ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Thecoder

    Naomba mnipe maoni na ushauri juu ya hili wakuu

    Mambo vipi wakuu... Niko na hii platform ambayo inakwenda kwa jina la ulumbi.com ni marketplace ambayo inamuunganisha mwandishi na msomaji. Kwa maana iko na milango miwili ya kwamba unaweza kujisajiri kama user au writer na ukijisajiri kama writer utapata dashboard ya writer na huko ndio...
  2. Zee la madawa

    Nimechoshwa na distance love naombeni ushauri

    Hivi nyie wenzangu ambao mko kwenye distance love mnawezaje aisee yaani siku baada ya siku ndivyo ninavyozidi kuchukia distance love na kumchukia huyu binti bila sababu yoyote ile ila binti inaonesha kunipenda sana ila mimi kadri ya siku ndivyo navyozidi kumchukia na kuchukia hii distance love...
  3. Baba Rhobi

    Music Enthusiasts na Wakali wa Sound System, Pitieni hapa mtoe ushauri.

    Wakubwa nimecheki huko Mjini Facebook, kuna wakenya huko wanatamba na hizi Sound System za magari wanaweka majumbani mwao hii idea imekaaje, make sote tunajua mziki wa gari huwezi linganisha na Sabufa za hapa na pale.
  4. Daby

    Ushauri kwa member anayeitwa Perry

    Kwanza nakulaumu saana kwa ujinga ulioufanya. Nimeangalia ID yako umejiunga JF 2011 ikimaniisha wewe ni mtu mzima. I'm disappointed of you. Kosa mlililolifanya hasa wewe ni kutokusimama na dada yenu....haijalishi yeye ni mkubwa kwako lakini kiafrika mwanaume hasa wa age yako unatakiwa uwe...
  5. Dr kijaji

    Ushauri unahitajika, Kati ya MD na DDS ipi nzuri kwenye soko la ajira kwa Sasa?

    Mdau mmoja anapitia changamoto juu ya program gani ya afya nzuri aende kusoma mwaka huu, yenye urahisi wa ajira.
  6. M

    Ushauri: Kila ninapoanza kufanya jambo lenye manufaa kuna hali inanitokea ya kukatisha tamaa

    Habari watanzania wenzangu poleni na majukumu na hali ya kisiasa ambayo haina afya kwa taifa huru kama tanzania. Nimekuja hapa jukwaani asubuhi hii kwa lengo moja tu la kutaka kushauriwa juu ya mwenendo wa misha yangu ambao unanipa sintofahahamu juu ya atma ya maisha yangu. Kiualisia mimi ni...
  7. 05CUBA

    Naomba ushauri tiba asili ya tonsils maana hospitali nimefeli kupata dawa ya kudumu

    Salaam. Wadau wa JF, nna Mdogo Ang wa myaka 17 anateseka Sana na shida ya tonsils. Ametibiwa hospitali Mara kadhaa, Hasa akiwa anakaa shule Ila shida imebakia kuwa nzito akahamia day. From there tatizo limepungua Ila humrudia Kila Mara Licha ya kutumia doze na kumaliza. Kila akila kitu...
  8. S

    Hotuba ya rais Samia: Mkuu wa nchi akitoa hotuba mjitahidi kusikiliza na kutoa ushauri, sio matusi

    Ni bora sisi raia wema tukajikita katika kusikiliza vyema hotuba na baadaye tukashauri. Sio vyema kutoa mwitikio mbaya kwenye mitandao ya kijamii. Hapa ni maoni ya watu kwenye mtandao wa Facebook au Meta. Sina hakika kama hawa ni wanachama wa
  9. chiembe

    Ushauri: kama mawakili wa Lissu wakiendelea na usumbufu, mahakama itoe uamuzi wa hoj zao, DPP apeleke notice of appeal mahakama kuu kesi isimame

    Mahakama itoe uamuzi wa hoja za mawakili wa Lissu, halacu DPP akate rufaa kama ilivyokuwa kwenye kesi ya Dk. Slaa. Huku uhaini unasubiri upelelezi, huku t unasubiri rufaa
  10. O

    Wengi wanaotoa ushauri wa ndoa humu sio wanandoa, sababu ya upendeleo

    Wengi wanaotoa ushauri wa ndoa huku JF si wanandoa. Unaona kabisa huyu hajaoa wala kuolewa. Neno kuoa ni kuwa na mke unayempata kihalali—iwe kidini, kimila au kiserikali—na unatambuliwa rasmi kama mume wa mtu. Neno kuolewa ni kuwa chini ya mamlaka ya aliyekuoa, yaani unakuwa mke halali wa...
  11. Egg mayai

    Vipi kuhusu mchezo wa Ali express, Si utapeli huu?

    Wakuu, kuna huu mchezo unaendlea huko telegram , unapewa link unaingia kwenye web ya Ali express unalike bidhaa zao unalipwa. Yeyote mwenye experience, hii ni genuine kwel maana nachojua hamn pesa rahisi hasa mtandaoni. Binafsi nimelipwa hapa ila nahisi kam ni mtego.
  12. M

    Ya Jana yameshapita, tugange ya tarehe 27 na ushauri wangu kikosi kiwe hivi ili kuiondosha Stellenbosch

    Stellenbosch atakufa kwa kikosi hiki tu na sio vinginevyo 1. Camara 2.Kapombe 3. Nouma 4.Che Malone kama amepona 5.Hamza 6.Kagoma 7.Kibu 8.Okajepha 9.Ateba 10.Mavambo 11. Mpanzu
  13. jaap

    Naombeni Ushauri: Baba mkwe kakataa kupokea Mahari kwa awamu tatu

    Mwaka huu nina mpango wa kuoa sasa Mwezi uliopita nilimtuma mshenga kwenda kuposa kwao Mchumba wangu, Sasa mshenga akanipa jibu posa imekubaliwa na kiasi cha mahali wakatajiwa ni Shilingi milioni mbili na laki mbili na 30, Mimi nikakubali kulipa ila nikawaomba nilipe kwa awamu tatu yani awamu...
  14. Allen Kilewella

    Ushauri wa bure Kwa kafulila!!

    David Kafulila a.k.a "Tumbiri" amejipa jukumu la kuwa msemaji wa watawala kuonesha kuwa uchumi wa Tanzania upo Imara na himilivu kuliko hata wale wenye jukumu Hilo. Kafulila anaongea sana kuhusu Hali ya uchumi wa Tanzania kuliko hata Waziri wa fedha au Gavana wa Benki Kuu ambao ndiyo wenye...
  15. Lord Denning

    PreGE2025 Ushauri wa bure kwa CCM: Tunaelewa Mmechanganyikiwa na Chadema, Ila tumieni fedha zenu kwa akili

    Ni ukweli usiopingika kuwa CCM sasa wanaiogopa CHADEMA kuliko hata namna wanavyomwogopa Mungu. Ukweli huu unatokana na ukweli kuwa, ni dhahili kuwa Watanzania wote sasa hivi wameona na wameelewa kuwa Chama cha Kweli cha Siasa ambacho kipo kwa ajili ya kuwapigania kweli ili kuwapatia maisha bora...
  16. RUKUKU BOY

    Ndugu zangu nipeni ushauri kuhusu huyu binti

    I hope everyone is doing well. Mie ni mwanaume, 30 years. Nilipomaliza chuo nilipambana Ili kujenga uchumi wangu,,sahivi namshukuri Mungu maisha yanasonga. Kwa Sasa nataka kuoa ila mpenzi niliyenae ananiweka dilemma, Kwa maana kwamba nimuoe au nisimuoe. Huyu binti ana 22years, amesoma...
  17. JOHNGERVAS

    Ushauri kwa wachungaji,manabii na nitumie wa sasa (kizazi kipya)

    Kwenye makanisa ya sasa mtaji mkubwa na nguvu ya kanisa ni watu,yaani kanisa au huduma Yako ipate watu wengi. Kwa dar sasa Imejaa makanisa yapo mengi mno na wanaonufaika ni wale wenye majina ie Mwamposa,kuhani Musa an CO. Mkoa mzuri kwa Huduma kwa sasa ni Dodoma,dodoma inakuwa sana kwa haraka...
  18. Amba Samedi

    Fursa Hii Hapa: Naomba Ushauri Wenu

    Habari wanaJF, Natumaini mnaendelea vizuri. Nimerudi tena (na kasi yangu imenipa zawadi ya "can't stop" ya JF). Asante sana Maxcence and the team. Juzi kati nilipigiwa simu na mdau mmoja. Akaniambia kuwa anataka nimsaidie mfumo wa SMS wa kumsapoti wakati wa harusi yake. Request nyepesi lakini...
  19. T

    Naombeni Ushauri kuna mtu amenitishia

    Wakuu kwema. Nimekuwa nikiishi kwa amani sana mpaka pale nilipoenda kupanga mtaani, Kuna mpangaji mgeni ila inaonekana yeye ni mwenyeji hapa mtaani , ni mvutaji bangi mkubwa mno, utulivu hakuna. Juzi natoka zangu kampas nakuta mtu kanisubiri akisema nimeiba kitu chake ambacho hata mimi sikijui...
  20. Nomadiq

    Una ushauri gani kwa kijana anaetaka kutoka kijijini kuja mjini?

    Habari wakuu. Kwa mwenendo wa maisha ya sasa, unaushauri gani kwa kijana anaetaka kutoka kijijini kwenda kusaka maisha mjini? Mwenye elimu ya kidato cha nne, ana pesa kidogo ya kuanzia maisha mjini, hana ujuzi tofauti na uchapakazi wake, ushauri ulenge hasa wa kiume, lakini hata wa kike waweza...
Back
Top Bottom