Nimesoma mahali kuwa Mhe. Rais kesho tarehe 22.2.2022 atatembelea Mkoa wa Geita a wakati yuko ziarani Mara alikupa salamu kuwa na wewe unaweza kuwa kati ya wale Wakurugenzi wenzako waliotumbuliwa.
Nakushauri utayarishe taarifa iliyo na takwimu halisi, gharama ya ujenzi wa kila darasa, zahanati n.k. ili taarifa mbaya aliyokutolea Mhe. Mbunge wako uonekane kuwa ni taarifa ya majungu.
Uwe smart wala usiogope kusema kila kila kitu kuhusu Mbunge wako ambavyo anaingilia utendaji wenu wa Halmashauri yako. Nakutakia kazi njema Mkurugenzi Wanga.
Nakushauri utayarishe taarifa iliyo na takwimu halisi, gharama ya ujenzi wa kila darasa, zahanati n.k. ili taarifa mbaya aliyokutolea Mhe. Mbunge wako uonekane kuwa ni taarifa ya majungu.
Uwe smart wala usiogope kusema kila kila kitu kuhusu Mbunge wako ambavyo anaingilia utendaji wenu wa Halmashauri yako. Nakutakia kazi njema Mkurugenzi Wanga.