Kukosekana kwa Maji na Umeme na kupanda bei za bidhaa kunatia doa Serikali ya Rais Samia

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,696
40,963
Kabla ya kuingia Samia madarakani tatizo la kukatika kwa umeme halikuwa kubwa namna hii.

Ingawa waziri anadai ni maintenance sitaki kukubaliana nae kwani hata awamu iliyopita walikua wanafanya lakini haikuwa kiasi cha kuathiri upatikanaji wa umeme kwa kiwango hiki.

Hapa bila kupepesa macho tukubaliane kwamba kuna manufaa flani yanapatikana katika hiki kinachoitwa kufanya "maintenance" muda utasema.

Kukosekana nako kwa maji kumekuwa katika viwango vya kukera wananchi.

Bei za bidhaa zinapanda kiholela na Serikali ipo kimya kabisa.

Mambo haya yote Rais wetu yupo kimya , hayakemei wala kutoa maagizo kuyamaliza.

Sasa kama Samia anataka kujitenga na doa lililopo katika awamu hii achukue hatua.

Otherwise historia itamhukumu kwa kuwa sehemu ya haya mambo.
 
Gharama za vyama vya siasa katika kampeni za uchaguzi mkuu wa nchi zinagharamiwa kutoka fungu gani la budget ya nchi? Ni weke hivi ni chombo gani kinaangalia vyanzo vya fedha za vyama vya siasa vinazotumia kwenye kampeni?
 
0_20220223_195313.jpg
 
Kabla ya kuingia Samia madarakani tatizo la kukatika kwa umeme halikuwa kubwa namna hii.

Ingawa waziri anadai ni maintenance sitaki kukubaliana nae kwani hata awamu iliyopita walikua wanafanya lakini haikuwa kiasi cha kuathiri upatikanaji wa umeme kwa kiwango hiki...
Kijani kibichi umeyaona sasa, hili lichama ni janga kwa nchi hii, hata akishushwa malaika hawawezi maccm ni hatari sana , hayana huruma hayafai kabisaaa, sasa we mpambe wa mwendazake ndio unashtuka leo?;.
 
Kigamboni shimo la mchanga wiki ya pili kwenda ya tatu sasa,mara moja moja unakatika lakini haukawii unarudi,ni maboresho kwa upande wangu
 
Huko tunakoenda, kelele hizi zisizo na chembe ya uwongo, na kwa kuwa hawataki kujirekebisha, matokeo yake huu ukweli, utawafanya waanze kuteka watu wanaosema ukweli ili waendelee kufanya watakacho

2025, ni kuwapiga chini tokea huko kwa mhamasishaji wa kula kwa urefu wa kamba
 
Kabla ya kuingia Samia madarakani tatizo la kukatika kwa umeme halikuwa kubwa namna hii.

Ingawa waziri anadai ni maintenance sitaki kukubaliana nae kwani hata awamu iliyopita walikua wanafanya lakini haikuwa kiasi cha kuathiri upatikanaji wa umeme kwa kiwango hiki...
Bei acha zipande tuu kwa sababu ni Nje ya uwezo wa serikali, serikali haikuanzisha vita ya Ukraine..

Kuhusu maji utakuwa una matatizo makubwa Sana na unashinda kwa shemeji yako hapo huna akili za kutafuta source au kwenda site.

Nyie ndio mwisho wa siku mtakapopigwa kwenye kura mtaishia kusema Kwamba wametuibia.

Baadhi tuu ya miradi inayiendelea huku site 👇

Screenshot_20220328-115637.png


Screenshot_20220328-115814.png


Screenshot_20220328-115902.png


Screenshot_20220328-120042.png


Screenshot_20220323-101351.png


Screenshot_20220323-110750.png


Screenshot_20220323-091723.png


Screenshot_20220219-202621.png
 
Wanarukia petty issues na kuacha mambo ya msingi.
Sijui huwa mnaacha akili wapi! Hivi kuna kero nchi hii ambayo WAPINZANI hawajawahi kuipigia kelele! By the way aliyeshika madaraka ni CCM, Serikali yao ndiyo inakusanya kodi na kuongoza wewe unataka kujenga hoja kwamba WAPINZANI ndiyo suluhu ya changamoto kwa kupiga kelele!

Wameyatafuta madadaraka ili wapate platform nzuri ya kuyasema matatizo , mkawapora kura na kuwafunga huku mkiwadhihaki na kuwatolea maneno machafu, leo mnalia kwamba wapinzani wanadeal na petty issues!

Kuanzia Rais hadi Mwenyekiti wa kijiji ni CCM, unataka wapinzani wafanye nini? Mliyataka madaraka nafasi zote chini ya JIWE mkayapata, tatueni changamoto za wananchi siyo kulilia wapinzani.

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya kuingia Samia madarakani tatizo la kukatika kwa umeme halikuwa kubwa namna hii.

Ingawa waziri anadai ni maintenance sitaki kukubaliana nae kwani hata awamu iliyopita walikua wanafanya lakini haikuwa kiasi cha kuathiri upatikanaji wa umeme kwa kiwango hiki...

Magufuli alinajisi uchaguzi akaweka bunge la wanaccm tu. Sasa hao wabunge wa ccm wahoji hii inflation. Na vitu vinatakiwa viendelee kupanda bei hivi hivi ili wananchi wajue madhara ya kukosekana upinzani nchini.
 
Bei acha zipande tuu kwa sababu ni Nje ya uwezo wa serikali, serikali haikuanzisha vita ya Ukraine..

Kuhusu maji utakuwa una matatizo makubwa Sana na unashinda kwa shemeji yako hapo huna akili za kutafuta source au kwenda site...

Wapika data tunawacheck tu.
 
Magufuli alinajisi uchaguzi akaweka bunge la wanaccm tu. Sasa hao wabunge wa ccm wahoji hii inflation. Na vitu vinatakiwa viendelee kupanda bei hivi hivi ili wananchi wajue madhara ya kukosekana upinzani nchini.
Tunazungumza mambo ya msingi wewe umekalia siasa tu.
 
Back
Top Bottom