ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dokezo la Ushauri kwa Viongozi wa CCM

    Kwa Ndugu, Stephen Wasira, na CPA Amos Makala. Kwa heshima na taadhima, naomba kutoa ushauri huu wa bure kwa viongozi wawili muhimu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Stephen Wasira (Makamu Mwenyekiti wa CCM) na CPA Amos Makala (Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM): Katika mikutano yenu...
  2. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Secretarybird nahitaji ushauri nasaha, no reforms no election imenitia matatani

    Asalamaleku wakuu! Wakuu naombeni mnipe ushauri Kwa hili lililonitokea maana yaonekana nimejichanganya na masikitiko pamoja na majuto yamenijaa hadi pomoni. Kama mnavyojua sasa hivi Kuna vuguvugu la "no reforms no election" na mimi ni mmoja wa mtu ninayeunga mkono hii movement na katika...
  3. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure: Kwa niliyoyaona leo Dodoma na yanayoendelea Mitandaoni, Kama wewe ni Fisadi wa CCM fanya haya haraka sana

    Jiji la Dodoma leo limenishangaza hakika. Sijawahi ona watu wanaoipenda Chadema kama watu wa Dodoma. Mwanzo nilidhani Mwanza na Kanda ya Ziwa, Kuna wakati nilidhani Kanda ya Nyasa na Kanda ya Kaskazini. Ila kwa hakika leo naweza kusema, Dodoma ni ngome mpya ya Chadema. Hata Tone Tone ya leo...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Msiwazomee viongozi wa CHAUMMA

    Mnawazea vibaya sana kana kwamba wamejinyea. Wameenda Chaumma kwa njaa zao waacheni. Nimeona video nyingi zikisambaa mitandaoni mkiwazomea. Najua hamutawataki lakini hakuna haja ya kuwazomea.
  5. Kitchener

    JamiiForums Tanzania USHAURI! Wakifuta kanisa lako ufanyeje?

    Sisi wakristo huwa hatupigani kwa nguvu za mwili na nyama, Biblia hasa Yesu anaagiza kwanza tuwaombee mema wale wanaotuudhi na kuacha kisasi kiwe cha Mungu, sio chetu, vita vyetu ni kwa njia ya maombi kwa sababu anayepigana sio sisi, ni Mungu hivyo omba kwa Mungu apigane mwenyewe. UFANYAJE...
  6. Registered_jf

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni Ushauri, upendo wangu kwa mke wangu unashuka

    Nina jambo ambalo ningependa mnishauri, linanisumbua sana. Nisaidie kufanya maamuzi. Nina miaka 29 ni baba wa watoto wawili. Nimeishi na mke wangu toka 2020 nilipomaliza chuo. Tumepishana umri kidogo yeye ana 34. Wakati tunakutana alikuwa ameajiriwa na immediately tukawa tumeclick maana...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Naamini muda sio mwingi Israel ataishambukia Iran ni baada ya kukataa ushauri wa US, Sababu , Nia na uwezo wanao

    Wadau hamjamboni nyote? It's a matter of time before things starts Happening in Iran. Israel await us greenlight before it launches attack
  8. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Ushauri na msaada

    Habari wana JF. niende straight kwenye mada. Nina kiwanja kina ukubwa wa sqmtr 405 maeneo ya mbezi beach goig upande wa juu. Ndani ya kiwanja kuna nyumba la zamani au niseme ni gofu sasa nilikua nataka kupaendeleza na pesa hiyo sina nafikiria niingie bank sababu ni sehemu ukipafanyia planning...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Wazee wanaoanzia miaka 55 kuendelea

    USHAURI KWA WAZEE WANAOANZIA MIAKA 55 KUENDELEA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kwa heshima na uangalifu Mkubwa nianze kwa kuwapa Shikamoo. Kwenu nitakuwa muangalifu wa kutupa maneno yangu huku kwa sehemu kubwa nikiacha akiba kubwa ya maneno. Niwapongeze kwa Mafanikio makubwa ya kufikisha...
  10. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu Elimu yangu

    Nina bachelor degree in Gender and Development, nataka kwenda Dubai kutafuta maisha. Ila ndoto zangu nataka kwenda nchi za kiarabu kama njia ya kwenda ulaya... Hasa scandinavian countries, Sasa naomba kujua vyeti vyangu nibebe au niachane navyo!! Mana nasikia kule elimu yetu Haina Thamani...
  11. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri: Ni biashara gani inaweza ikanitoa chap kwenye kamkwamo?

    Nahitaji mawazo wanaume wenzang ... let's put jokes aside .... Habari zenu nyote?? Mishe Zang zimekwama kabisa wakuu, naombeni ushaur naeza piga mishe gan chap chap nichomoke kwenye kamsoto nnakopitia ?? Hata kama kuna deal mikoa ya nyanda za juu kusini naombeni connection , ila iwe ni deal...
  12. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Tambua Utapeli Mbalimbali Mtandaoni - Sitapeliki

    Karibu Wadau wa JamiiForums! Kama mpenda teknolojia na mtafiti wa masuala ya usalama mtandaoni, leo nimekuja kuwafunua kuhusu utapeli unaosambaa kwa kasi katika dunia ya kidigitali. Najua kuna watakao pokea elimu hii kwa mikono miwili, lakini pia kuna wale watakao pinga kwa ubishi na ujuaji...
  13. Wakuperuzi

    JamiiForums Tanzania Nina kiasi cha milioni 3.5 naweza kuifanyia ishu gani?

    Salama wakuu wa JF! Last wiki nilikuwa na milioni 6 Kash Ila mpaka wakati huu naandika huu uzi nimebakiwa na milioni 3.5 na hii ndio ya kwngu sasa baada ya kulipa madeni na kufanya manunuzi binafsi ya baadhi ya mahitaji. Kifupi nilikuwa hovyo km miezi 12 hivi iliyopita, hii hovyo sitailezea...
  14. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Keyboard Warrior wote wa JF

    Mzuka Wana Jamvi ? Binafsi napongeza juhudi za serikali kuhakikisha nchi isiingia machafukoni kwa ajili ya watu wachache na katika kuzuia mambo hayo ya ajabu. Fujo sio solution na zina madhara makubwa kuliko Faida , kama unaona serikali inateka watu jiulize mbona wewe haujatekwa wala Bibi yako...
  15. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wana JF

    Mimi ni mwanafunzi wa shahada ya udaktar KCMC UNIVERSITY mwaka wa pili ni bado umri mdogo but najikuta nafatilia siasa mda mrefu kuliko fani yangu na roho inanilazimisha kutaka kukemea yanayofanywa na viongozi wa CCM especially nikiona maisha ya watoto wa kimasikin mitaan ninamo pita kila siku
  16. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa watu wote walioajiriwa

    1. Jenga nyumba mapema. Iwe kijijini kwenu au mjini. Kujenga nyumba ukiwa na miaka 50 sio mafanikio. Usizoee nyumba za serikali. Faraja hii ni hatari sana. Hebu familia yako yote iwe na wakati mzuri ktk nyumba yako mwenyewe. 2. Nenda nyumbani. Usiishie kazini mwaka mzima. Wewe si nguzo ya idara...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa kozi, Bachelor of science in physiotherapy na Doctor of medicine

    Habari zenu wakuu. Naombeni msaada wa ushauri kuhusu kozi hizi mbili, Bachelor of science in physiotherapy na Doctor of medicine (MD) Ipi iko vizuri zaidi. Ni ndoto ya kila form six leaver aliyesoma PCB kusoma MD, lakini kuna daktari mmoja hivi yuko intern kasema hanishauri kusoma MD, unless...
  18. Kitchener

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Askofu Gwajima, John Heche na wanasiasa wengine

    HUU UZI SIO WAKUUNGANISHWA, UNAJITEGEMEA. 1. muwe makini sana na matamshi yeyote mnayofanya popote, na hii ni kwa watanzania wote wanaowasemea wengine, watu wabaya wakikosa cha kukushitaki, huwa wanajua with time utajikwaa tu kama sio kwenye sheria za cyber, basi kwenye matamshi yako kwa sababu...
  19. Mbwichichi

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuanza ujenzi, naomba ushauri

    Nina kipato cha shilingi milioni moja na nusu kwa mwezi (1,500,000/=) na ninafirikia kuanza ujenzi wa nyumba ya kuishi. Naomba ushauri wa namna gani naweza kufanya ili ujenzi uende pamoja na maisha mengine. Nina familia ya mke na mtoto mmoja anayesoma darasa la nne, ada ya shule ni 1.5m kwa...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri mwenzangu amekataa kabisa kushave maeneno nyeti adai it's against the tradition ,

    Wadau hamjamboni nyote? She has refused to shave her private areas,it's against her tradition. I don't like it at all This is so serious kindly advise
Back
Top Bottom