luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Pamoja na serikal ilifanya vizuri kuja na mradi wa kuleta umeme katika maeneo ya mbali na mijin
Kwa maoni yangu naona bado katika baadhi ya utekelezaj wa mradi hii watekelezaji walivurunda sanaa hasa katika swala la kuzingatia uwekaji nguzo katika mipaka baina ya kiwanja kimoja na kingine
Yapo maeneo nguzo zimeingia ndani katika kiwanja cha mtu, na hapa sasa ndipo hoja yangu ilipo, kwa sababu kwa case kama hii mmiliki wa kiwanja huzuia hata nyumba za jirani kuvuta umeme kutoka katika nguzo iyo kwa kigezo tu ana taka kulalamika nguzo ihamishwe na zoezi la uhamishaji nguzo ni mchakato sanaaa
Ukizingatia umeme wa REA wakati una wekwa wao walikuwa wana fuata makazi yaan watu walipo ndio maana una kuta nguzo za rea zimekaa shaghala baghala zig zag ovyo ovyo tu
Kwa maoni yangu naona bado katika baadhi ya utekelezaj wa mradi hii watekelezaji walivurunda sanaa hasa katika swala la kuzingatia uwekaji nguzo katika mipaka baina ya kiwanja kimoja na kingine
Yapo maeneo nguzo zimeingia ndani katika kiwanja cha mtu, na hapa sasa ndipo hoja yangu ilipo, kwa sababu kwa case kama hii mmiliki wa kiwanja huzuia hata nyumba za jirani kuvuta umeme kutoka katika nguzo iyo kwa kigezo tu ana taka kulalamika nguzo ihamishwe na zoezi la uhamishaji nguzo ni mchakato sanaaa
Ukizingatia umeme wa REA wakati una wekwa wao walikuwa wana fuata makazi yaan watu walipo ndio maana una kuta nguzo za rea zimekaa shaghala baghala zig zag ovyo ovyo tu