Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,499
- 4,211
Inashangaza sana kuona kiongozi wa Wizara nyeti kiasi hiki anatangaza mgao wa siku 10 akiaminisha wananchi kwamba marekebisho yanafanyika na baada ya hapo umeme utakuwa sawa
Cha kushangaza hata baada ya muda huo bado umeme ni wa kusua sua.Je ni sahihi kusema kwamba kazi haikufanyika? Kama haikufanyika nani awajibishwe?
Tuliaminishwa marekebisho hayakufanyika awamu iliyopita na sasa marekebisho yamefanyika lakini cha kushangaza hali ya umeme sasa ni mbaya kuliko hapo awali.
Pamekuwa na visingizio vingi visivyo na tija.Mpaka helicopter ilitumika kutuhakikishia mvua zimepungua hivyo mabwawa yamepungua,Jambo lililokuja kudhihirika kwamba si kweli.Tukaambiwa hakuna crane ya kubeba tani 80 .Pia ikathibitishwa kuwa uongo.
Hali hii inasikitisha sana
Je, kwa hali iliyopo
Cha kushangaza hata baada ya muda huo bado umeme ni wa kusua sua.Je ni sahihi kusema kwamba kazi haikufanyika? Kama haikufanyika nani awajibishwe?
Tuliaminishwa marekebisho hayakufanyika awamu iliyopita na sasa marekebisho yamefanyika lakini cha kushangaza hali ya umeme sasa ni mbaya kuliko hapo awali.
Pamekuwa na visingizio vingi visivyo na tija.Mpaka helicopter ilitumika kutuhakikishia mvua zimepungua hivyo mabwawa yamepungua,Jambo lililokuja kudhihirika kwamba si kweli.Tukaambiwa hakuna crane ya kubeba tani 80 .Pia ikathibitishwa kuwa uongo.
Hali hii inasikitisha sana
Je, kwa hali iliyopo