Mkuu cpendi kuweka mlango wa mbao na grill tena nje...Unajenga nyumba nzuri kwa gharama kubwa finishing unakuja haribu kwa kuweka milango ya chuma upo seriously kweli acha ogopa gharama nyumba yako haijawa jera uweke mlango wa chuma ili iweje
Weka mbao peke yakeMkuu cpendi kuweka mlango wa mbao na grill tena nje...
Ahsante kwa ushauri...
Haupo seriousWeka mbao peke yake
Chukua option ya pili ma grill siku hizi hayana dili na sio fashion tena!Wadau nimeona kuweka mlango wa mbao na grill kwa milango ya nje kwenye nyumba ya kuishi haipendezi kama kuweka milango ya chuma hasa ya Uturuki na China.
Naona kujua ni milango ipi imara ya chuma na naweza kuipata wapi.
Ahsante.
Nipo serious, mtu umeweka ukuta plus fence ya umeme! Geti kubwa, grill ya nini tenaHaupo serious
Na mbwa 10 bado anaweka grill.Nipo serious, mtu umeweka ukuta plus fence ya umeme! Geti kubwa, grill ya nini tena