umeme

  1. H

    JamiiForums Tanzania Wamesema hakutakuwa na mgao wa umeme; mbona wanakata umeme?

    Nduguzanguni Serikali waliibuka nakusema hakutakuwa na mgawo wa umeme ambao walikuwa wameutanganza kwasema ni kwa sababu washapata mbinu mbadala utaosaidia kuwezesha upatikanaji umeme kuwa wakutosha. Nimeshangaa jana wmetukatia kuanzia saa 10 Jioni wamerudisha saa 4 na nusu Usiku hii imekaaje...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Umeme unakatwa saa sita usiku, hadi saa 12 jioni

    Hamna mbinu zozote za kupunguza makali ya mgao wa umeme. Umeme umekuwa ukikatwa saa sita usiku na kuwashwa saa 12 jioni. January Makamba na naibu wake wamelidanganya bunge, waliahidi kuchepusha gesi asili kutoka kwenye njia ya mwekezaji na kuingiza kwenye njia ya TPDC, lakini hadi sasa maumivu...
  3. sanalii

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi umeme tukanunue wote vifaa original, malipo 50,000 to 100,000

    Fundi wangu nilimuamin ila naona ameamua kunizidishia bei ya vifaa, na hakuzidisha elfu mbili au tatu, vipo alivyozidisha hadi asilimia nyingi. Mfano kifaa cha 15,000 ameandika 35,000 huu ni upigaji mkubwa sana, Mimi sina uzoefu wa vifaa vya umeme nahofia kuuziwa fake
  4. V

    JamiiForums Tanzania Waziri wa nishati, Umeme huu wa Nkasi vipi?

    Ndugu Waziri wa Nishati, mheshimiwa Januari Makamba, ninakuandikia kwa masikitiko makubwa juu ya KERO YA UMEME wilayani Nkasi. Umeme unakatika mara kwa mara isivyo kawaida. Ni kero. Biashara za watu zinazotumia Nishati hii muhimu zimedorora na nyingine zimefungwa kabisa. Vifaa vingi vya umeme...
  5. Suley2019

    JamiiForums Tanzania TANESCO Kilimanjaro yatoa ratiba ya matengenezo ya miundombinu ya umeme

    Salaam Wakuu, TANESCO kilimanjaro imetoa ratiba ya matengenezo ya miundo mbinu na namna ambavyo mgao utafanyika kuanzia Februari 1 mpaka Februari 10. Tazama ratiba hii katika picha hizi hapa chini. PIA SOMA: TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima (28/01/2022)
  6. konda msafi

    JamiiForums Tanzania Je,hatukuambiwa umeme wa gesi ya Mtwara ukikamilika tatizo la umeme litakuwa historia?

    Nakumbuka kila kiongozi mwandamizi wa serikali ya awamu ya 4 akiwa kwenye tv alikuwa anahubiri ukomo wa tatizo la umeme pale mradi wa umeme wa gesi ya Mtwara utakapokamilika. Kulikuwa na uzinduzi mwingi tu sijui wa Kinyerezi one, sijui terminal two. Tulihakikishiwa mradi ukikamilika hakutakuwa...
  7. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Mgao ujao wa umeme…

    Inadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari. Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui… Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi. Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na...
  8. Memento

    JamiiForums Tanzania TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

    Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 kwa nchi nzima ili kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Mgao huo utaanza Februari Mosi hadi 10 mwaka huu. ======== TANESCO KUFANYA MABORESHO KWENYE VITUO VYAKE VYA UZALISHAJI UMEME VYA...
  9. makkyson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Automatic voltage regulator, ni inverter au la?

    Habari wana jamvi naomba kufahamu kwa mtu mwnye uwelewa na mambo ya ufundi/umeme hiv hiki kifaa ni inverter au la? Automatic voltage regulator
  10. G

    JamiiForums Tanzania TANESCO Kibaha kulikoni?

    Ni siku ya tatu sasa umeme unakatika bila sisi wateja kujulishwa kama kuna matengenezo yoyote yanaendelea.Nashauri kama kuna marekebisho yoyote yanayofanyika ni vyema tukataarifiwa kwenye vyombo kwamba eneo flani litakosa umeme kwa muda flani ili kupisha maboresho katika miundombinu ya umeme...
  11. beth

    JamiiForums Tanzania Upepo, mvua zaathiri miundombinu ya umeme

    Upepo mkali na mvua kubwa ambazo zimeendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa Nchini zimeathiri Miundombinu ya Umeme Shirika la Umeme Nchini limeeleza kuwa hali hiyo imepelekea baadhi ya wananchi kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), imetoa tahadhari ya Mvua...
  12. Mr Dumila

    JamiiForums Tanzania Umeme Dumila umekuwa kero iliyopitiliza toka Novemba 2021

    Dumila ipo Mkoani Morogoro kiukweli hali ya upatikanaji wa umeme ni mbayaa kupitiliza. Sio kwamba ulikuwa haukatiki kipindi cha mwendazake la hasha ulikuwa unakatika sana tu ila awamu hii imepitiliza Alipoingia January Makamba hali ndio imezid kubadilika yaani umeme unaweza katika siku 5...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Tabata hakuna umeme tangu asubuhi

    TANESCO Tabata hakuna umeme tokea asubuhi nini tatizo? Tuambiane basi hata kama mnakata ili tuwe tunajiandaa kuwasha koroboi na kandiri.
  14. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yawa ya kwanza Afrika kuzindua mabasi yanayotumia umeme

    Yatapunguza gharama kwa asilimia 80% An electric bus from Opibus during a test drive in Nairobi. TECHCRUNCH Swedish-Kenyan company Opibus has launched the continent's one of a kind electric bus which is expected to start operations later this year. The bus is the first all-electric as...
  15. Peramiho yetu

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme hapo ulipo ipoje? Tupeane taarifa

    Kiukwel awamu hii hatutaacha kuiona rangi juu yankukatika kwa umeme Pia mods tunaomba thread hii isiunganishwe na uzi wa tanesco Kwan hakuna msaada tuupatao kwa kadhia hii yakukatika kwa umeme Naanza mm muda huu mbezi beach umeme umekatika yaan unakuja baada ya muda fulan unarud Asubuh...
  16. F

    JamiiForums Tanzania Je, awamu ya 6 ya Jamhuru ya Muungano ya Tanzania itapeleka umeme kwenye vitongoji?

    Enzi ya Dr. Kalemani tuliingiza umeme kwa Tshs.27,000/, sasa hivi enzi ya Makamba tunaingiza umeme kwa Tshs.300K je, serikali ya awamu ya sita kwa viwango hivi itamaliza kusambaza nishati hii adhimu ya umeme kwa vijiji na vitongoji vyote by 2024? Wakati wa bei ya Tshs. 27,000 JPM alikuwa...
  17. Extrovert

    JamiiForums Tanzania Haya magari ya umeme toka China yanashawishi

    Sijui tunafeli wapi wanazengo ila kimsingi natamani sana kama tungeanza kuhamia huku mdogo mdogo. Hii gari ni ya usd 8000 tu roughly kama 18.5m hivi kwa wanaonunua gari za 25-30M naona kama hii chuma inanunulika kabisa. Kigari kina Range ya 360KM per single charge which is fair enough kwa...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Bora TANESCO Muache kutangaza makato ya umeme, maana ni kila siku

    Lazma mjielewe TANESCO Mtangaze msitangaze lazma mkate umeme, kitu kinachopaswa kutangazwa ni kile kinachotokea kwa nadra sana, Sasa nyie kila siku mnakata umeme, acheni kututangazia fanyeni kazi zenu ukiwepo sawa hata usipokuwepo sawa. Mnatumia mamilioni kila siku kutangaza makatizo ya umeme...
  19. Leak

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tunaomba uwambie kweli ZESCO na Wazanzibari hakuna Umeme wa bure wagharamikie kama TANESCO na wabara.

    Baada ya Mh Rais kusema wazi kuwa wananchi waambiwe kuwa gharama za umeme sio 27,000 tena kama alivyotangaza Rais mwaka jana. Hivi gaharama za kuunganishiwa Umeme zanzibar zikoje? ZESCO imekuwa ikidaiwa madeni mengi sana ya Umeme na Tanesco na wamekuwa wakitegemea kusamehewa na wakisha...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wakati Watanzania tukiendelea 'Kulewa' na Hotuba ya 'Kumkaanga' Ndugai, tujue Magufuli Umeme ni Tsh 27,000/ na Samia ni Tsh 320,000/

    Muda mrefu wa Kumkaanga ( Kumsiliba ) Spika Ndugai ili 'Kukonga' Nyoyo za Watanzania ambao 95% wanapenda Kuendeshwa na Matukio, Majungu, Uzushi na Uswahili upo, ila muda wa Kuwaeleza ni kwanini kwa Magufuli Umeme ulishuka mpaka Tsh 27,000/= na sasa ( Kwako ) umepanda na kuwa Tsh 320,000/= haupo...
Back
Top Bottom