ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kubadili mfumo wa gari ili litumie gesi

    Nilipewa elimu kuwa ukitaka kupunguza gharama ya matumizi ya gari basi ni vema ukaibadili na iweze kutumia mfumo wa gesi. Nikaelezwa kuwa ukijaza gesi ya Tshs. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200. Nimefanya mahesabu kati ya matumizi ya mafuta na kila kukicha bei yake inapanda na...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Polepole angepewa ubalozi wa Mongolia, Nicaragua au El Salvado ili ajifunze kuheshimu Wakubwa

    Salaam Wakuu, Natumaini kesho Polepole atasusia Kuapishwa. Sababu alisema ubunge ukiisha hagombei tena. Pia alisema ana misimamo yake haiyumbishwi wala hababaishwi na mtu yoyote. Polepole ana bahati. Kakutana na rais Samia ana huruma. Kampeleka karibu hapo Malawi ikitaka kusalimia atapanda...
  3. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa wanaotegemea kusafiri kuelekea Malawi, ni lazima uwe umechanjwa dhidi ya UVIKO-19 na uonyeshe kithibitisho

    Nawakumbusha tu kwa wadau wowote mnaotegemea kusafiri kuelekea nchini Malawi kwamba nchi hiyo ina masharti makali dhidi ya UVIKO-19. Hakuna raia anayeruhusiwa kuingia nchini humo pasipo kuonyesha uthibitisho wa kuchanjwa dhidi ya virusi ya corona vinavyosababisha ugonjwa wa UVIKO-19. Nawatakia...
  4. Mbeya Girl

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

    Habari zenu Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies, kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi...
  5. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Used Car ndo imetoka Japan iko majini inakuja

    Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio. Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini. Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika...
  6. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

    Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi. Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka...
  7. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Msaada kuhusu tabia ya wizi iliyokubuhu kwa kijana wangu

    Wakuu, Naamini kila mtu huwa anakosea, lakini linapokuja swala la kukosea mara kwa mara huwa linatia hasira sana. Huyu mtoto wangu anasoma darasa la 6 ,ni mtoto wa Kaka yangu alimleta hapa kwangu ili asome, Sasa kinachozidi kunipa wasiwasi ni tabia yake ya wizi uliokubuhu! Yaani kwa umri...
  8. Namuchi braver

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Ninatarajia kuoa nitakapomaliza kusoma mwezi wa 7 mwaka huu, nitakuwa nimewahi?

    Wakubwa na vijana wenzangu nina imani kubwa Mungu ametujalia uzima na afya tele.. Tuseme Asante Mungu! Mimi ni kijana mwenye miaka 25, ninatarajia kuhitimu au kumaliza elimu ya chuo mwaka huu. Nimejaliwa kuwa na shamba tu kwa ajili ya kilimo, Ila sina kibanda au nyumba ya kuweka makazi pindi...
  9. V

    JamiiForums Tanzania Ushauri nataka kufungua Biashara ya kuniongezea kipato-Arusha

    Nishaurini ni biashara gani naweza kuifanya ili iweze kuniongezea kipato mtaji Millioni 10, usimamizi nitaajiri mtu wa kuisimamia, mimi niko na majukumu ya ajira, eneo la biashara Arusha mjini Mnakaribishwa kwa ushauri
  10. S

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa umeme ushauri 2kva Stabilizer kushindwa kubeba water pump 1hp (750w) na ku trip off

    Ni matumaini hatujambo sote, kama heading ilivyo nimefunga single phase 2kva Automatic Voltage Stabilizer ili ku protect submersible water pump 1hp (750w) lakini imeshindwa kubeba ku trip off... Ukiondoa hiyo AVR pump inafanya vizuri tu Na hiyo AVR kwenye shughuli zingine km...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa waajiri

    Kama mna ndugu zenu na mnapanga kuwapa nafasi mnazotangaza kindugundugu basi acheni kusumbua watoto wa maskini kwa kuwaalika kwenye saili zenu feki. Unakuta watoto wa maskini wanakopa hadi nauli kwaajiri ya kuhudhuria saili zenu kumbe ni formality tu na mshaandaa watu wenu wa kuwapa hizo...
  12. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Niliyomsimulia yote kuhusu yule mwanamke kaenda kuyafikisha kama yalivyo, ushauri tafadhari

    Wakuu habari, Roho inaniuma, moja kwa moja kwenye point. Kuna rafiki zangu wawili wa kiume tulikuwa tunapiga nao story wao wanafanya kazi kwenye taasisi flani yenye mabinti warembo wengi, niliwaambia wanipe namba yamrembo mmoja nijaribu bahati yangu, wakanipatia, Kutokana na urafiki wetu...
  13. Evelyn Salt

    JamiiForums Tanzania Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

    Habari za weekend..... Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli. Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze...
  14. Wa kusoma

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu gari ya kununua kwa mara ya kwanza

    Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk. Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani...
  15. Optimists

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika nifanye kipi kati ya haya?

    Wakuu habari! Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Humu kuna watu wana experience walishafanya au bado wanafanya itasaidia kwa namna moja au nyingine. Niko na idea mbili tatu sijajua nifanye hipi naomba mnipe msaada wa mawazo kutokana na experience yenu. Niko na mtaji kidogo wazo langu la...
  16. SACO

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Usithubutu kujamba kama unaumwa tumbo la kuendesha

    Yamenikuta tena ukweni kwa Wachaga ndio maana nawatahadharisha
  17. Ed5

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu chuo cha Manyame Airbase, Zimbabwe

    Kama kuna member yoyote anaweza kunipa ushauri kuhusu hiki chuo cha ufundi ndege kipo zimbabwe naomba please nataka kuapply pale nimpeleke mwanangu
  18. Jack HD

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa biashara ya malori

    Wakuu nawasalimu kwa Jina la JMT. Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Nimekuja humu ndani kupata ushauri wa Biashara ya Malori haya ya kubeba mizigo iwe ya Local ama Transit. Kutokana na Connection nilizonazo nadhani suala zima la kupata Mizigo ya Kusafirisha halitokuwa la kuumiza kichwa...
  19. Stability

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni Ushauri: Biashara ya SPANNERS Kariakoo

    Wakuu, nina uzoefu na haya maspanners, fix, ring, sockets, power handles etc. Nafikiria kufanya biashara ya kuuza haya maspanners aina zote jumla na reja reja pale Kariakoo. Je, hii idea iko sahihi au itakuwa slow kwa kuwa nime-specialize sana kudeal na spanners tu? Labda ni kuongezee nini...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Samia: Namshauri Mkurugenzi wa Wilaya ya Geita kufanya haya...

    Nimesoma mahali kuwa Mhe. Rais kesho tarehe 22.2.2022 atatembelea Mkoa wa Geita a wakati yuko ziarani Mara alikupa salamu kuwa na wewe unaweza kuwa kati ya wale Wakurugenzi wenzako waliotumbuliwa. Nakushauri utayarishe taarifa iliyo na takwimu halisi, gharama ya ujenzi wa kila darasa, zahanati...
Back
Top Bottom