Imeandaliwa na Smart Finance SW
Nimekuwa nikifuatilia ushauri wa watu mbali mbali kwenye hii platform na platform zengine huko zinazohusiana na mswala ya fedha. Nilichogundua watu wengi au washauri wengi wanapenda sana kutumia nyakati zilizopita wanapotoa ushauri au kuelezea juu ya fursa...
Kutokana na uzoefu na kwa kuzingatia changamoto tunazopitia sasa kadri muda unavyogea tutakuwa tuna uhaba mkubwa wa mafundi wajuzi wa kutatua matatizo ya magari kwa ufasaha ni kutokana na ukweli kwamba mafundi wengi hawana tabia ya kupenda kuongeza ujuzi wao na wanaamini kile wanachokijua...
PROF NDAKIDEMI BADALA USHAURI ITUNGWE SHERIA WAZEE WAHUDUMIWE NA SERIKALI KWANI WALILIPA KODI. WATOTO WALIWATUMA MUWAZAE?
Anaandika, Robert Heriel.
Kila mtu ni Mzee wa baadae kama akipata nafasi hiyo. Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa Mtoto Hana jukumu wala wajibu wa kumtunza mzazi wake. Hiyo...
Mbunge wa jimbo la Kisesa, Mkoani Simiyu, Luhaga Mpina akiondoka uwanja maarufu kama stendi ya Mabasi Meatu, baada yakumalizika kwa mkutano wa Rais Samia na wananchi.
Pia, Soma: Rais Samia amchana Mpina: Mbunge wa Kisesa ni kuruka ruka kwamba Kisesa tunakudai, Kisesa iko kama mwanamke aliyesuka...
Msijiingize ktk siasa na kuchagua chama cha kufanyia siasa kama mwanachama.
Mkitaka kuingia ktk siasa basi msibase sehemu moja ya siasa.
Mkiingia ktk siasa kama sheikh Ponda wa Act wazalendo na sheikh Kadogoo wa Chadema heshima itaondoka na itapotea inamaana mtazungumza kwa maslahi ya vyama na...
Niko na familia ambayo tunahitaji kucheza vikoba online tufanyeje jamani? Mana tupo mikoa tofauti tofauti !!! Vipi tukifungua account tutatofautishaje fedha ya Kila mmoja mana Kila mtu aki deposit haitaeleweka ipi ni ipi na viongozi wawe wangapi au tuifanye kama Ile m koba lakini lengo letu ni...
Wakuu nilikua naomba ushauri nina shamba mkoa wa pwani.
Mradi gani wa kuwekeza kati ya hii kilimo cha muda mfupi na aina, kilimo cha muda mrefu na aina na ufugaji upi.
Kwa Ndugu, Stephen Wasira, na CPA Amos Makala.
Kwa heshima na taadhima, naomba kutoa ushauri huu wa bure kwa viongozi wawili muhimu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Stephen Wasira (Makamu Mwenyekiti wa CCM) na CPA Amos Makala (Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM):
Katika mikutano yenu...
Asalamaleku wakuu!
Wakuu naombeni mnipe ushauri Kwa hili lililonitokea maana yaonekana nimejichanganya na masikitiko pamoja na majuto yamenijaa hadi pomoni.
Kama mnavyojua sasa hivi Kuna vuguvugu la "no reforms no election" na mimi ni mmoja wa mtu ninayeunga mkono hii movement na katika...
Jiji la Dodoma leo limenishangaza hakika. Sijawahi ona watu wanaoipenda Chadema kama watu wa Dodoma.
Mwanzo nilidhani Mwanza na Kanda ya Ziwa, Kuna wakati nilidhani Kanda ya Nyasa na Kanda ya Kaskazini. Ila kwa hakika leo naweza kusema, Dodoma ni ngome mpya ya Chadema. Hata Tone Tone ya leo...
Mnawazea vibaya sana kana kwamba wamejinyea.
Wameenda Chaumma kwa njaa zao waacheni.
Nimeona video nyingi zikisambaa mitandaoni mkiwazomea. Najua hamutawataki lakini hakuna haja ya kuwazomea.
Sisi wakristo huwa hatupigani kwa nguvu za mwili na nyama, Biblia hasa Yesu anaagiza kwanza tuwaombee mema wale wanaotuudhi na kuacha kisasi kiwe cha Mungu, sio chetu, vita vyetu ni kwa njia ya maombi kwa sababu anayepigana sio sisi, ni Mungu hivyo omba kwa Mungu apigane mwenyewe.
UFANYAJE...
Nina jambo ambalo ningependa mnishauri, linanisumbua sana. Nisaidie kufanya maamuzi.
Nina miaka 29 ni baba wa watoto wawili. Nimeishi na mke wangu toka 2020 nilipomaliza chuo. Tumepishana umri kidogo yeye ana 34.
Wakati tunakutana alikuwa ameajiriwa na immediately tukawa tumeclick maana...
Habari wana JF. niende straight kwenye mada. Nina kiwanja kina ukubwa wa sqmtr 405 maeneo ya mbezi beach goig upande wa juu. Ndani ya kiwanja kuna nyumba la zamani au niseme ni gofu sasa nilikua nataka kupaendeleza na pesa hiyo sina nafikiria niingie bank sababu ni sehemu ukipafanyia planning...
USHAURI KWA WAZEE WANAOANZIA MIAKA 55 KUENDELEA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Kwa heshima na uangalifu Mkubwa nianze kwa kuwapa Shikamoo.
Kwenu nitakuwa muangalifu wa kutupa maneno yangu huku kwa sehemu kubwa nikiacha akiba kubwa ya maneno.
Niwapongeze kwa Mafanikio makubwa ya kufikisha...
Nina bachelor degree in Gender and Development, nataka kwenda Dubai kutafuta maisha.
Ila ndoto zangu nataka kwenda nchi za kiarabu kama njia ya kwenda ulaya...
Hasa scandinavian countries, Sasa naomba kujua vyeti vyangu nibebe au niachane navyo!!
Mana nasikia kule elimu yetu Haina Thamani...
Nahitaji mawazo wanaume wenzang ... let's put jokes aside ....
Habari zenu nyote??
Mishe Zang zimekwama kabisa wakuu, naombeni ushaur naeza piga mishe gan chap chap nichomoke kwenye kamsoto nnakopitia ??
Hata kama kuna deal mikoa ya nyanda za juu kusini naombeni connection , ila iwe ni deal...
Karibu Wadau wa JamiiForums!
Kama mpenda teknolojia na mtafiti wa masuala ya usalama mtandaoni, leo nimekuja kuwafunua kuhusu utapeli unaosambaa kwa kasi katika dunia ya kidigitali. Najua kuna watakao pokea elimu hii kwa mikono miwili, lakini pia kuna wale watakao pinga kwa ubishi na ujuaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.