIKIPIKI Mfano: FEKON na BOXER. Nimekuwa nikinunua pikipiki tangu Mwaka jana kwa ajili ya kukodisha kwa MKATABA wa Mwaka mmoja. Nimekuwa nikiona wauzaji wanauza kwa haraka zaidi na kupata Faida...
  19. Dr wa Kaliua

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Field

  20. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri kutatua tatizo la wafugaji

    Ndugu zetu Wamassai na Wamang'ati wamekuwa na ufugaji kiholela karibu Tanzania nzima. Kwa ufupi hawa wafugaji wanaishi kwa utaratibu wao wenyewe bila kufuata sheria yeyote. Lakini kibaya zaidi wanaharibu mazingira sana na ni lazima kuwekwe utaratibu. Huko Arusha ndiyo kabisa kumekuwa kama jagwa...
Back
Top Bottom